Hivi mradi wa DARTS aliubuni nani? Was it the best/cheaper option

mcfm40, unaponda DART kwamba how come milori, mibasi, private cars humo humo! mbona unajikanganya? Lengo la DART ni kwamba usafiri wa jumla utumie barabara zinayojitegemea! ukitumia private car ndo kagombane na malori kwenye common roads! Frm Mbezi kuja Ubungo nd V/S, abiria watatumia DART buses mediam size ambazo ni kubwa zaidi kuliko Coaster! kimsingi, unafuu utakuwa kwa wale wanaotumia public transport ambao ndio wengi na wanaotumia private watakachoepukana nacho ni fujo za daladala, basi!
 
Last edited by a moderator:
Nimekuwa nikitafakari namna ambavyo nchi yangu inaendeshwa naomba kuwashirikisha GT wenzangu juu ya potential white elephant iliyotengenezwa kwenye DARTS.
- Je ni kweli DARTS ilikuwa ndiyo best option (in terms of cost, efficiency and priority)ya kupunguza msongamano Dar?
- Je hizi nyumba za kusubiria wasafiri zilikuwa zina ulazima wa kujengwa kwa gharama kama ilivyofanyika sasa
- Je namna ambayo barabara zimejengwa itapunguza foleni kweli?

Kwa maoni yangu (I stand to be corrected), DARTS haitapunguza msongamano na huenda ikaongeza, na kama kweli mradi huu ulijadiliwa kwa mapana yanayostahili then kuna umuhimu wa watu waliodhani huu ndio mwarobaini wa msongamano wa magari Dar(ni muhimu kuwafahamu ili tuweze kujiridhisha na weledi wao, au hata IQ zao)

Kama ningekuwa mimi ningeanza na kujenga fly overs kwanza, then barabara za pembezoni kwanza na kama pesa bado ipo ningeimalisha usafiri wa reli ndani ya jiji la Dar pamoja na kuimalisha uchukuzi wa mizigo kutokea bandari ya Dar kwa kuweka dry port kubwa Ruvu au Mlandizi.
Ukiziwekea lami barabara za Kinyerezi-Mbezi Lousi, Makongo Juu-Goba, Tangi Bovu-Morogoro Rd, Mbagala-Kipawa/Banana/Ukonga utapunguza msongamano kwenye barabara ndani ya jiji la Dar kwa kiwango kikubwa na kwa gharama ndogo kuliko huu wendawazimu wa DARTS.

Mradi wa DART ni kwa ajiri ya kuboresha usafili (publictransport). Daladala zitaondelewa katika barabara zile kubwa km kutoka kimaraau Morocco kwenda kivukoni, au kariakoo nk . kutakuwa na mabasi makubwa ambayoyataendeswa kwa ratiba maalumu. Kuhusu foleni ni kwamba kama daladalazitaondolewa ndiyo usumbufu wake utapungua. Mfano ni pale manzese huwa kunakuwana foleni kwa sababu daladala zinaziba njia.
Watakaonufaika hasa ni watumiaji mabasi hayo, kama utaonakwa gari binafsi kuna foleni then kunakuwa na option ya kufika mjini kwa wakatikwa kutumia basi. Hii haipo kwa sasa
 
siku zote huwa nasikitishwa sanaa na watanzania kwa kuwa na majibu mepesi kwa critical issues. Nyumba ya Maskini huwa haiishi kujengwa. hata Mradi haujaisha tayari tumelalamika haijatolewa tathmini ya kitaalamu tayari tumejitwika utaalamu na ujuaji kibaooo jamani hebu muwaache wataalamu wamalize kazi yao ndio tuje tuanze kuwaambia kasoro kutokana na output yao. inasikitisha project iko at 55% watu tushalalamika sana na kinachosikitisha hizi barabara hata miaka 3 hazijamaliza ila ukizitazama ni kama za miaka 5 uchafu matofali kubomoka yaani ili mradi tu yote hii ni sababu ya kukosa ustaarabu tu. hata tujenge flyovers tuweke reli nzuri na kila kizuri kama hatutokuwa wastaarabu sisi wenyewe matatizo yetu hayatoisha. sote mashahidi uvunjanji wa taratibu za undeshaji vyombo vya moto unavyochangia foleni tena kiasi kikubwa ila tunaona udogo wa barabara kama a big issue. tumejengewa uwanja mzuriiii lakini watu wanavunja viti wanaharibu miundombinu mwisho wa siku watakuja wanalalamika hapa uwanja hauna ubora. hebu hata hivi vidogo tulivyonavyo tuvitumie kwa utaratibu na ustaarabu. tusipo badirika wenyewe hata ijengwe flyovers sijui treni ya Umeme hamna kituu. na tujifunze kuwa wavumilivu subili kitu kikamilike then uliza wataalamu ni kwanini output imekuwa tofauti na ulivyotegemea

