Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 152,959
- 453,698
Agiza kinywaji nakuja kulipa dearDanganywa tu ila ni hivi wanawake tunaeza hata miliki mabuzinez makubwa yanayotuingizia pesa.....
ila hela tunayopewa na wapenzi wetu hata ka ni ndogo aisee tunafeel good sana....
By the way unasumbua mke wa mtu... ana mume wake huyo