Hivi Mohamed Hussein anaweza Kiingereza kweli?

Hivi Mohamed Hussein anaweza Kiingereza kweli?

Sio requirement ya kuwa captain.
Yanga hawapo kabisa kwenye mashindano yoyote ya Africa tangu mwaka jana na wakati Mwamnyeto kwa jinsi unavyotuaminisha anajua Kiingereza, Kifaransa na Kireno

Nani anakuaminisha mwamnyeto anajua hizo lugha? Nyie huwa hampendi elimu.
 
Sasa kama nahodha wako hajui Kiingereza, Kifaransa na Kireno, inakuwaje unalazimisha ushauri kwa nahodha wa Simba? Au Yanga haina mpango wa kuvuka makundi?
Nahodha wangu ni nani?
 
Elimu yake navyosikia ni Madrasa na pia kidato cha 4. Je anaweza bishana kwa lugha ya Kiingereza, Kifaransa au Kiarabu? Au Mikia hamjui umuhimu wa kaptein kuwa mjuzi wa lugha husika ?
Lugha ya kiingereza! Kwamba wanaoishia form four hawajuagi kingereza! Hilo nalo limenishangaza, kingereza mbona kuna sehem kibao za kufundisha kingereza tu.
 
Lugha ya kiingereza! Kwamba wanaoishia form four hawajuagi kingereza! Hilo nalo limenishangaza, kingereza mbona kuna sehem kibao za kufundisha kingereza tu.

Amejifunza sehemu gani? Maana nmeuliza swali. Kama kapten lugha inamsaidia kwenye mawasiliano hasa kwa sasa kuna matumizi ya VAR inahitaji kumshawishi refa akacheck VAR
 
Mpira ni mchezo wa ishara kama unataka lugha nenda kwenye intaviuu za utumishi.
Yaani kapten ubishane na kumshawishi refa kwa ishara? Umezoea kuangalia azam. Anza kuangalia EPL au Lalila utaelewa
 
Elimu yake navyosikia ni Madrasa na pia kidato cha 4. Je anaweza bishana kwa lugha ya Kiingereza, Kifaransa au Kiarabu? Au Mikia hamjui umuhimu wa kaptein kuwa mjuzi wa lugha husika ?
Kwani kiingereza ndicho kinacheza mpira!
 
Elimu yake navyosikia ni Madrasa na pia kidato cha 4. Je anaweza bishana kwa lugha ya Kiingereza, Kifaransa au Kiarabu? Au Mikia hamjui umuhimu wa kaptein kuwa mjuzi wa lugha husika ?
Messi hajui KIINGEREZA ila ni captain kote aendako... Captain sio kuongea Tu ni Action na Kuongoza wenzako
 
Back
Top Bottom