SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,079
- 7,976
Moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha uzi kinavyojieleza,, sijui ndio ushamba au ndio kukosa maarifa ya kibiashara (business strategies"), au ni ulimbukeni!!???
Kusema ukweli nashindwa kuwaelewa kabisa. Yani haiwezekani jiji la Arusha na Dar es salaam nzima nimezunguka kila kona ya kutafuta spare parts ya Honda crod road eti hamna. Wanasema eti mpaka Nairobi au uagize kutoka Japan.
Kwa kifupi gari zote za Honda Spare zake wanadai ni ngumu kupatikana.
Sasa najiuliza fursa zote hizo wanazowaachia wenzao wa Kenya na nje za nje wakibiashara hawaoni kama wanapoteza!??
WAFANYA BIASHARA WA Watanzania MBADILIKE KWA KWELI.
MUACHE TABIA YA KUFANYA BIASHARA KWA MAZOEA.
Kusema ukweli nashindwa kuwaelewa kabisa. Yani haiwezekani jiji la Arusha na Dar es salaam nzima nimezunguka kila kona ya kutafuta spare parts ya Honda crod road eti hamna. Wanasema eti mpaka Nairobi au uagize kutoka Japan.
Kwa kifupi gari zote za Honda Spare zake wanadai ni ngumu kupatikana.
Sasa najiuliza fursa zote hizo wanazowaachia wenzao wa Kenya na nje za nje wakibiashara hawaoni kama wanapoteza!??
WAFANYA BIASHARA WA Watanzania MBADILIKE KWA KWELI.
MUACHE TABIA YA KUFANYA BIASHARA KWA MAZOEA.