Hivi kweli tumefika huku??

Hivi kweli tumefika huku??

Swali,tamaa ya kupata mume mwingine nje ya mume wake?

Halafu hawajui kwamba hata huyo jamaa akishamuoa na yeye mambo yanabadilika,uwezo wa ku-perfom lazima utapungua kidogo...

Wanashindwa elewa ilo kwamba majukumu yakizidi yanapelekea performance inakuwa sio ile ya uchumba ..afu na kingine hawako wazi kusema changamoto na namna ya kuzitatua
 
Sidhani kama kuna mwanamke mwenye kujiongelea yote hayo bado huenda huyo alowaambia zitakuwa kidogo chenga kichwani
 
Sidhani kama kuna mwanamke mwenye kujiongelea yote hayo bado huenda huyo alowaambia zitakuwa kidogo chenga kichwani
Kisaikolojia mtu akishakuwa disturbed inawezekana kabisa... Na inakuwa ni namna ya kumueousha kuwa kichaa kabisa au kujinyonga,inamsaidia kiasi fulani kupata "relief" japo wengine tunakuwa tunamuona wa ajabu sana..
 


Ila hapo ndio tofauti ya wanawake na wanaume huonekana.. mwanaume anadate mke wa mtu lakini visanga vya mwanamke kwa mume wake huwa vinamkaa kichwani na huwa ni alert ya kutooa hata akiachana na mume wake.. ila wanawake sasa, anaweza ona mke wa jamaa anavyotendewa ila akisifiwa sifiwa huwa anajaa na jamaa akitangaza ndoa anakubali bila kujua na yeye ni mwanamke kama wanawake wengine, mwisho wa siku wanaendelea kulialia huku wajamaa wakitafuta kitu safi ingine kwenye chepo
Yaani kwanza wakati mwenzao anafanyiwa hivyo ...wao huwa wanafanya sherehe ili atolewe ndani ya nyumba wapate nafasi wao
 
Yaani kwanza wakati mwenzao anafanyiwa hivyo ...wao huwa wanafanya sherehe ili atolewe ndani ya nyumba wapate nafasi wao
Nadhani hapo ndo palipo na tofauti kubwa kati ya sisi na nyinyi!
 
Mpumbavu sana huyo dada Narudia MPUMBAVU SANA


Na bado akatike hata miguu mjinga mmoja huyo.... Unachukua mkopo unampa hawara??? Eti akajenga fwack, amediriki kumdanganya mume kuchukua pesa zote kumpa mchepuko,. Haya leo kakosa ndoa kamjengea mwenzie nyumba kilaiiini kabisa mjinga kabisa huyo

Ndoa sio kitu cha kuchezea, kama alikuwa anajua mume hatokidhi haja zake kwanini alikubali kula kiapo cha ndoa mjinga huyo? Anafikiri ndoa ni kula wali maharagwe?

Hii story imeniharibia siku kabisaaaa
Pole mwana wa nchi,hasira yako imeonekana dhahiri.

Sasa wewe umesoma,ungekuwepo anavyosimulia kama sisi wengine sijui ungemfanyaje?

Maana wanaume wote ndani ya gari tulikuwa kimyaa nadhani ilikuwa ishara kuwa kila mmoja ana hasira na yule dada lakini tulivumilia tu kumsikiliza hadi mwisho.

Lakini ukweli sisi wote hakuna hata mmoja aliyemhurumia kwa kudhulumiwa isipokuwa hasira zetu zilikuwa kwake kwa namna alivyomfanyia mwanaume mwenzetu (mume wake)
 
Yaani kwanza wakati mwenzao anafanyiwa hivyo ...wao huwa wanafanya sherehe ili atolewe ndani ya nyumba wapate nafasi wao
mimi huwa nashangaa as if mtu anaeenda kuolewa nae ni tofauti na anaemtenda mwenzake.. kweli crazy in love brother
 
Mkuu wewe acha tu ...ndio maana wajuzi wa lugha wa kasema kufa kufaana ... naona dada zetu wameamua ku-hang na hiyo nahau
mimi huwa nashangaa as if mtu anaeenda kuolewa nae ni tofauti na anaemtenda mwenzake.. kweli crazy in love brother
 
Kuna binadamu wanasikitisha sana... muosha huoshwa...

Huyo mwanaume kaona mbali sana, ameona kama huyu anamzunguka mume wake, hata mimi baadae atanizunguka pia, ndiyo maana ammemtumia na kumuacha...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom