Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,493
- 12,453
Mkapa hakuwahi kwenda uwanja wa taifa kama mgeni rasimi alikuwa anadili zaidi na uchumi wa taifa hili so ni watu wawili tofauti hawa hata kifira
Mkapa hakuwa na time ya kupiga picha na 50cent sijui boyz2 men,wala hakuwa na swaga za kwenda kwenye birth day ya clouds sijui mauchafu gani ye alikua bize na kukusanya kodi na kuhakikisha bei ya sembe haipandi ili watanzania waende chooni...