Hivi 'Mashemeji' zangu 'Wachagga' kwani ni lazima muende Kwenu Kilimanjaro kila 'Krismasi' tu?

Poti wanaenda kufanya matambiko, halafu ruhusa wanayoomba ni kwenda kushughilikia matatizo ya kifamilia...........hawa watu chenga sana.
Nina swali kwan ndio kabila pekee linalofanya mitambiko au mitambiko ni kosa la kisheria?
 
Kabla ya hizo dini kuja . Wazee wetu walikuwa wanasali wapi?
Kwa hiyo hoja yako ni ipi? kama ukristo unakataza ibada kwa miungu/mizimu unawezaje kujitambulisha kama mkristo na hapohapo uendelee na dini yako ya wazee ambayo inaabudu miungu/mizimu. Kwa akili ya kawaida hujaona kuna contradiction hapo.........
 
Kwa hiyo hoja yako ni ipi? kama ukristo unakataza ibada kwa miungu/mizimu unawezaje kujitambulisha kama mkristo na hapohapo uendelee na dini yako ya wazee ambayo inaabudu miungu/mizimu. Kwa akili ya kawaida hujaona kuna contradiction hapo.........
Naona unakwepa na kuzunguka zunguka. Kama si wakoloni ukristo ungeusikia kwenye chupa. Nimekuuliza kabla ya ukristo na dini zingine kuja?
Wenyeji wa huko walikuwa wanaabudu wapi?

Kila mtu ana uhuru wa kuabudu chochote anachoamini. Huwez mpangia.
In the end watu hawezi acha asili zao kisa dini ya kuletwa.
 
Mbona miezi iko mingi tu kwanini nyie 'mhangaike' sana na huu Mwezi Mmoja tu wa Disemba?

Kiukweli mnatusumbua sana na hizi Kelele zenu za kila ukifika tu Mwezi huu wa Disemba kuwa kuna shida ya Usafiri na kwamba Nauli nazo huwa zinapandishwa maradufu.

Acheni kuishi 'Kimatambiko' na anzeni pia kujiwekea utaratibu wa kwenda huko Kwenu Kilimanjaro hata katika Miezi mingine na msilazimishe tu huu Mwezi wa Disemba.

au mkiweza igeni tabia za haya Makabila ya 'Washamba' Tanzania nzima ya Wahaya, Wanyiramba, Waha, Wanyaturu, Wakara, Warangi na Wanyamwezi ambao utaratibu wao wa kwenda Kwao huko huwa ni kila baada ya Miaka Mitano au hata

Gentamycine aliwahi patwa na ugonjwa wa akili nahisi hadi sasa hajapona vizuri
 
Halafu wanajifanya watu wa dini sana.......ni wapi ukristo umeruhusu kutambikia mizimu, mizimu ni miroho michafu inayokuja kwenye sura za wafu ili ifanyiwe ibada. Mtu mwenye ufahamu wa kawaida wa dini huwezi kuchinja mbuzi eti unawatolea wazee sadaka. Ukisoma kitabu cha Ayubu imeandikwa binadamu akishakufa kumbukumbu lake limepotea, hana chochote anachojua......watoto wake wanaweza kuwa watu maarufu yeye hatambui, hata kama wanapata mateso hajui chochote kinachoendelea.......leo mtu unaenda eti kupalilia makaburi na kutoa sadaka kwenye makaburi ili ku appease mizimu ya mababu, na bado unajigamba ni mtu wa dini..........hiyo ni spiritual bankruptcy.....​
Ulikuwepo huko Moshi ukayashuhudia haya uloandika Hapa? Au it’s just a hearsay tu?
 
Utajiju, wewe kwenu huna hata choo utaendea uani wapi!?
Mtawasema sana wachaga hadi mpauke midomo ila kwenda kwao december hawatoacha!
Hata atokee dikteta wa wapi aseme wachaga waache kwenda kwao itakuwa sawa na kutwanga maji kwenye kinu!
Hata mseme wanakwenda kutambika kwa kufukua makaburi hawatoacha ng’o!
Hata muwatukane matusi ya aina zote mnayoyajua hawatajali kamwe!
Kikubwa wote mnaoona wachaga sijui wanakosea tafuteni hela mjenge kwenu, pendaneni acheni ubinafsi na wivu wa kipuuzi!
Hili la wachaga kwenda kwao december eti ni kwa nini wasiende mwezi mwingine ni utamaduni ambao hakuna wa kuweza kuubadilisha labda iumbwe dunia mpya!
Sherehe za krismasi ni sherehe za familia, hivi miezi kama ya nne au nane ambapo watoto wapo shule na wazazi wapo kazini inawezekanaje kwa familia kukutana na kufurahi pamoja!?
Kwa kweli wewe Gentamycine unayejiita sijui majina gani humu na watu kukuona una akili na wewe mwenyewe kujishaua kuwa una uwezo kifikra, kwa huu uzi ulioleta nimekuona kwamba una kila sifa za kuitwa zwazwa!!
👆👆Unaongea utafikiri huko uchaggani ni Calfornia🤣🤣🤣🤣

KUmbe uchaggani HALI HALISI 👇👇
 

Attachments

  • VID-20211120-WA0002.mp4
    11.3 MB
  • VID-20211120-WA0000.mp4
    13 MB
Naona unakwepa na kuzunguka zunguka. Kama si wakoloni ukristo ungeusikia kwenye chupa. Nimekuuliza kabla ya ukristo na dini zingine kuja?
Wenyeji wa huko walikuwa wanaabudu wapi?