Mkubwa,

Kwa taarifa yako tatizo kubwa la msongamano wa Dar linatokana na mambo makubwa mawili au matatu, la kwanza ni malori kwenye barabara za Mandela na Morogoro, la pili ni makutano + ufinyu wa barabara na ubovu wa miundombinu ya maji ya mvua na la tatu ni kutokuwepo na njia mbadala pembezoni mwa mji.
Kwa taarifa yako kuna watu jana wamelala kwenye magari kutokana na magari mawili yaliyokuwa yameharibika Kibamba, na huenda wengine bado hawajafika maofisini mwao - hili tatizo halitaondolewa na mradi wa DARTS (this is for sure and I can bet my member and I will still have them intact, one year after the project is 100% complete).
Kipaumbele kilitakiwa kiwe kupunguza malori yanayoingia ndani ya mji kwa kuweka utaratibu wa mizigo hiyo kuingia na kutoka kwa reli pamoja, kuimalisha barabara za pembezoni na kupanua barabara siyo kutekeleza mradi huu wa DARTS, maisha ni priorities na huenda huu mradi ungelisaidia lakini siyo sasa!
 
Mradi wa DART ni kwa ajiri ya kuboresha usafili (publictransport). Daladala zitaondelewa katika barabara zile kubwa km kutoka kimaraau Morocco kwenda kivukoni, au kariakoo nk . kutakuwa na mabasi makubwa ambayoyataendeswa kwa ratiba maalumu. Kuhusu foleni ni kwamba kama daladalazitaondolewa ndiyo usumbufu wake utapungua. Mfano ni pale manzese huwa kunakuwana foleni kwa sababu daladala zinaziba njia.
Watakaonufaika hasa ni watumiaji mabasi hayo, kama utaonakwa gari binafsi kuna foleni then kunakuwa na option ya kufika mjini kwa wakatikwa kutumia basi. Hii haipo kwa sasa


mkuu hujajibu maswali ya msingi - je was this the best options?

Halafu hiyo mambo ya mabasi makubwa kuna mshekeli pia kwani kuna dalili nyingi za rushwa - je hayo magari makubwa yatamilikiwa na nani? Isije ikawa wanaoyamiliki hayo magari ndio walioshinikiza huu mradi kwani utawanufaisha sana kwa sababu hiyo ni biashara kubwa [jiji la Dsm lina wakazi zaidi ya milion 5, kama 50% ya watu hawa watatembea angalau mara 10 kwa wiki ina maana ni wateja milion 50 kwa wiki, ukiweka margin ya shiling 100 tu kwa kila mteja maana yake ni bilion 5 kwa wiki....hassle free and with monopoly to boot!
 
Ntemi Kazwile, DARTS ni mfumo wa usafiri duniani ambao ukitaka kuufanya UNALAZIMIKA kufuata Rapid Transport Rules--so, vile wanavyojenga including vituo ndivyo matakwa ya Rapid Transport duniani(kuna society yao). Kuhusu kusaidia, endapo taratibu za RT zitazingatiwa bac atakayetaka kufika mapema aendako atafika mapema! abt if was best option i can say YES coz' alternatives ni kuongeza lanes ambazo bado zingéendelea ku-accomadate magari mengi na kutotatua tatizo wakati DART roads are only for DART buses.

Je utafikaje Kimara kama unatoka Mbezi na hapo katikati kuna lori limeharibika (kama ambavyo watu wamekesha wakielekea na kutokea Kibaha?).

Kwa maoni yangu haukuwa best option kwa ajiri ya watu lakini kwa wanaonufaika nao yes kwani utawapatia biashara ambayo ina monopoly kama ilivyo Tanesco na kwa kuwa usafiri ni lazima watapiga bingo!
 
