excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,862
wadau tuwekane sawa hapa..
tafadhalini tuambiane ukweli ili kuelimishana juu ya uchawi katika elimu..
je, ni kweli uchawi upo katika elimu?
je, mganga anaweza kweli kufanya mambo yake ukaweza kufaulu mitihani mizito kama ya NECTA?
naombeni mawazo yenu!!!!
tafadhalini tuambiane ukweli ili kuelimishana juu ya uchawi katika elimu..
je, ni kweli uchawi upo katika elimu?
je, mganga anaweza kweli kufanya mambo yake ukaweza kufaulu mitihani mizito kama ya NECTA?
naombeni mawazo yenu!!!!