Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Hivi january makamba kazi yake ni nini Ikulu?
Salva Rlweyemamu kazi yake ni nini Ikulu?
Katibu kiongozi Luhanjo kazi yake ni nini Ikulu?
Yo Yo,
Hivi kuna job title za hawa jamaa kwenye system nzima ya Ikulu au mtu akiamka leo anatangaza cheo kipya kwa sababu anaye mtu au kaletewa mtu wa kumpachika? Na kama zipo, kuna "job description zao?
Mwisho naomba mwenye uelewa anisaidie, "MISSION na VISION" ya JK katika kipindi cha miaka 5 au 10 ya urais wake ni ipi?