Ntemi Kazwile, inaonesha huu mfumo hujauelewa vizuri! huu ni màalumu kwa public-hayo malori na kadhalika watatumia barabara zao kwahiyo mkigogongana huko, mtazibiana road wenyewe unless gari iserereke hadi kwenye DART roads! Kuhusu mabac makubwa, anyone including u, can invest in DART buses but Sole Propriatorship isn't allowed- labda lalamika kwamba wale waliokuwa wanastàafu na kupata 30M kisha wananunua daladala ndo bac tena unless awe shareholder wa kampuni X!
 
Last edited by a moderator:
Nimekuwa nikitafakari namna ambavyo nchi yangu inaendeshwa naomba kuwashirikisha GT wenzangu juu ya potential white elephant iliyotengenezwa kwenye DARTS.
- Je ni kweli DARTS ilikuwa ndiyo best option (in terms of cost, efficiency and priority)ya kupunguza msongamano Dar?
- Je hizi nyumba za kusubiria wasafiri zilikuwa zina ulazima wa kujengwa kwa gharama kama ilivyofanyika sasa
- Je namna ambayo barabara zimejengwa itapunguza foleni kweli?

Kwa maoni yangu (I stand to be corrected), DARTS haitapunguza msongamano na huenda ikaongeza, na kama kweli mradi huu ulijadiliwa kwa mapana yanayostahili then kuna umuhimu wa watu waliodhani huu ndio mwarobaini wa msongamano wa magari Dar(ni muhimu kuwafahamu ili tuweze kujiridhisha na weledi wao, au hata IQ zao)

Kama ningekuwa mimi ningeanza na kujenga fly overs kwanza, then barabara za pembezoni kwanza na kama pesa bado ipo ningeimalisha usafiri wa reli ndani ya jiji la Dar pamoja na kuimalisha uchukuzi wa mizigo kutokea bandari ya Dar kwa kuweka dry port kubwa Ruvu au Mlandizi.
Ukiziwekea lami barabara za Kinyerezi-Mbezi Lousi, Makongo Juu-Goba, Tangi Bovu-Morogoro Rd, Mbagala-Kipawa/Banana/Ukonga utapunguza msongamano kwenye barabara ndani ya jiji la Dar kwa kiwango kikubwa na kwa gharama ndogo kuliko huu wendawazimu wa DARTS.

Daraja la jangwani nasikia limechakachuliwa kutokana na mkondo mkubwa wa maji kupita pale lingetakiwa lianzie fire mpaka magomeni lakini wajanja wakaona isiwe tabu wakarudia makosa yaleyale ya mwanzo halafu mnatuambia tanzania kuna wasomi wako wapi hao wasomi jua kali wakatusaidia sie wakina kabwela kuhoji hayo mambo? Au nchi ishauzwa hii haina mwenyewe.?
 
Ntemi Kazwile, inaonesha huu mfumo hujauelewa vizuri! huu ni màalumu kwa public-hayo malori na kadhalika watatumia barabara zao kwahiyo mkigogongana huko, mtazibiana road wenyewe unless gari iserereke hadi kwenye DART roads! Kuhusu mabac makubwa, anyone including u, can invest in DART buses but Sole Propriatorship isn't allowed- labda lalamika kwamba wale waliokuwa wanastàafu na kupata 30M kisha wananunua daladala ndo bac tena unless awe shareholder wa kampuni X!

Kwani wenye malori hawalipishwi kodi? Mradi huu ulitakiwa utatue namna ambavyo watu wana move ndani ya jiji la Dsm (including wenye malori na private cars). Hivi unajua taifa linapoteza mapato / kutumia gharama kiasi gani kutokana na msongamano wa malori????

After all kama mtu anatokea Kimara kwenda Tazara au airport huu mradi utamsaidia vipi? Gharama je, kwa nini tusingeweka priority kwenye miradi yenye gharama nafuu lakini inayosaidia wasafiri wote badala ya kufocus wasafiri wa public wakati nao wataathirika pia kwani kabla hawajafika kwenye vituo vya DARTS itabidi watumie vyombo vya usafiri sasa kama kuna msongamano utakuwa umewasaidiaje?
 
Mfumo huo wa bus rapid transit umefanikiwa sana Bogota colombia, na jinsi mifumo ya barabara pamoja na stand ilivyojengwa nikama Tanzania wanavyofanya kwa sasa.Tuwe na subira tuache kulalama,Transmilenio imerahisisha sn maisha Bogota,Colombia
 
Je utafikaje Kimara kama unatoka Mbezi na hapo katikati kuna lori limeharibika (kama ambavyo watu wamekesha wakielekea na kutokea Kibaha?).

