Hivi kweli UKIMWI bado upo!??

Hivi kweli UKIMWI bado upo!??

Acha kujifariji mkuu,upo na unaua kila leo.

HAcha ngono,ukishindwa tumia condom.
Hao wanaokufa wanakufa na UKIMWI!??

Acha UnyanyaPaaa..
 
Then she got it from her mother or dad... Sorry
She got From sexual harassment....
Also da13yrs girl during Makonda's day (drugs announcement)at JICC she was infected thru sex
 
Nahisi hakuna UKIMWI tena..

Nina uhakika na ninachokisema..

Sijui kama ninyi mna mawazo tofauti.

'kuhisi' maana yake ni nini? Na 'uhakika' maana yake ni nini?

Na umepataje huo uhakika? Na umehisi vipi - sensory organ ipi umetumia kuhisi?
 
Tatizo la upungufu wa kinga kwenye miili yetu lipo na hututokea wengi na linatibika tu. Ila kinachofanyiwa siasa ni HIV/AIDS hapo ndo shida
Hivi kwa nini watu wameamua kuweka siasa kwenye maisha ya watu?

Hiyo yote wao wapige hela na wapate faida bila kujali kama watu wanaangamia au la.

Ukipingana nao vita yake ni zaidi ya nyuklia, utashambuliwa, ni sawa leo uanzishe vita ya vinywaji baridi kama coce au pepsi useme vina sumu, hiyo vita yake utatamani dunia ipasuke ikumeze.
 
Hivi kwa nini watu wameamua kuweka siasa kwenye maisha ya watu?

Hiyo yote wao wapige hela na wapate faida bila kujali kama watu wanaangamia au la.

Ukipingana nao vita yake ni zaidi ya nyuklia, utashambuliwa, ni sawa leo uanzishe vita ya vinywaji baridi kama coce au pepsi useme vina sumu, hiyo vita yake utatamani dunia ipasuke ikumeze.
Ndipo dunia ilipofika watu wengi hawana hata chembe ya utu. Hii issue ya magonjwa tunapugwa hela si mchezo. Imagine serikali inanunua ARV toka kwa hao waliotuambia tuna hiv/aids. Ni billions of money. Ss sio Tz pekee ni nchi kibao
 
Ndipo dunia ilipofika watu wengi hawana hata chembe ya utu. Hii issue ya magonjwa tunapugwa hela si mchezo. Imagine serikali inanunua ARV toka kwa hao waliotuambia tuna hiv/aids. Ni billions of money. Ss sio Tz pekee ni nchi kibao
Wabishue kua hakuna ukimwi kua upungufu wa nguvu za mwili umekuwepo miaka nenda rudi na hauambukizwi uone moto wake.

Sayansi ni kitu chema lakini sio kila wanalolisema wanasayansi basi ni kweli, wanasayansi wakati mwingine hutunga habaru za uongo kwa lengo lao ka kutumia jina la sayansi.

Kuna uongo mwingi sana umtungwa kwa jina la sayansi na ukaaminika kua ni ukweli baadae ukaja kugundulika ni uzushi na uzandiki.
 
Sasa tumeletewa dudu jingine kwenye kilimo mbegu ambazo zimebadilishwa kiasilia chake wanaita GMO. Genetically modified.mchezo unaofanyika ni kuua mbegu zetu asilia ili tuwe tegemezi 100%. Ukinunua mbegu zao ukapanda utavuna ila utakachovuna haitakujafanyika mbegu so ukitaka kulima tena sharti ukanunue tena mbegu. Hii ni tofauti na mbegu zetu asili alizotupatia Mungu. Unalima unavuna unaweka chakula na kutenga mbegu muda wa kulima ukifika unapanda tu zile mbegu zako mazao yanaota kama kawaida.
Sasa kawatafute hao wanasayansi ya kilimo aka wataalam wa kilimo wanavyozipigia debe hizo mbegu yaani hadi naogopa.

Tatizo liko hapa wasomi wetu wengi hasa wa sayansi hawafanyi tafiti nzito si kwamba hawataki huenda pia serikali haiwekezi kwenye tafiti hivyo wamebaki tegemezi kwenye tafiti za kimagharibi ambazo baadhi hufanywa mahsusi kwa ajili ya kutunyonya kiuchumi nk. Lakini kwakuwa imefanywa na wazungu wasomi wetu nawakua wakali sana tukihoji.

Mfano issue ya HIV/AIDS watu wanakua wakali utadhani wao ndo Robert Galo kumbr na wao wanategemea tu tafiti za nje.
 
Back
Top Bottom