Hivi mbona maji ya Uhai, Afya au Pangani hayanywewi kwenye hafla kubwa? Maji ya Kilimanjaro yana nini?

Nadhani utamaduni wetu wabongo kutopenda vitu vya bei ya chini sana tukiamini kitu kikishakuwa bei ya chini tunahisi kina kasoro fulani mf; Kilimanjaro water imekaa kwenye bei halisi miaka mingi kwa ujazo ule ule bila kubadilika.
Linganisha matumizi pia ya bidhaa za Coca-Cola na Pepsi,Coca ipo juu daima,ukienda sehemu mwenzio apewe coca wewe uliepewa Pepsi utajisikia hovyo
Kuna Colgate na Whitedent,whitedent watasubiri sana kwa colgate
Bidhaa za Toyota na Tata,Tata watasubiri sana japo bidhaa zao ni za bei ya chini.
Sisi Watanzania tunapenda kujiaminisha kupitia bei tukiamini kitu cha bei kubwa ndicho kizuri,hatuangilii cha bei ya chini kwani tunaamini udogo wa bei ndio mapungufu yake
 
Wapo vizuri. Kwa ubora hill water watawafuatia, hill water warekebishe tu tatizo la vizibo vya chupa kwasababu ni vigumu kufungua! Kweli maji ya hill yana ladha safi.
 
Klm walishajitengenezea kina kwamba ni wa hadhi ya juu. Wapinzani wapya mbinu yao kuu ikawa ni kushusha bei. Wakawapata wengi.

Ila inapokuja swala la hadhi klm wanatumia historian yao nzuri.
 
😂😂😂😂👌
Kwetuu moshiii. This ia Kilimanjaro. Hata ukiangalia pH ya baadhi ya maji sio neutral yamezidi 0.3 so yana pH ya 7.3 ila ya Kilimanjaro yana pH ya 7.0 so yatabaki kuwa brand kubwaaa.



Ovaaaa...!!!
 
Hivi si kuna kichaa aliwaamuru hizi taasisi za umma watumie maji ya Uhuru?

Kwahiyo ndio kusema Watanzania wameamuwa kumkataa shetani na mambo yake?
 
1. Hill Water
2. Uhai
3.Afya

Hill Watengeze maji ya 1.5L kama wenzao ,Afya wamebadili Chupa imekuwa kama Dasani.
 
Branding.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…