Kwa maoni yangu haukuwa best option kwa ajiri ya watu

hilo suala la itakuaje Kimara-Mbezi kukia na ajali njian co tatizo la RBT! Unaweza kuwa na flyovers na gari ikaaribika njiani na ku-block! Msingi wa RBT ni barabara only for RBT...kwa lugha nyepesi ni alernative ya city trains. REMEMBER, haipunguz folen kwa other users
 
Mfumo huo wa bus rapid transit umefanikiwa sana Bogota colombia, na jinsi mifumo ya barabara pamoja na stand ilivyojengwa nikama Tanzania wanavyofanya kwa sasa.Tuwe na subira tuache kulalama,Transmilenio imerahisisha sn maisha Bogota,Colombia
and in fact, kila unapoenda duniani, RBT ni uniform coz' kuna world RBT Standards ambazo MUST be followed if u wish to run RBT in ur city!
 
miradi ya bei nafuu kama ipi Ntemi Kazwile? pale ni ama ujenge flyover along Morogoro Rd au ujenge barabara nyingine sawa na Moro Rd! Ndo miradi ya bei nafuu hiyo? hata hizo feeders nazo ili zîwe very efficient inategemea na town planning! Assume kutokea Ubungo to Mbezi, utatumia feeders zipi au utalazimika kubomoa nyumba ngapi? Chukulia Kilwa Rd kwenda Mbagala, hizo feeders utapitishia wapi bila kubomoa mamia ya nyumba? Kupita pale Manzese kwenda Ubungo shida tupu-hv tatizo pale ni malori au daladala?
 
Last edited by a moderator:
siku zote huwa nasikitishwa sanaa na watanzania kwa kuwa na majibu mepesi kwa critical issues. Nyumba ya Maskini huwa haiishi kujengwa. hata Mradi haujaisha tayari tumelalamika haijatolewa tathmini ya kitaalamu tayari tumejitwika utaalamu na ujuaji kibaooo jamani hebu muwaache wataalamu wamalize kazi yao ndio tuje tuanze kuwaambia kasoro kutokana na output yao. inasikitisha project iko at 55% watu tushalalamika sana na kinachosikitisha hizi barabara hata miaka 3 hazijamaliza ila ukizitazama ni kama za miaka 5 uchafu matofali kubomoka yaani ili mradi tu yote hii ni sababu ya kukosa ustaarabu tu. hata tujenge flyovers tuweke reli nzuri na kila kizuri kama hatutokuwa wastaarabu sisi wenyewe matatizo yetu hayatoisha. sote mashahidi uvunjanji wa taratibu za undeshaji vyombo vya moto unavyochangia foleni tena kiasi kikubwa ila tunaona udogo wa barabara kama a big issue. tumejengewa uwanja mzuriiii lakini watu wanavunja viti wanaharibu miundombinu mwisho wa siku watakuja wanalalamika hapa uwanja hauna ubora. hebu hata hivi vidogo tulivyonavyo tuvitumie kwa utaratibu na ustaarabu. tusipo badirika wenyewe hata ijengwe flyovers sijui treni ya Umeme hamna kituu. na tujifunze kuwa wavumilivu subili kitu kikamilike then uliza wataalamu ni kwanini output imekuwa tofauti na ulivyotegemea

Wewe hujui jinsi wananchi tunaoishi Kimara, Mbezi mpaka Kibamba tunavyopata shida na hii mofoleni isiyokuwa na tija. Huu ni uchafu mtupu sidhani kama itapunguza foleni kama wanavyodhani, ni shida tupu ndugu yangu.

Foleni kama ya jana kutoka tu Kimara Mwisho mpaka Ubungo masaa manne, mtu umetoka nyumbani saa 12 na nusu unakuja kuvuka Ubungo saa tatu na robo (umbali wa Kimara stop over to Ubungo) hii ni haki kweli??

Bila shaka utakuwa unakaa Masaki!
 
miradi ya bei nafuu kama ipi Ntemi Kazwile? pale ni ama ujenge flyover along Morogoro Rd au ujenge barabara nyingine sawa na Moro Rd! Ndo miradi ya bei nafuu hiyo? hata hizo feeders nazo ili zîwe very efficient inategemea na town planning! Assume kutokea Ubungo to Mbezi, utatumia feeders zipi au utalazimika kubomoa nyumba ngapi? Chukulia Kilwa Rd kwenda Mbagala, hizo feeders utapitishia wapi bila kubomoa mamia ya nyumba? Kupita pale Manzese kwenda Ubungo shida tupu-hv tatizo pale ni malori au daladala?

