Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 664
- 1,272
Ukimwangalia ZITO tabia ya usaliti alianza nayo toka zamani tangu enzi akiwa CHADEMA mabeberu wake walikuwa ni Serikali ya Kikwete iliyokuwa inamtumia kula hela zaidi
Alipoingia Magufuli alijua kuwa utaratibu ule wa awali utaendelea kwamba Magufuli ataendelea kumtumia Zito kudhoofisha Upinzani ndiyo maana wakati wabunge wenzie wa Upinzani wanasusia bunge yeye alibaki bungeni
Wakati Tundu Lissu anazunguka Ulaya na Marekani kumtukana Rais yeye alimtukana pia Lissu
Baada ya kujipima na kuangalia nguvu ya Ushawishi imeisha na hayupo wa kumbeba ikabidi ajisalimishe kwa Mabeberu wamtumie kuharibu Taswira ya nchi
Aliona wivu jinsi Lisu alivyokuwa maarufu kwa hiyo ameamua kumvuruga Lisu
Lakini tujiulize Marekani akiweka Vikwazo Tanzania ndo CCM itaondoka? Jibu hapana pia Zito akumbuke kwamba Nchi ikiwekewa Vikwazo huwa inajiweka kwenye State Urgency yaani wananchi huungana kuyakabili matatizo
Alipoingia Magufuli alijua kuwa utaratibu ule wa awali utaendelea kwamba Magufuli ataendelea kumtumia Zito kudhoofisha Upinzani ndiyo maana wakati wabunge wenzie wa Upinzani wanasusia bunge yeye alibaki bungeni
Wakati Tundu Lissu anazunguka Ulaya na Marekani kumtukana Rais yeye alimtukana pia Lissu
Baada ya kujipima na kuangalia nguvu ya Ushawishi imeisha na hayupo wa kumbeba ikabidi ajisalimishe kwa Mabeberu wamtumie kuharibu Taswira ya nchi
Aliona wivu jinsi Lisu alivyokuwa maarufu kwa hiyo ameamua kumvuruga Lisu
Lakini tujiulize Marekani akiweka Vikwazo Tanzania ndo CCM itaondoka? Jibu hapana pia Zito akumbuke kwamba Nchi ikiwekewa Vikwazo huwa inajiweka kwenye State Urgency yaani wananchi huungana kuyakabili matatizo