Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,577
- 14,338
Anasumbua kukupa penzi kwa madai kuwa hajawahi kumvulia mwanaume chupi.
Yaani anaapa kabisa kuwa yeye ni bikra, kasheshe siku unaingia naye gheto,
analia kabisa kuwa utamuumiza yaani unamshika hata mkono anapiga kelele za maumivu,
mzee mzima unajipanga kufanya yako taratibu, lahaullaa! unakuta hata dalili za kuwa yeye ni bikra hamna, na yeye hana habar full kelele za kizushi.
Najiuliza kwa nini mabinti wanaupenda sana uongo huu?
Yaani anaapa kabisa kuwa yeye ni bikra, kasheshe siku unaingia naye gheto,
analia kabisa kuwa utamuumiza yaani unamshika hata mkono anapiga kelele za maumivu,
mzee mzima unajipanga kufanya yako taratibu, lahaullaa! unakuta hata dalili za kuwa yeye ni bikra hamna, na yeye hana habar full kelele za kizushi.
Najiuliza kwa nini mabinti wanaupenda sana uongo huu?