Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,007
- 5,446
Mlete Shemeji adhibitishe hili🙄🙄Ni mkeo na ndugu zako wa kike,usilazimshe tabia mbaya za mkeo kuwa kwa kila mwanamke..
Mlete Shemeji adhibitishe hili🙄🙄Ni mkeo na ndugu zako wa kike,usilazimshe tabia mbaya za mkeo kuwa kwa kila mwanamke..
Wanawake ambao kutwa kukucha eti siwezi kumlea mwanaume mimi,ila mume yeye anakulea na kukuvisha bila kuchoka miaka yote ila akipata majanga kiuchumi unamgeukia hivi mtu wa aina hii akitoa hela yake alishe familia week tu sindio na deki utapigishwa kabisa?
Mke wangu yuko na hii tabia kama hatabadilika hapo baadaeMume mtamu jamani.
Akiwa na stress mliwaze na msaidie majukumu yake pale unapoweza.
Mpe hope kwamba mambo yatakaa Sawa tu.
Believe in him, pray for him.
yani kama mkeka bana 🤣 🤣Sio mke ila ni mchumba, nilikwama kidgo kwenye biashara zangu japo ni ndogo bado nipata loss, alinipa kiasi cha fedha na wala ajanidai hadi sasa yapata miezi minne N.B pesa alizonisaidia ni ndogo mnoo kulinganisha ambazo mimi nimempatia.
Tatizo la kina mama wengi pesa ya mme ni yenu wote, na ya mke ni yake mwenyewe na hapo ndio uchungu unaanzia 🤣 🤣 🤣Ila na mimi....
kelphin kepph hii kitu inaitwa Pesa inaharibu sana ndoa...cha muhimu ni kuhakikisha mume na mke muwe same team inapokuja suala la mapato na matumizi kwenye familia....
Sio ile ya mimi zangu na wewe zako....mkijiwekea hela ni zenu wote, hata siku mkiishiwa...mtakuwa wawili kwenye Stress na mtafarijiana jinsi ya kutoka huko....
Tatizo linakuja wengi wetu hatupendi kuunganisha vipato vyetu, kugawana majukumu na bila kusahau kuongelea jinsi ya kusaidiana kujiendeleza huko mbeleni.
UbarikiweMume mtamu jamani.
Akiwa na stress mliwaze na msaidie majukumu yake pale unapoweza.
Mpe hope kwamba mambo yatakaa Sawa tu.
Believe in him, pray for him.
Pole sana, huyo sio mke, na sio kila mwanamke ni mke, mke ni yule ambae mnasimama pamoja katika vipindi vyote vya maisha bila kujali, ndio maana hata kiapo cha ndo kinasema wazi kwamba mtakua pamoja kwa shida na raha, magonjwa dhiki na tabuHabari wakuu.
Unapokuwa katika kipindi kigumu cha kukosa pesa mkeo nyumbani uwa anakutazama vipi huwa anaikubali hiyo hali mnaishi nayo au ndo mtu wa kuzila na kukusanya vilago kama huyu wa kwangu make naona subira yake ipo kwenye vingine sio pesa.
Hebu tupe mtazamo kwa huyo wa kwako.
khaaaahNi mkeo na ndugu zako wa kike,usilazimshe tabia mbaya za mkeo kuwa kwa kila mwanamke..
Huo ni UzinziSasa kwani walio olewa hawawezi kutamani nje? Au walioko ndani ya ndoa hawachepuki? Aaah wee
Hii jinsia yenu haitabiriki kabisa.Hivi hili swali limekaa kifursa eeh‍♀️mtu wa pili sasa unamshtua achangamke!umri unaendaje na fursa mkuu
Hakuna kitu kinachobadilika kwa haraka kama maneno ya ukiwa nje ya ndoa na ukiwa ndani ya Ndoa.Mmh haya mkuu, ila unahisi hayo maneno hayawezekani?
Usijidanganye, wapo ila kama unaoa kwa kuangalia makalio sio tabia jiandae kufa kwa presha siku mambo yako yakiyumbaKarne hii hawapo labda walikufa maji maji war
Umeoa kahaba,poleNa nuniwa upendo unapungua mno
Ukimpata nijulisheUsijidanganye, wapo ila kama unaoa kwa kuangalia makalio sio tabia jiandae kufa kwa presha siku mambo yako yakiyumba