bwasa kwetu
Member
- Jun 25, 2014
- 28
- 3
vijana waliobaki wanaichagua ccm ni wale mambulula wanaokula kwa shemeji zao mwenye timamu hawezi kuangaika na ccm
ukijua itakusadia nn???
inategemea utafiti wako unaufanyia wapi na ni vijiji vingapi.kama ni baa hao walevi wanakupa moyo tu ili uedelee kuwapa ofa.ulevi ukiisha huwapati tenaniko vijijini nafanya utafiti , ccm imekwisha , kilichobaki ni madaraka tu ! Na mkijiloga mkaboresha daftari la wapiga kura ( kitu ambacho ni lazima , mtake msitake ) ndiyo kaburi lenu .
inategemea utafiti wako unaufanyia wapi na ni vijiji vingapi.kama ni baa hao walevi wanakupa moyo tu ili uedelee kuwapa ofa.ulevi ukiisha huwapati tena
japo mimi siyo kijana najisikia kuchangia mada hii sababu ni mwananchi na nina watoto vijana. Kwa maoni yangu vijana na hasa wa elimu ya juu wanao pigania ccm ni kwasababu au hawajawa huru kifikra au wanamtazamo wa maslahi binafsi au maslahi kikundi au kupenda shortcuts tajirishi hata kama zina athari za kimaangamizi. Katika baadhii ya mazungumzo vijana wasomi wanakuambia ukitaka fursa kuwa ccm. Hoja zao zinazua maswali kama elimu yao ni ya kiuchambuzi zaidi au ni kifuata mkumbo zaidi? Wana msaada gani kwa wasioenda shule? Kuweka madarakani kwa kura halali chama w au x badala ya chama z na hasa ikiwa kimekaa zaidi ya miaka 50 ni jambo la manufaa kuliko balaa hata kwa chama chenyewe. Chama w au x kikikamata dola hakiwezi kujisahau au kupuuza wananchi sababu kinajua wapiga kura wameshajua nguvu yao. Vijana wachache waliofunguka wasikate tamaa ufunguaji vijana waliofungwa ufahamu uendelee. Tusidanganyane eti vyama zaidi ya ccm havina rasilimali watu hao, tuchague vingine vyama kisha tuone makada wapo!
Nimefuatilia comments za vijana wengi kwenye mitandao yakijamii na kwingineko nimesikitishwa kuona vijana wengi hawajui wanachokitaka. Hawajitambui, hawajui future yao na wala hawana msimamo kamili. Vijana hawa wanalalamikia ajira na serlikali inawaambia wajiajiri. Sawa kujiajiri ni jambo jema lakini je Serikali imeandaa mazingira rafiki ya vijana kujiajiri? Serikali hiyohiyo ya ccm licha yakuwataka vijana kujiajiri lakini haijawahi kufafanua ni mazingira gani vijana wanajiajiri. Wala hakuna ndoto za ccm kuondoa tatizo la ajira. CCM insert kujisifu tu kwamba ni nambari one kakini je imejjipima na nani? Hivi ccm inavyong'ang'ania kuendelea kushika dola itafanya nini au inanini cha tofauti chakuwashawishi vijana kuichagua? Na wewe kijana yaani na akili zako zooote unazani ccm wanajipya gani zaidi ya huu umasikini waliotusababishia kwa makusudi na kwakushindwa kutumia rasilimali zetu vizuri?
Sasa kwakijina ambae ndo kwanza unataka kuanza maisha na hujui unaanzia wapi, hivi bado unawaza CCM iendelee kushika dola? Hivi unatumia kigezo gani kuichagua CCM chama ambacho hakina nia mzuri ya future yakijana mTanzania? Kwanini vijana sasa tusichague upinzani ambao vyama vya upinzani vimeonesha makusudi mzuri yakuinua vijana kifikra, Kiuchumi na kielimu. Hivi kama ccm imeshindwa kabisa kutatua tatizo la ajira kwa zaidi yamiaka 50 bado kuna kijana anaota ndoto kwamba ccm inaweza kutatua tatizo la ajira?
Naomba vijana wenzangu tutumie akili yetu na kura zetu kuiangusha ccm katika uchaguzi mkuu ujao wa 2015? Tusikubali kushikiliwa akili zetu na ccm.
