Hivi Mungu yupo au ni mipango ya watu kujipatia ajira na pesa?

It is completely irrational to regard the complexity of the human body and not infer that the will of an intelligent DESIGNER was behind it. if ages from now archaeologists unearth a ford pickup truck without having knowledge of its history and some insisted that the pickup had simply evolved on its own into existence , we would find that to be an absurd conclusion... which is more complex the human body or the ford pickup!? Sijui jibu umepata...
 
It is completely irrational to regard the complexity of the human body and not infer that the will of an intelligent DESIGNER was behind it. if ages from now archaeologists unearth a ford pickup truck without having knowledge of its history and some insisted that the pickup had simply evolved on its own into existence , we would find that to be an absurd conclusion... which is more complex the human body or the ford pickup!? Sijui jibu umepata...
Lakini sisi
It is completely irrational to regard the complexity of the human body and not infer that the will of an intelligent DESIGNER was behind it. if ages from now archaeologists unearth a ford pickup truck without having knowledge of its history and some insisted that the pickup had simply evolved on its own into existence , we would find that to be an absurd conclusion... which is more complex the human body or the ford pickup!? Sijui jibu umepata...
Kwa nini ajifiche
 
Kwema wakuu, kwa hali ilivyo najiuliza je kweli Kuna Mungu au ni business za watu kutufanya mazuzu na kula pesa zetu?
Una makosa makubwa sana kwamba hadi umefikia hatua hii bado hujaweza kujua kama Mungu yupo au hayupo.

Kwa stage hii uliyopo sasa, ulitakiwa uwe taryari umeshahakikisha kama aidha Mungu yupo au hayupo na hivyo hukutakiwa tena kuuliza swali la namna hii
 
Mwenyezi Mungu, Muumba wa Mbingu na Ardhi na vyote vilivyomo mbinguni na ardhini yupo ndugu yangu; usiahadike na hii pumzi aliyokupa ukamkufuru kwani baada ya kufa utaenda kukutana nae.

QURAN 30: 20-27
20. Na katika Ishara zake ni kuwa kakuumbeni kwa udongo. Kisha mmekuwa watu mlio tawanyika kote kote (duniani)

21. Na katika Ishara zake ni kuwa amekuumbieni wake zenu kutokana na nafsi zenu ili mpate utulivu kwao. Naye amejaalia mapenzi na huruma baina yenu. Hakika katika haya bila ya shaka zipo Ishara kwa watu wanao fikiri.

22. Na katika Ishara zake ni kuumba mbingu na ardhi, na kutafautiana lugha zenu na rangi zenu. Hakika katika hayo zipo Ishara kwa wanao jua.

23. Na katika Ishara zake ni kulala kwenu usiku na (kuutumia) mchana katika kutafuta kwenu fadhila (riziki) zake. Hakika katika haya bila ya shaka zipo Ishara kwa watu wanao sikia.

24. Na katika Ishara zake hukuonyesheni umeme (wa radi) kwa kukutieni hofu na tamaa (ya mvua). Na hukuteremshieni maji kutoka mawinguni, na kwa hayo huifufua ardhi baada ya kufa kwake. Hakika katika hayo zipo Ishara kwa watu wanao zingatia.

25. Na katika Ishara zake ni kuwa mbingu na ardhi zimesimama kwa amri yake. Kisha atakapo kuiteni mwito mmoja tu, hapo mtatoka kwenye ardhi. (mtafufuliwa kutoka makaburini)

26. Na ni vyake Yeye vilivyopo mbinguni na vilivyopo katika ardhi. Vyote vinamtii Yeye.

27. Na Yeye ndiye aliye anzisha uumbaji, kisha ataurudisha mara nyengine(kwa kuwafufua wafu). Na jambo hili ni jepesi zaidi kwake. Naye ndiye mwenye mfano bora katika mbingu na ardhi. Na Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hekima."
 
It is completely irrational to regard the complexity of the human body and not infer that the will of an intelligent DESIGNER was behind it. if ages from now archaeologists unearth a ford pickup truck without having knowledge of its history and some insisted that the pickup had simply evolved on its own into existence , we would find that to be an absurd conclusion... which is more complex the human body or the ford pickup!? Sijui jibu umepata...
Lakini sisi
Yupo mkuu ila hayupo kma tunavyoaminishwa kwenye din
Ha
Una makosa makubwa sana kwamba hadi umefikia hatua hii bado hujaweza kujua kama Mungu yupo au hayupo.

Kwa stage hii uliyopo sasa, ulitakiwa uwe taryari umeshahakikisha kama aidha Mungu yupo au hayupo na hivyo hukutakiwa tena kuuliza swali la namna hii
Kuuliza sio ujinga
 
Mkuu unataka uone nn? ili uthibitishe kuwa yupo?! unataka kumwona kwa macho yako?? kumbuka alimwambia Musa kuwa hakuna mwanadamu anaweza kumuona akaishi..
......alimwambia Musa kuwa hakuna mwanadamu anaweza kumuona akaishi......
Kwa mantiki hiyo, mtu atakapokoma kuwa mwanadamu (akishakufa) i.e akawa ni Roho, hapo ndipo atamwona Mungu. Nimefurahi sana kwa kauli hii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom