Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,135
- 2,470
Tunatangaza mlima kilimanjaro
Kilimanjaro the best asikudanganye mtu, Kilimanjaro upate yale yenyewe ya kutoka shirimatunda Moshi na siyo haya ya Tandika wanayochakachuwa.hili jambo linashangaza, wakati kwa test maji ya Afya na Hill ndiyo yanaongoza.
Ni kwel..ila pia tambua hayo maji yanaingiza hasara iliyotukuka maana yanatumika mara moja moja sana compared na haya mengne ambayo ni kama basic need ya watu...tembea mitaan utajionea..so kampun imebak na brand kubwa tu ila haina mauzo..hayo ndo maajabuLeo nilikuwa nafuatilia Tuzo za TFF, pamoja na mambo mengine nimefuatilia maji yaliyokuwa yananywewa na wadau, hakuna zaidi ya Maji ya Kilimanjaro.
Haya maji ya Uhai, Pangani au Afya yanayouzwa sana kwa mama lishe kule Tandika na Kariakoo imekuwaje huko kwa wakubwa?
Yapo hill ya 1.5L.1. Hill Water
2. Uhai
3.Afya
Hill Watengeze maji ya 1.5L kama wenzao ,Afya wamebadili Chupa imekuwa kama Dasani.
Ukiweka takwimu maj ya kilimanjaro ndo yenye mauzo hafifu kuliko hizo kampun zingne....yaan limebak jina tu ila mauzo hakuna..mtaan kwenye wanunuz weng huwez kuyakuta hayo..hayo yanauzwa kwenye mikutano tuu ambayo ni moja moja..sasa hyo hasara kubwa kwa kampun..uhai unayakuta had vichochoron huko..so wajifunze...bila hvyo naamin hyo kampun inaenda kuanguka sooonHahahah, sahihi kabisa mkuu...Wanahitaj darasa kwenye branding
Lakin ndo anaongoza kwa mauzo.....uhai water...hiv wa Tz lin tutakua na akil...uhai analenga watu wa hali ya chin ambo ndio 95% ya watu wote Tz..hao kilimanjaro wanalenga 5% ya watu...hata siku1 mfanyabiashara mwenye akil na anaetaka pesa na faida hawez lenga hilo soko dogo..ndiomana bakhresa ataendelea kuwa juu..ana akil..na hao kilimanjaro wasipokua makin kiwanda kitakufa..watakua wanapata hzo tenda za mikutano michache na kuliacha soko kubwa la mtaanMaji matamu Sana . Huo uhai hayana yofauti ni viroba. Package na quality ya maji hayana mpinzani .
Huko mzee wanakunywaga tu virungu vya polisiccmKilimanjaro kinachoibeba ni brand iliyozoeleka kuonekana inatumika katika matukio makubwa, nje kidogo ya maada, kwemye makongamano ya katiba makamanda huwa mnatumia maji gani ?
Wewe ndio Una foji?!!...Kwa sasa ni Dew Drop awa jamaa wapo vizuri sana kilimanjaro wameyaaribu sana kwa tamaa zao wenyewe watu wengi sana wanafoji kilimanjaro water
Ilo jina tu la Kilimanjaro lina tangaza kivutio cha utalii hapa Nchini,Leo nilikuwa nafuatilia Tuzo za TFF, pamoja na mambo mengine nimefuatilia maji yaliyokuwa yananywewa na wadau, hakuna zaidi ya Maji ya Kilimanjaro.
Haya maji ya Uhai, Pangani au Afya yanayouzwa sana kwa mama lishe kule Tandika na Kariakoo imekuwaje huko kwa wakubwa?
Hivi si kuna kichaa aliwaamuru hizi taasisi za umma watumie maji ya Uhuru?
Kwahiyo ndio kusema Watanzania wameamuwa kumkataa shetani na mambo yake?
Hahahahaaa... Nimecheka kweli kweli... Mkuu Uko sahihi..Mkuu hivi hujawahi kupiga maji ya uhai au afya mara ile lebo ianguke yenyewe sijui gundi wanaweka ndogo, sasa maji gani unakunywa unashangaa lebo inaondoka na upepo wa feni
Sasa ipo Dew ya VingungutiDew drop maji kutoka ufipani ...wako vizuri Sana...
Kwenye pepsi na coca mzee umepuyanga saivi pepsi iko juu hatariNadhani utamaduni wetu wabongo kutopenda vitu vya bei ya chini sana tukiamini kitu kikishakuwa bei ya chini tunahisi kina kasoro fulani mf; Kilimanjaro water imekaa kwenye bei halisi miaka mingi kwa ujazo ule ule bila kubadilika.
Linganisha matumizi pia ya bidhaa za Coca-Cola na Pepsi,Coca ipo juu daima,ukienda sehemu mwenzio apewe coca wewe uliepewa Pepsi utajisikia hovyo
Kuna Colgate na Whitedent,whitedent watasubiri sana kwa colgate
Bidhaa za Toyota na Tata,Tata watasubiri sana japo bidhaa zao ni za bei ya chini.
Sisi Watanzania tunapenda kujiaminisha kupitia bei tukiamini kitu cha bei kubwa ndicho kizuri,hatuangilii cha bei ya chini kwani tunaamini udogo wa bei ndio mapungufu yake
Mabaya hadi yanakera, ila ukipata ya ufipani ni nomaSasa ipo Dew ya Vingunguti