Hivi lini na mimi nitatekwa?

Hivi lini na mimi nitatekwa?

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
2,132
Reaction score
6,769
Nimechoka kufundisha na kuuza Kangala.

Natamani nitekwe. Mshahara ukitoka tar 23 niwe naenda kuukabidhi.

Niwe napikiwa ugali na Samaki. Jumapili pilau kuku.

Mauzo yote ya Kangala niwe nayakabidhi kila siku jioni.

Mtekaji awe ni ni jimama linalofanya kazi baa.
 
Nimechoka kufundisha na kuuza Kangala.

Natamani nitekwe. Mshahara ukitoka tar 23 niwe naenda kuukabidhi.

Niwe napikiwa ugali na Samaki. Jumapili pilau kuku.

Mauzo yote ya Kangala niwe nayakabidhi kila siku jioni.

Mtekaji awe ni ni jimama linalofanya kazi baa.
Jiteke tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom