.....Haitopunguza foleni hata kwa asilimia 1 isipokuwa itawasaidia sana wanaotumia public transport.
Itapunguza foleni mkuu....siwezi kujua kwa asilimia ngapi....ila sio asilimia moja...ni zaidi sana.
Watu wanatumia magari binafsi kwa kero za usafiri wa umma. Ni ghali sana kuingia mjini kwa gari binafsi.