Umepimaa umeukosa unajisaulisha unaona haupo ndugu chunga kauliNahisi hakuna UKIMWI tena..
Nina uhakika na ninachokisema..
Sijui kama ninyi mna mawazo tofauti.
UshahidiNahisi hakuna UKIMWI tena..
Nina uhakika na ninachokisema..
Sijui kama ninyi mna mawazo tofauti.
Mkuu PoleAcha zihaka ukimwi upo juzi tu nimemzika kipenzi changu huko Mbezi
Nahisi hakuna UKIMWI tena..
Nina uhakika na ninachokisema..
Sijui kama ninyi mna mawazo tofauti.
Yeah a girl my Best friend she z 17 years....Una ndugu au rafiki yako ambaye recently amekushuhudia ana ngoma na yupo kwenye dozi!?
sijui maana sioni matangazo kama zamani siminaNahisi hakuna UKIMWI tena..
Nina uhakika na ninachokisema..
Sijui kama ninyi mna mawazo tofauti.