Kama ni demu anaenda kufanya umal.aya Nigeria ni nchi yenye shida Sana ujambazi , utapeli na biashara ya viungoKuna mtu wangu wa karibu anaenda safari Nigeria.
Ningependa kujua maisha ya huko yakoje kuanzia usalama,social life,vyakula na mambo mengine ya msingi.
ok abuja ni kwa wayoruba,na mji ambao wayoruba,wa igbo na wahausa hapo ni wengi,sio mjinwenye purukushaninkubwa kama lagos,zingatia yafuatayo:Abuja
Sawa sawa mkuuok abuja ni kwa wayoruba,na mji ambao wayoruba,wa igbo na wahausa hapo ni wengi,sio mjinwenye purukushaninkubwa kama lagos,zingatia yafuatayo:
1.fata kazi iliyokupeleka
2.ukitaka demu tafuta mmoja tu uwe nae,usichanganye wanawake utapotea
3.matapeli ni wengi mno usijihusishe na dili zozote utaangamia
4.ufuska,pombe,klabu za kula raha huko ni kwao ni akili yako tu
5.Mimi nimekaa lagos ma nilichukua mdada wa ki igbo na nikazaa nae,niliidhi nae kwa raha sana
Mji gani anakuja Kaduna, Port Hakot, Onitsha Abuja au Lagos kila mji una tamaduni/character zakeKuna mtu wangu wa karibu anaenda safari Nigeria.
Ningependa kujua maisha ya huko yakoje kuanzia usalama,social life,vyakula na mambo mengine ya msingi.
Ni nchi ambayo watu wake kuuza Airport ni jambo la kawaida sana na kuna jamaa alishauza airport huko
PhD holders wanasafisha viatu
Yaani kila mmoja kasoma na ajira hakuna hivyo, kwa hiyo ni wewe na akili yako.
Kama ni kikazi akomae na kazi tu
Yaani awe kazi, nyumbani na asijhusishe nao kabisa iwe socialising au hata imani zozote
Iwe dini au ushirikina
Wamesoma sana halafu ajira hakunaWale jamaa noma kuna aliyempiga hela trump ya maandalizi ya kuapishwa kwake.
Wa Nigeria sio kwamba wamesoma sana wamefoji sana vyeti pia waliosoma wapo kawaida tu wao kufoji ni sehemu ya maisha yao ni kawaida tu..Wamesoma sana halafu ajira hakuna
Kila mmoja anatafuta mbinu za kuishi
Hawa na Ghana ni wamoja
Wanaijeria ni watu wenye ukabira sana nimekaa nao nchi mmoja .pamoja na ukabira wana umoja sana kuliko sisi wanafiki TZ.Kuna mtu wangu wa karibu anaenda safari Nigeria.
Ningependa kujua maisha ya huko yakoje kuanzia usalama,social life,vyakula na mambo mengine ya msingi.
Kweli na hilo lipo sana na ni waizi na waongo kupita kiasiWa Nigeria sio kwamba wamesoma sana wamefoji sana vyeti pia waliosoma wapo kawaida tu wao kufoji ni sehemu ya maisha yao ni kawaida tu..