BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
tulishasema kuhusu hiyo website tukachoka..
mie ningekuwa Jk ningeshamfuta kazi Rweyemamu and all..
kazi yao kumtetea tu Mamvi..ishu ya RDC ni uozo mtupu...F"*@##
Kikwete ana ubavu wa kumfukuza kazi mtu aliyeingizwa pale na papa fisadi RA? Ataanzia wapi? RA anaweza kabisa kumjia juu maana yeye ndiye aliyeshika 'utamu'