Labda kwa sababu sijui DARTS itagharimu kiasi gani na barabara ya kawaida ina gharama kiasi gani.

Lakini mbona hujajibu swali langu kuhusu priorities - je hii ilikuwa ndo most urgent thing to do au fly overs au feeder roads?
 
Tanzania hatujawahi kuwa na magari ya kuhitaji fly overs, tatizo ni pale tunapokuwa hatuangalii jinsi ya ku-accomodate chanzo kikuu cha foleni.

Ukiangalia morogoro road chanzo kikuu cha foleni ni Malori ambayo mengi yanatoka au yanaenda bandarini.

Hivi kulikuwa na ugumu gani wa kutafuta alternate route ya ku-accomodate malory yote yanayotumia morogoro road?

Kulikuwa na uwezekano wa kuwajengea barabara ya peke yao toka Bandarini kupitia Chanika na kuja kutokezea Chalinze, hyo ingekuwa na imediate positive impact katika kusolve foleni.

Kulikuwa na uwezekano wa kuzijenga kwa kiwango cha lami all feeder roads Dar es salaam, Ingekuwa inasaidia kupunguza idadi ya magari kwenye main road. Mf: Mbezi-Goba-Mwenge, hii ingewasaidia sana watu wanaokaa mbezi kutokea mwenge.

Ubungo-Chuo-Baruti au Ubungo-Chuo-Changanyikeni-Kimara, hii ingewasaidia sana wale wanaoelekea njia hyo kwa kiasi kikubwa na kupunguza mrundikano wa magari main road.

Hizo ni zile, ninazo zifahamu, je zile tusizozijua na tukaziweka lami zingesaidia kwa kiasi gani?

DARTS ya Dar es Salaam ni moja kati ya failure ya serikali ya CCM na kama wakisema waitumie kuombea kur nadhani wananchi wana hasira nao sana na hawatapata kitu toka kwa watumiaji wa hii barabara.
 
Nimekuwa nikitafakari namna ambavyo nchi yangu inaendeshwa naomba kuwashirikisha GT wenzangu juu ya potential white elephant iliyotengenezwa kwenye DARTS.
- Je ni kweli DARTS ilikuwa ndiyo best option (in terms of cost, efficiency and priority)ya kupunguza msongamano Dar?
- Je hizi nyumba za kusubiria wasafiri zilikuwa zina ulazima wa kujengwa kwa gharama kama ilivyofanyika sasa
- Je namna ambayo barabara zimejengwa itapunguza foleni kweli?

Kwa maoni yangu (I stand to be corrected), DARTS haitapunguza msongamano na huenda ikaongeza, na kama kweli mradi huu ulijadiliwa kwa mapana yanayostahili then kuna umuhimu wa watu waliodhani huu ndio mwarobaini wa msongamano wa magari Dar(ni muhimu kuwafahamu ili tuweze kujiridhisha na weledi wao, au hata IQ zao)

Kama ningekuwa mimi ningeanza na kujenga fly overs kwanza, then barabara za pembezoni kwanza na kama pesa bado ipo ningeimalisha usafiri wa reli ndani ya jiji la Dar pamoja na kuimalisha uchukuzi wa mizigo kutokea bandari ya Dar kwa kuweka dry port kubwa Ruvu au Mlandizi.
Ukiziwekea lami barabara za Kinyerezi-Mbezi Lousi, Makongo Juu-Goba, Tangi Bovu-Morogoro Rd, Mbagala-Kipawa/Banana/Ukonga utapunguza msongamano kwenye barabara ndani ya jiji la Dar kwa kiwango kikubwa na kwa gharama ndogo kuliko huu wendawazimu wa DARTS.

kwanza sio DARTS, ni DART - Dar Rapid Transit. by the way umetoa mawazo mazur tu.
 
Hamna kitu hapa. Tuna ugonjwa mbaya wa ubadhilifu wa fedha. Kama ni mkopo basi tumeongeza deni la taifa. Shida iliyokuwepo ni kwenye junctions na hii barabara ya dart haitaondoa tatizo hili unless ije awamu nyingine ya fly overs. Kwa maana hiyo wakazi wa Dsm/kimara hadi kibaha wahesabu miaka mingine mitano ya maumivu.
 
Back
Top Bottom