Kila mtu ana uhuru wa kuabudu chochote anachoamini. Huwez mpangia.
In the end watu hawezi acha asili zao kisa dini ya kuletwa.
if that is the case, unakuwa unamdanganya nani sasa...........be straight kwamba unaabudu mizimu, kujivika ukristo ni ili iweje kwa mfano.
 
if that is the case, unakuwa unamdanganya nani sasa...........be straight kwamba unaabudu mizimu, kujivika ukristo ni ili iweje kwa mfano.
Hahahaha sijasema mm ndio nina abudu mizimu. Still bado unakwepa vile vile kujib basic question. Wkt hizi dini hazijafika afrika? Watu walikuwa wanaabudu wapi?
 
Mbona miezi iko mingi tu kwanini nyie 'mhangaike' sana na huu Mwezi Mmoja tu wa Disemba?

Kiukweli mnatusumbua sana na hizi Kelele zenu za kila ukifika tu Mwezi huu wa Disemba kuwa kuna shida ya Usafiri na kwamba Nauli nazo huwa zinapandishwa maradufu.

Acheni kuishi 'Kimatambiko' na anzeni pia kujiwekea utaratibu wa kwenda huko Kwenu Kilimanjaro hata katika Miezi mingine na msilazimishe tu huu Mwezi wa Disemba.

au mkiweza igeni tabia za haya Makabila ya 'Washamba' Tanzania nzima ya Wahaya, Wanyiramba, Waha, Wanyaturu, Wakara, Warangi na Wanyamwezi ambao utaratibu wao wa kwenda Kwao huko huwa ni kila baada ya Miaka Mitano au hata Kumi vile vile.
Ni wivu tu!
 
Utajiju, wewe kwenu huna hata choo utaendea uani wapi!?
Mtawasema sana wachaga hadi mpauke midomo ila kwenda kwao december hawatoacha!
Hata atokee dikteta wa wapi aseme wachaga waache kwenda kwao itakuwa sawa na kutwanga maji kwenye kinu!
Hata mseme wanakwenda kutambika kwa kufukua makaburi hawatoacha ng’o!
Hata muwatukane matusi ya aina zote mnayoyajua hawatajali kamwe!
Kikubwa wote mnaoona wachaga sijui wanakosea tafuteni hela mjenge kwenu, pendaneni acheni ubinafsi na wivu wa kipuuzi!
Hili la wachaga kwenda kwao december eti ni kwa nini wasiende mwezi mwingine ni utamaduni ambao hakuna wa kuweza kuubadilisha labda iumbwe dunia mpya!
Sherehe za krismasi ni sherehe za familia, hivi miezi kama ya nne au nane ambapo watoto wapo shule na wazazi wapo kazini inawezekanaje kwa familia kukutana na kufurahi pamoja!?
Kwa kweli wewe Gentamycine unayejiita sijui majina gani humu na watu kukuona una akili na wewe mwenyewe kujishaua kuwa una uwezo kifikra, kwa huu uzi ulioleta nimekuona kwamba una kila sifa za kuitwa zwazwa!!
Kuna msukuma alikua anaishi Dar, alioa mchaga alipokufa Crew la Wachaga upande wa mke wake wakang'ang'ania azikwe Dar ... wakaleta mapolisi, akazikwa kinondoni. Familia ya mume hawakwenda msibani walizira.

Siku ya tatu mama la kichaga likachukua Semi kwenda kupakia ngombe wote wa mme wake shinyaga moja kwa moja akaenda kushusha mnada wa pugu.

Unapoongelea kuoa mchaga jitathmini aisee. Hakuna masikhara pale...wamechanganyikiwa na pesa wale. Utake usitake utakufa tu. Hata kama yeye anakupenda trust me mipango ya kukutanguliza itafanywa na ndugu zakw hata bila yeye kushirikishwa na baadae akisharithi kila kitu ndo wanakaa wanamuuliza ULIKUA UNACHELEWA NINI??
 
Kuna msukuma alikua anaishi Dar, alioa mchaga alipokufa Crew la Wachaga upande wa mke wake wakang'ang'ania azikwe Dar ... wakaleta mapolisi, akazikwa kinondoni. Familia ya mume hawakwenda msibani walizira.

Siku ya tatu mama la kichaga likachukua Semi kwenda kupakia ngombe wote wa mme wake shinyaga moja kwa moja akaenda kushusha mnada wa pugu.

Unapoongelea kuoa mchaga jitathmini aisee. Hakuna masikhara pale...wamechanganyikiwa na pesa wale. Utake usitake utakufa tu. Hata kama yeye anakupenda trust me mipango ya kukutanguliza itafanywa na ndugu zakw hata bila yeye kushirikishwa na baadae akisharithi kila kitu ndo wanakaa wanamuuliza ULIKUA UNACHELEWA NINI??

Nimeongelea suala la kuoa wapi?
Katika hiyo comment uliyoniqoute kuna mahali nimezungumzia kuoa/kuolewa?
Tuliza kichwa kijana, unachuki kwa wachaga hadi unaqoute unaandika urojo!
 
Back
Top Bottom