Hivi maex huwa wanaachana?

Hivi maex huwa wanaachana?

Me madem wakishakua maex zangu huwa mambo tofaut na wengne.. hawatakag hata kuniona
 
Your man anasemaje?? Seems unamuogopa mwanamke wako huyo au tuseme yupo juu yako kiasi kwamba hauko huru kumuuliza hilo



cc Smart911
 
Your man anasemaje?? Seems unamuogopa mwanamke wako huyo au tuseme yupo juu yako kiasi kwamba hauko huru kumuuliza hilo



cc Smart911
Asemaje wakati namkwepa?
Namwogopa mwanaume wangu yes na nampenda,sitak ajue yaliyojiri
Najua maamuz yake
Ex naye anataka ajulikane
Pesa zimempa kiburi
 
Sasa nafanyaje?namkwepaje huyu mtu?
My man is very serious about me
Akisikia haya sijui hata nitamjibu nini
Kashasoma mbona hapa, we tembeza mbunye tu hiyo km meno bado ipo, huyo unamuita my man ni x wako hapo mbele kwa tabia hizo nae atapangusa tu hiyo papuchi na kupiga mchi.
Mwanaume wa mikoani atakuja kukuoa na mtacheza ile minyimbo yenu mliokariri kwenye harusi na ma x watatulia tu kwenye meza harusini wakila ubwabwa na bia.
Nyau we
 
Kashasoma mbona hapa, we tembeza mbunye tu hiyo km meno bado ipo, huyo unamuita my man ni x wako hapo mbele kwa tabia hizo nae atapangusa tu hiyo papuchi na kupiga mchi.
Mwanaume wa mikoani atakuja kukuoa na mtacheza ile minyimbo yenu mliokariri kwenye harusi na ma x watatulia tu kwenye meza harusini wakila ubwabwa na bia.
Nyau we
Hahaha hajasoma
Saivi tu nimetoka ongea naye
 
Kuna jamaa yangu mmoja mpaka leo anasema na kuamini kuwa mungu wa Wanawake amekufa! Sikuwa Namuelewa ila kwa uzi huu naanza kumuelewa. Ndio maana anawagegeda mademu anavyo taka! Na anawadharau sana anawaita kenge. Samahani lakini.....
 
Back
Top Bottom