Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,483
- 40,498
Huwa najiuliza, haya madini kama: almasi, dhahabu, Tanzanite n.k ni kitu gani kinayapa thamani au yanafanya kazi gani kubwa yanayoendana na thamani ya mauzo?
Kwa ufahamu wangu mdogo, najua yanatumika kwa mapambo, kukatia vioo na miamba (almasi); lakini, kwa nini yanathaminishwa kwa gharama kubwa?
Au yana matumizi makubwa mengine yaliyojificha?
Ukiniuliza ni madini gani ningependa yawe na thamani kubwa kuliko dhahabu, almasi n.k, ningependekeza 'copper', 'aluminium', chuma n.k kwa sababu mahitaji na matumizi yake makubwa yanajulikana.
Wakuu, tujadili; kwa nini yanapewa thamani kubwa wakati yanafanya kazi za kawaida sana.
Kwa ufahamu wangu mdogo, najua yanatumika kwa mapambo, kukatia vioo na miamba (almasi); lakini, kwa nini yanathaminishwa kwa gharama kubwa?
Au yana matumizi makubwa mengine yaliyojificha?
Ukiniuliza ni madini gani ningependa yawe na thamani kubwa kuliko dhahabu, almasi n.k, ningependekeza 'copper', 'aluminium', chuma n.k kwa sababu mahitaji na matumizi yake makubwa yanajulikana.
Wakuu, tujadili; kwa nini yanapewa thamani kubwa wakati yanafanya kazi za kawaida sana.