Hivi Mkapa anamkubali JK?

Hivi Mkapa anamkubali JK?

Mkapa hakuwahi kwenda uwanja wa taifa kama mgeni rasimi alikuwa anadili zaidi na uchumi wa taifa hili so ni watu wawili tofauti hawa hata kifira

Mkapa hakuwa na time ya kupiga picha na 50cent sijui boyz2 men,wala hakuwa na swaga za kwenda kwenye birth day ya clouds sijui mauchafu gani ye alikua bize na kukusanya kodi na kuhakikisha bei ya sembe haipandi ili watanzania waende chooni...
 
Mkapa hakuwa na time ya kupiga picha na 50cent sijui boyz2 men,wala hakuwa na swaga za kwenda kwenye birth day ya clouds sijui mauchafu gani ye alikua bize na kukusanya kodi na kuhakikisha bei ya sembe haipandi ili watanzania waende chooni...

Umesahau pia Mkapa alikua busy na kuiba na kuyauza mashirika ya umma...yaani katika marais waliofuja na kuiua hii nchi ni huyu Mkapa...alikua anaumaa sana then anapuliza eti anakusanya kodi my a&%%$££$""
 
Kiukweli Mkapa ndio anayempotosha Kikwete baada ya kumuona hamnazo!
 

Umesahau pia Mkapa alikua busy na kuiba na kuyauza mashirika ya umma...yaani katika marais waliofuja na kuiua hii nchi ni huyu Mkapa...alikua anaumaa sana then anapuliza eti anakusanya kodi my a&%%$££$""


HERI YA "JAMBAZI "MKAPA aliiachia pesa za kutosha kuliko "MSTAARABU KIKWETE" aliepandisha mfumuko wa bei na kumaliza pesa alioachiwa hazina na kufufua deni ambalo NKAPA alilimaliza.
 
We we una imami naye kwa sababu mlikuwa na umoja wa kuchukua ma.bi.bi ya watu huko masasi

'Nina Imani sana na Mh. Kikwete na tumeshafanya nae kazi kwa muda mrefu tukianzia kule Masasi akiwa Kiongozi wangu wa Chama mimi nikiwa Mbunge'- BWM 30/10/2010. Inaniwia vigumu kuacha kuamini maneno haya na kuanza kuamini vijimaneno vya kwenye Vijiwe vya Bhangi.[/QUOTE]
 
'Nina Imani sana na Mh. Kikwete na tumeshafanya nae kazi kwa muda mrefu tukianzia kule Masasi akiwa Kiongozi wangu wa Chama mimi nikiwa Mbunge'- BWM 30/10/2010. Inaniwia vigumu kuacha kuamini maneno haya na kuanza kuamini vijimaneno vya kwenye Vijiwe vya Bhangi.

Hayo maneno yalisemwa siku ya kufunga kampeni. Na hii ni baada ya BWM kuwa ameingia mtini ktk shughuli nyingi za kitaifa zinazomhusisha Kikwete. Kwa kifupi alisema ili kutakasa wingu.
 
We we una imami naye kwa sababu mlikuwa na umoja wa kuchukua ma.bi.bi ya watu huko masasi

'Nina Imani sana na Mh. Kikwete na tumeshafanya nae kazi kwa muda mrefu tukianzia kule Masasi akiwa Kiongozi wangu wa Chama mimi nikiwa Mbunge'- BWM 30/10/2010. Inaniwia vigumu kuacha kuamini maneno haya na kuanza kuamini vijimaneno vya kwenye Vijiwe vya Bhangi.
[/QUOTE]

Mkuu Chajo umecheki jina lake? Inawezekana yeye ndo alikuwa huyo bi.bi mwenyewe!
 
Last edited by a moderator:
Mkapa Mwizi Fisadi aliyetuingiza kwenye mikataba ya kijinga kabisa! Dhahabu zote zinatoweka, Tanzanite sinasombwa, Uranium zinachimbwa hadi kwenye hifadhi ya Taifa, Vitalu vya Gesi walisha gawana, Rader Mbovu walitubambika kwa pesa za walipa kodi, TANESCO aliihujumu ile mbaya, Alijinyakulia KIWIRA, MKAPA aliuza kila kitu cha nchi hii including majengo ya NBC, NMB nk.... JK hapaswi kuwa karibu na JAMBAZI Mkapa hata siku moja...

Hivi mwizi na jambazi ni yupi? Huyu JK aliyekomba hazina yote iliyoachwa na Ben au Ben? Kama hoja ni ya ujambazi na wizi wote wawili hawakwepi. Issue ya Richmond inakwenda na kuishia kwa JK. Biashata za Riz1 utata mtupu. Twiga na tembo wanauwawa na kusafirishwa na rafiki za JK mchana kweupe. Kila mkataba unaosainiwa sasa ni mambo ya dili na fungu lazima lifike kwa mkulu. Utasemaje hapo? Unahitaji uwe na kichwa cha nazi kumtetea JK kuhusu ufisadi
 
Habari wakuu,

Hivi kwa kutazama mwenendo wa Mkapa towards JK,unapata picha gani?Je Mkapa anaonekana kumkubali JK?Je si kweli kuwa Mkapa anajaribu kujiweka kando na siasa za JK?

Tafakari utapata jibu.

Hao ni marafiki ndo maana hawanyoosheani vidole km alivyokuwa mwinyi kwa mkapa
 
HERI YA "JAMBAZI
"MKAPA aliiachia pesa za kutosha kuliko "MSTAARABU KIKWETE"
aliepandisha mfumuko wa bei na kumaliza pesa alioachiwa hazina na
kufufua deni ambalo NKAPA alilimaliza.

Je yeye alikuta kiasi gani? Alikuta nch ikiwa kwenye hali gani? Acha kujisif km una mbio, but msifu na anaekufukuza? Huna hoja nenda kajipange tena.
 
Je yeye alikuta kiasi gani? Alikuta nch ikiwa kwenye hali gani? Acha kujisif km una mbio, but msifu na anaekufukuza? Huna hoja nenda kajipange tena.

Mambo ya Tanganyika unayatakia nini wewe si umetoka kuhara kwenye uzi mwingine!!!!!!

Nose poker
 
Mkapa hajawahi kumpenda JK kwa vyovyote vile...Na hata lile Sakata la gesi Mtwara o, limezidi kuwaweka mbalimbali hawa mabwana...Kwa ufupi Mkapa hakutaka JK awe successor wake in anyway, bt kwakuwa ishatokea hivyo, Mkapa ameamua akae kivyake.
si ni mchezo wa kucheza na karata! Wingereza wanasema who get what ,when and how! Mkapa ndiye aliyetoa hotuba ya kumkandamiza Dk Salim na kumbeba JK ....kwa manufaa yake naikiri si kwa mwanufaa ya nchi!
 
Mkapa anaona aibu kuwa karibu na jk kwani anajua alivyo muachia nchi ikiwa haina kitu ilikomba Pesa zoote mkapa mwiziii
 
'Nina Imani sana na Mh. Kikwete na tumeshafanya nae kazi kwa muda mrefu tukianzia kule Masasi akiwa Kiongozi wangu wa Chama mimi nikiwa Mbunge'- BWM 30/10/2010. Inaniwia vigumu kuacha kuamini maneno haya na kuanza kuamini vijimaneno vya kwenye Vijiwe vya Bhangi.

asante sana wewe sijui dada au mamdogo, tufafanulie wazi je unataka ukuu wa wilaya maana JK ni maarufu sana kwa totoz, je na wewe ni moja wa hao totoz hadi umtetee hapa hadharani. Je alivyo vurunda kwenye kuzindua bunge la katiba hukumwona?
 
Back
Top Bottom