Hivi Mwanamke kutopenda Kuomba Omba Hela kwa Mpenzi wake ina Maana gani?

Nianze kwa kusema OLE OUT! Wanangu wa MAN-U na Leo tunakufa tena.
Turudi kwenye Topic.

Wakuu hapo nyuma nilikua na Mpenzi Dadek Pisi kali ya kwenda ila ilikua inapenda Pesa sana hela za Shopping ilikua kila week mara kusuka na ukweli alikua hakuna mda hajapendeza hadi Rafiki zangu walikua wana muita Mturuki.

Ila bhna Ndio hivo TUKAACHANA NAE kama ilivyoandikwa MTAACHANA TU.

Mwanaume sikuvunga nikaopoa Pisi Nyingine ya Ki-Chagga Oya PISI Kaliiii mi kwenye Maswala ya kuchukua wanawake wakali Najikubali Sana sijawahi Kuyumba.

Sa nilichotegemea kwa uzuri ilionao lazima ningekua natoboka sana ila cha ajabu Pisi mwaka wa Pili saivi Hela haombi ombi kama ile nyingine yani hapa Kijuba mpaka najishitukia mwenyewe natuma tu.

Kuna day nikamtumia Hela kidogo hivi akaniambia Hela yote hii ya nini nikamwambia utafanyia Mambo yako akasema Asante..

Lakini akaongezea Pleaz naomba usinipe Hela kama Sijakuomba...Muhuni nikabaki Enheeeeee!!

But what daily kinachonichanganya nikua Uroda Napewa Tena Naitiwa kabisa.

Sa najiuliza inakuaje Hapendi Hela na ha ombi ombi kama yule mwingine au kama wanawake Wengine niwajuavyo mimi?
Wanadam hatuna chema, tafta yule wa kukupiga bomu kila siku ili uridhike, wapo wengi tu
 
Jukumu la malezi ni la mzazi, kwahiyo wewe siyo mzazi wake, wazazi wake wanamtuza vizuri na wanamtosheleza, wewe pesa yako nunuwa dozi ya asali tu umfikishe basi.

By the way kwani mnatakaje, mkipigwa vizinga tabu uzi tayari, msipoombwa pesa pia tabu uzi tayari hivi nyinyi vijana wa leo mpo kwenye category ipi of creature?
Mkuu Matola
 
Nianze kwa kusema OLE OUT! Wanangu wa MAN-U na Leo tunakufa tena.
Turudi kwenye Topic.

Wakuu hapo nyuma nilikua na Mpenzi Dadek Pisi kali ya kwenda ila ilikua inapenda Pesa sana hela za Shopping ilikua kila week mara kusuka na ukweli alikua hakuna mda hajapendeza hadi Rafiki zangu walikua wana muita Mturuki.

Ila bhna Ndio hivo TUKAACHANA NAE kama ilivyoandikwa MTAACHANA TU.

Mwanaume sikuvunga nikaopoa Pisi Nyingine ya Ki-Chagga Oya PISI Kaliiii mi kwenye Maswala ya kuchukua wanawake wakali Najikubali Sana sijawahi Kuyumba.

Sa nilichotegemea kwa uzuri ilionao lazima ningekua natoboka sana ila cha ajabu Pisi mwaka wa Pili saivi Hela haombi ombi kama ile nyingine yani hapa Kijuba mpaka najishitukia mwenyewe natuma tu.

Kuna day nikamtumia Hela kidogo hivi akaniambia Hela yote hii ya nini nikamwambia utafanyia Mambo yako akasema Asante..

Lakini akaongezea Pleaz naomba usinipe Hela kama Sijakuomba...Muhuni nikabaki Enheeeeee!!

But what daily kinachonichanganya nikua Uroda Napewa Tena Naitiwa kabisa.

Sa najiuliza inakuaje Hapendi Hela na ha ombi ombi kama yule mwingine au kama wanawake Wengine niwajuavyo mimi?
Mungu kakupa opportunity
We ichezee uone moto wake.
 
Huyo muomba hela ndio mkweli kwako. Japo wanaume wachache wanaotambua. Huyu wa pili amekupenda japo kuna wenzako wanagharamia.

Iko hivi wanawake wote ni wapenda pesa isipokuwa wana namna zao. Mwanamke anayekupenda na anatamani uwe mume wake hakuonyeshi kuwa anapenda fedha. Kama hana kazi na kwao chokambaya ujue kuna mwenzako anaumizwa mfukoni. Yule wa kwanza hakukupenda na kukuomba hela maana yake hana hofu ya kukupoteza.

ANGALIZO:
Kama huyo mchaga ni Happy na uko Dar basi hata Mimi nilikutana nae. Ni mkali zaidi ya Wema Sepetu na aombi hela.
unamtisha mwamba
 
Danganywa tu ila ni hivi wanawake tunaeza hata miliki mabuzinez makubwa yanayotuingizia pesa.....

ila hela tunayopewa na wapenzi wetu hata ka ni ndogo aisee tunafeel good sana....

By the way unasumbua mke wa mtu... ana mume wake huyo
Hilo umesema wewe kua ana mme mi sijui na kila mara pale kwake nipo Natoka saa5 Baba Mji na nikikuta mtu nitapiga niue kama nagharamia vile
 
Danganywa tu ila ni hivi wanawake tunaeza hata miliki mabuzinez makubwa yanayotuingizia pesa.....

ila hela tunayopewa na wapenzi wetu hata ka ni ndogo aisee tunafeel good sana....

By the way unasumbua mke wa mtu... ana mume wake huyo
Nimesema kabisa kua nikimpa hela ananuna ana mind yan ashasema mpaka aniombe sasa haniombi mimi nijipendekeze tu huku utelezi napewa na kuogeshwa naogeshwa..Kwenda huko endelea kupenda ww wenzako wanamitaji yao
 
Sio kila mwanamke anapenda kukinga mkono. Usikute alishapitia mahusiano ya manyanyaso kisa pesa za mpenz kaona isiwe tabu atumie tu za kwake
 
Back
Top Bottom