gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 287
Wana jamvi. Mi nata kujua baada ya kufumania na ukasamehe (saba mara sabini) huwa maisha yanakuwaje ndani ya nyumba.
Yanakuwa matamu sana kwani hata ukirudi saa nane usiku,hutaulizwa.. Utanyenyekewa utadhani mkeo anamhudumia Malkia..
Yaani full "freedom"... Ombea tu ihappen soon kwako!