kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,052
- 7,057
Jibu hojaNimeongelea suala la kuoa wapi?
Katika hiyo comment uliyoniqoute kuna mahali nimezungumzia kuoa/kuolewa?
Tuliza kichwa kijana, unachuki kwa wachaga hadi unaqoute unaandika urojo!
Jibu hojaNimeongelea suala la kuoa wapi?
Katika hiyo comment uliyoniqoute kuna mahali nimezungumzia kuoa/kuolewa?
Tuliza kichwa kijana, unachuki kwa wachaga hadi unaqoute unaandika urojo!
Aiseee!Kuna msukuma alikua anaishi Dar, alioa mchaga alipokufa Crew la Wachaga upande wa mke wake wakang'ang'ania azikwe Dar ... wakaleta mapolisi, akazikwa kinondoni. Familia ya mume hawakwenda msibani walizira.
Siku ya tatu mama la kichaga likachukua Semi kwenda kupakia ngombe wote wa mme wake shinyaga moja kwa moja akaenda kushusha mnada wa pugu.
Unapoongelea kuoa mchaga jitathmini aisee. Hakuna masikhara pale...wamechanganyikiwa na pesa wale. Utake usitake utakufa tu. Hata kama yeye anakupenda trust me mipango ya kukutanguliza itafanywa na ndugu zakw hata bila yeye kushirikishwa na baadae akisharithi kila kitu ndo wanakaa wanamuuliza ULIKUA UNACHELEWA NINI??
Kumbe wewe ni half caste wa kimasai na kichagaAcha upuuzi wewe.
Kila mtu afanye anachoona ni sawa kwake. Hakuna aliepangiwa mwenzi wa kwenda kwao. Kila mtu aende akitaka. Sisi Wachagga tumechagua tupambane mwaka mzima halafu mwisho wa mwaka twende kwetu kusalimia wazee wetu na kufurahia sikukuu za Noeli na Mwaka Mpya.
Kama unaona wivu kufa tutatuma rambirambi.
Kanda moja bana lazima tuteteaneKumbe wewe ni half caste wa kimasai na kichaga
SureKanda moja bana lazima tuteteane
Let's talkSure