mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
ukipita barabara ya Bgmoyo msata, mbele kidogo ya kijiji cha makurunge/mkwajuni.
Waje jamaa ni mfano wa kuigwa tukiweka siasa pembeni.
nilianza kupita njia hiyo tangu haina lami miaka ya nyuma kulikuwa na kagorofa flani ka mabanzi kama sikosei na hakukuwa na shughuli zozote za maendeleo.
Ila miaka ya karibu hata wiki moja imepita nimepita pale wale jamaa ni mfano wa kuigwa. Shamba limestawi balaa. Vifaa kibao, nadhani katika njia hiyo ndio sehemu pekee panapovutia kwa maana ya kilimo.
Hilo eneo limezungukwa na bendera za CCM, na rangi za CCM kila kona. Nakumbuka vijana wa chadema nao walikuwa na shamba huko Bagamoyo natamani kuona nao wakionyesha mfano kama wa wale jamaa.
ni wakina nani wale?
Waje jamaa ni mfano wa kuigwa tukiweka siasa pembeni.
nilianza kupita njia hiyo tangu haina lami miaka ya nyuma kulikuwa na kagorofa flani ka mabanzi kama sikosei na hakukuwa na shughuli zozote za maendeleo.
Ila miaka ya karibu hata wiki moja imepita nimepita pale wale jamaa ni mfano wa kuigwa. Shamba limestawi balaa. Vifaa kibao, nadhani katika njia hiyo ndio sehemu pekee panapovutia kwa maana ya kilimo.
Hilo eneo limezungukwa na bendera za CCM, na rangi za CCM kila kona. Nakumbuka vijana wa chadema nao walikuwa na shamba huko Bagamoyo natamani kuona nao wakionyesha mfano kama wa wale jamaa.
ni wakina nani wale?