Palina
JF-Expert Member
- Oct 9, 2021
- 3,053
- 8,075
Nimesema kabisa kua nikimpa hela ananuna ana mind yan ashasema mpaka aniombe sasa haniombi mimi nijipendekeze tu huku utelezi napewa na kuogeshwa naogeshwa..Kwenda huko endelea kupenda ww wenzako wanamitaji yao
OK