Hivi lini na mimi nitatekwa?

Hivi lini na mimi nitatekwa?

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,772
Reaction score
5,931
Nimechoka kufundisha na kuuza Kangala.

Natamani nitekwe. Mshahara ukitoka tar 23 niwe naenda kuukabidhi.

Niwe napikiwa ugali na Samaki. Jumapili pilau kuku.

Mauzo yote ya Kangala niwe nayakabidhi kila siku jioni.

Mtekaji awe ni ni jimama linalofanya kazi baa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom