Said Stuard Shily
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 2,263
- 1,883
Simba mwenda Pole ndie mla nyamaWakuu.
Hivi huyu mgombea wa ACT wazalendo ndugu Benard Membe, kampeni zake anafanyia wapi, maana simsikii kabisa?
Simba mwenda Pole ndie mla nyamaWakuu.
Hivi huyu mgombea wa ACT wazalendo ndugu Benard Membe, kampeni zake anafanyia wapi, maana simsikii kabisa?
Wenye akili waligundua mapema kuwa hapo hakuna kitu ni nguvu ya CCM tu ilikuwa inambeba....najiandaa kumuona Kisutu!Membe alifikiri huko field nako kuko kama jf na twitter!
Yule jamaa siamini kama kukaaa kote na JK kumbe kichwani kuko empty tu. Yani akipumbazika na sifa za mitandaoni.
Au mfa njaa!Simba mwenda Pole ndie mla nyama
we ropoka tuWapinzani hawakUjipanga kwa kweli. Hata Lisu
Bernard Camilius Membe: Mshumaa Unaowaka kwenye Ufukwe wa BahariDaah Membe amepotea kabisa katika siasa,nadhani anajuta anaona bora angebaki kimya tu
Yupo ataibuka dakika za nyongeza usiwe na waswasiWakuu.
Hivi huyu mgombea wa ACT wazalendo ndugu Benard Membe, kampeni zake anafanyia wapi, maana simsikii kabisa?
Jana alikuwa Nanyumbu,leo yuko Nangurukuru,kesho atakuwa Nakapanya kisha Nanguruwe
Ni Mwendawazimu tu pekee ndiyo mpaka leo hii angekuwa anaamini kwa 100% kuwa Bernard Membe ni Mpinzani hasa na siyo mwana CCM 100%.Wakuu.
Hivi huyu mgombea wa ACT wazalendo ndugu Benard Membe, kampeni zake anafanyia wapi, maana simsikii kabisa?
Mambo ya "Twende na Membe" teh teh tehMembe alifikiri huko field nako kuko kama jf na twitter!
Yule jamaa siamini kama kukaaa kote na JK kumbe kichwani kuko empty tu. Yani akipumbazika na sifa za mitandaoni.
Wapinzani gani?Wapinzani hoi, hawana hamu Tena na kampeni.
Ulishazeeka kiasi hiki?Jana alikuwa Nanyumbu,leo yuko Nangurukuru,kesho atakuwa Nakapanya kisha Nanguruwe