Ewe kijana Mtanzania tafakari chukua hatua.
Unasikitisha sana kwa kuwa na dhanna ya kungoja kufanyiwa kila kitu.
Jiulize, vijana walioweza walifanyiwa na nani?
Wewe kama wakukosa wakukosa tu hata ufanyiwe nini hutobadilika. Anza kwa kujifanyia na kuifanyia serikali na nchi yako.
Kijana mzima unangoja kufanyiwa? utangoja sana, labda ufanyiziwe.
Punguani wahed.
Vijana wengi bado wanaikubali CCM mfano mdogo mmeona jimbo la Kalenga na Chalinze.
Naomba tafsiri ya kuanza Maisha
chama mbadala ni chadema tuu
Ninauwezo wakukuajiri wewe na ukoo wako wote nakuwalipa mishahara kwa miaka 100 bila kuyumba. Turudi kwenye mada mkuu. CCM hakuna ilichofanya chakunishawishi kuichagua. Haina mtazamo wowote kwavijana. Imewekeza kwenye siasa za mazoea yusitarajie jipya huo undo ukweli kama hutaki haulazimishwi lakini ccm haina jipya.
Hiki hiki kisichokuwa kisafi ndani yake? au naota
NANI KAKUDANGANYA KUWA ETI""""vijana wengi wanaipenda ccm???""". ukweli ni kwamba vijana wengi wa tanzania wamechoshwa na ccm lakini hawaoni kimbilio. hata wewe hapo unajua fika kwamba HAKUNA MBADALA WA CCM na hivyo basi hicho kinachokufanya ukipende hicho chama ukipendacho ni UPOFU NA UJINGA ULIOKUGUBIKA.Nimefuatilia comments za vijana wengi kwenye mitandao yakijamii na kwingineko nimesikitishwa kuona vijana wengi hawajui wanachokitaka. Hawajitambui, hawajui future yao na wala hawana msimamo kamili. Vijana hawa wanalalamikia ajira na serlikali inawaambia wajiajiri. Sawa kujiajiri ni jambo jema lakini je Serikali imeandaa mazingira rafiki ya vijana kujiajiri? Serikali hiyohiyo ya ccm licha yakuwataka vijana kujiajiri lakini haijawahi kufafanua ni mazingira gani vijana wanajiajiri. Wala hakuna ndoto za ccm kuondoa tatizo la ajira. CCM insert kujisifu tu kwamba ni nambari one kakini je imejjipima na nani? Hivi ccm inavyong'ang'ania kuendelea kushika dola itafanya nini au inanini cha tofauti chakuwashawishi vijana kuichagua? Na wewe kijana yaani na akili zako zooote unazani ccm wanajipya gani zaidi ya huu umasikini waliotusababishia kwa makusudi na kwakushindwa kutumia rasilimali zetu vizuri?
Sasa kwakijina ambae ndo kwanza unataka kuanza maisha na hujui unaanzia wapi, hivi bado unawaza CCM iendelee kushika dola? Hivi unatumia kigezo gani kuichagua CCM chama ambacho hakina nia mzuri ya future yakijana mTanzania? Kwanini vijana sasa tusichague upinzani ambao vyama vya upinzani vimeonesha makusudi mzuri yakuinua vijana kifikra, Kiuchumi na kielimu. Hivi kama ccm imeshindwa kabisa kutatua tatizo la ajira kwa zaidi yamiaka 50 bado kuna kijana anaota ndoto kwamba ccm inaweza kutatua tatizo la ajira?
Naomba vijana wenzangu tutumie akili yetu na kura zetu kuiangusha ccm katika uchaguzi mkuu ujao wa 2015? Tusikubali kushikiliwa akili zetu na ccm.
Ewe kijana Mtanzania tafakari chukua hatua.
ccm inapendwa na vijana wazembe wanaofikiria kupata short cut ya maisha kwa kubebwa,watoto wa mafisadi na wauza unga,watoto wa majangili na wale vijana punda wabeba mizigo.Hakuna kijana anayejitambua anayeweza kushabikia hilo genge la wahujumu uchumi wa taifa lake.[/QUOTE
KAMA JINSI AMBAVYO CHADEMA KINASHABIKIWA NA WANYWA MBEGE NA WEZI WA MAGARI NA MITANDAO YA UJAMBAZI.