Nickia harufu ya shetani ime tanda leo humu ndani!
mimi pia nais ibilisi amewaingia watu umu,ngoja nikemee tosabiso abangise pepe naliko naipele botema nangae sherii nono,pepo toka,mungu ndioaliyeumba vitu vyote,ata ukisoma ufunuo,mji wa mbingun umezungukwa kwa almas,na umejengwa kwa dhahabu ivo mambo za wanasayansi wakat mwingine si zakuamininafaa uchanganye akili zako kufikiri
Madini ni molecules or elements ambazo zimebaki chini ya ardhi kwa miaka kadhaa kutokana na Geological history. Hakuna cha Mungu anapendelea wala nini. Vitu kama almasi ni carbon molecule ambayo ikiwa under intense pressure and temperature inatengeneza almasi. Almasi haina tofauti na graphite au mkaa bali ni formation yake ni tofauti. Fikiria kama mchele na mpunga. Dhahabu ni rahisi kupatikana kwa sababu gold element sio reactive kama metali nyingi.
Hizi elements zinatokana wapi? Nuclear fusion. Historia ya ulimwengu ilianza kama hydrogen. Hydrogen ina fuse kutengeneza helium. Hivo hivo helium ina-fuse kutengeneza elements higher in the periodic table. Nyota ikifa, huwa inalipuka na kurusha elements na baadhi ya hizo elements zina-angukia kwenye new stars kutokana na gravity.
Hii nimerahisisha ila ni somo refu ambalo linataka had degree. Kama unahitaji somo zaidi nishtue!
umemjibu vyema kisayansi ila hata kiuumbaji Mungu alihusika.
kuhusu geological forces unless ni chemist ndipo utaelewa nuclear fussion and fission ama physicist. kuna nyingine ni MO's metabolism tu zinaleta haya madini kaa vile copper etc.
madini ni molecules or elements ambazo zimebaki chini ya ardhi kwa miaka kadhaa kutokana na geological history. hakuna cha mungu anapendelea wala nini. Vitu kama almasi ni carbon molecule ambayo ikiwa under intense pressure and temperature inatengeneza almasi. Almasi haina tofauti na graphite au mkaa bali ni formation yake ni tofauti. Fikiria kama mchele na mpunga. Dhahabu ni rahisi kupatikana kwa sababu gold element sio reactive kama metali nyingi.
Hizi elements zinatokana wapi? Nuclear fusion. Historia ya ulimwengu ilianza kama hydrogen. Hydrogen ina fuse kutengeneza helium. Hivo hivo helium ina-fuse kutengeneza elements higher in the periodic table. Nyota ikifa, huwa inalipuka na kurusha elements na baadhi ya hizo elements zina-angukia kwenye new stars kutokana na gravity.
Hii nimerahisisha ila ni somo refu ambalo linataka had degree. Kama unahitaji somo zaidi nishtue!
Madini ni molecules or elements ambazo zimebaki chini ya ardhi kwa miaka kadhaa kutokana na Geological history. Hakuna cha Mungu anapendelea wala nini. Vitu kama almasi ni carbon molecule ambayo ikiwa under intense pressure and temperature inatengeneza almasi. Almasi haina tofauti na graphite au mkaa bali ni formation yake ni tofauti. Fikiria kama mchele na mpunga. Dhahabu ni rahisi kupatikana kwa sababu gold element sio reactive kama metali nyingi.
Hizi elements zinatokana wapi? Nuclear fusion. Historia ya ulimwengu ilianza kama hydrogen. Hydrogen ina fuse kutengeneza helium. Hivo hivo helium ina-fuse kutengeneza elements higher in the periodic table. Nyota ikifa, huwa inalipuka na kurusha elements na baadhi ya hizo elements zina-angukia kwenye new stars kutokana na gravity.
Hii nimerahisisha ila ni somo refu ambalo linataka had degree. Kama unahitaji somo zaidi nishtue!
Hivi jamani madini kama dhahabu, almasi, shaba, chuma n.k. yalipatikanaje hapa duniani?(i.e. How were/are they formed?). Maana Nchi kama Tanzania ina dhahabu, almasi, uranium na madini mengine mengi tu, ndio tuseme Mungu ametupendelea au kuna namna fulani ambayo haya madini yanapatikana.
Madini ni molecules or elements ambazo zimebaki chini ya ardhi kwa miaka kadhaa kutokana na Geological history. Hakuna cha Mungu anapendelea wala nini. Vitu kama almasi ni carbon molecule ambayo ikiwa under intense pressure and temperature inatengeneza almasi. Almasi haina tofauti na graphite au mkaa bali ni formation yake ni tofauti. Fikiria kama mchele na mpunga. Dhahabu ni rahisi kupatikana kwa sababu gold element sio reactive kama metali nyingi.
Hizi elements zinatokana wapi? Nuclear fusion. Historia ya ulimwengu ilianza kama hydrogen. Hydrogen ina fuse kutengeneza helium. Hivo hivo helium ina-fuse kutengeneza elements higher in the periodic table. Nyota ikifa, huwa inalipuka na kurusha elements na baadhi ya hizo elements zina-angukia kwenye new stars kutokana na gravity.
Hii nimerahisisha ila ni somo refu ambalo linataka had degree. Kama unahitaji somo zaidi nishtue!
Guys,
The planet earth was formed around 4.54 billion years ago by accretion from the solar nebula (geologicallly).
So why comes we see uneven distribution of elements on the earth?
To understand this, first you must know the physical composition and chemical properties of our planet earth. It is made of three major layers: The core- the most inner part (predominantly composed of Ni-Fe-Cr), the crust- the outer layer (dominated by Si-Al-+ other major elements) and the layer which is placed between the core and crust- termed the mantle(has variable composition).
Kuna kitu kinachoitwa ''geological defromation''. Yaani dunia kupasuka kutokana na nyufa (faulting and shear zones) na migongano ya techtonic plates (continental collisions and subduction zones) kwa vipindi virefu tofauti tofauti. Sehemu za dunia ambazo ziko deformed zaidi ndizo zina uwezekanao wa kuwa na madini mengi zaidi.
So the interaction (by upward and downward movement) ya madini yaliyoko kwenye core, mantle na crust, with changes in temperature and pressure, ndiyo factor muhimu sana kuliko zote zinazo-play part. Kumbukeni the Core is both solid and liquid. The mantle is in molten form ()uji uji mzito, mostly. The crust is entirely solid.
Mwisho mtasema kuna Natural Force ndio ilifanya hiyo Hydrogen. Hivi hamuoni maajabu binadamu kuzaliwa. Mungu Yupo aisee.
Na hydrogen ilitoka wapi?
Sent from my iPhone
The fusion of one proton with one neutron gave deuterium (H-2 or D). Note that, deuterium is an isotope of hydrogen.
Nickia harufu ya shetani ime tanda leo humu ndani!
Mkuu umeona eeehheee??!
Kuna kajamaa katumbafu kamefikia hitimisho kuwa kana mashaka na uwepo wa MUNGU! Sasa kama siyo kutafuta balaa ni kitu gani hiki? Huu uzi umekaa Ki-shetani shetani vile!!
Ngoja mimi nihame nisijeambukizwa mafua ya shetani bure!!!
Ok. Na proton moja na neutron moja ilitoka wapi?
Sent from my iPhone
From theOk. Na proton moja na neutron moja ilitoka wapi?
Sent from my iPhone
Ok. Na proton moja na neutron moja ilitoka wapi?
Sent from my iPhone
From the Big bang.