For me kuna makosa ya kusamehe lkn kufumania sio mojawapo,so hakuta kuwa na maisha btn me n her afta tht.
For me kuna makosa ya kusamehe lkn kufumania sio mojawapo,so hakuta kuwa na maisha btn me n her afta tht.
Hahahaaa! Si kwa wote jamani.wanaume huwa wagumu sana kusamehe wakimegewa but huona 'poa tu' na kujisifia wanapocheat...
Kusameheana na kusahau ni mpaka yakukute, kila mtu anareaction zake at the spur of the moment! Inategemea adrenalin itakavyopanda siku hiyo! Although kumsamehe haimaanishi nimesahau! Kusahau ni ngumu, mtu keshamchenga my waif wako! Wee! Hata kulala nae yaweza kuchukua miezi tatu coz kakojolea nanihii zake mle! Nawe ukananihii tena! Suala la mke ni ngumu sana labda nyumba ndogo maana unaitosa fasta!sameheaneni tu ila msipenane magonjwa.