Hivi kwanini wauzaji vipuli wa Bongo ni washamba kiasi hiki!?

SNAP J

JF-Expert Member
Dec 26, 2013
7,079
7,976
Moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha uzi kinavyojieleza,, sijui ndio ushamba au ndio kukosa maarifa ya kibiashara (business strategies"), au ni ulimbukeni!!???

Kusema ukweli nashindwa kuwaelewa kabisa. Yani haiwezekani jiji la Arusha na Dar es salaam nzima nimezunguka kila kona ya kutafuta spare parts ya Honda crod road eti hamna. Wanasema eti mpaka Nairobi au uagize kutoka Japan.

Kwa kifupi gari zote za Honda Spare zake wanadai ni ngumu kupatikana.

Sasa najiuliza fursa zote hizo wanazowaachia wenzao wa Kenya na nje za nje wakibiashara hawaoni kama wanapoteza!??

WAFANYA BIASHARA WA Watanzania MBADILIKE KWA KWELI.

MUACHE TABIA YA KUFANYA BIASHARA KWA MAZOEA.
 
Kwa kweli kuna magari spare zinasumbua mpaka unaichukia gari hata kama ulilipenda mwanzo. Magari eg Land rover (Freelander), Honda hizo nk.

Gari ambazo hupati shida ni Toyota zote, Mitsubish na Nissan . Mengine kama Ranger over mpaka kwa dealer. Na mikoa mingine hakuna dealer Dahh
 
Moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha uzi kinavyojieleza,, sijui ndio ushamba au ndio kukosa maarifa ya kibiashara (business strategies"), au ni ulimbukeni!!???

Kusema ukweli nashindwa kuwaelewa kabisa. Yani haiwezekani jiji la Arusha na Dar es salaam nzima nimezunguka kila kona ya kutafuta spare parts ya Honda crod road eti hamna. Wanasema eti mpaka Nairobi au uagize kutoka Japan.

Kwa kifupi gari zote za Honda Spare zake wanadai ni ngumu kupatikana.

Sasa najiuliza fursa zote hizo wanazowaachia wenzao wa Kenya na nje za nje wakibiashara hawaoni kama wanapoteza!??

WAFANYA BIASHARA WA Watanzania MBADILIKE KWA KWELI.

MUACHE TABIA YA KUFANYA BIASHARA KWA MAZOEA.
Ukileta spare za magari kama Volvo Honda Benzi Ford chovelarate hapa Tz utaua mtaji watanzania 90% nimasikini wanaendesha magari ya kimasikini toyota, kutoka Japan tena sio Toyota zote ni selective kama ist, specio hiace wish corona corolla nk. Kama wewe ni strategic business man leta hizo spare,
 
Kwa kweli kuna magari spare zinasumbua mpaka unaichukia gari hata kama ulilipenda mwanzo. Magari eg Land rover (Freelander), Honda hizo nk.

Gari ambazo hupati shida ni Toyota zote, Mitsubish na Nissan . Mengine kama Ranger over mpaka kwa dealer. Na mikoa mingine hakuna dealer Dahh
Miaka michache nyuma hata Nissan ulikuwa hupati ni mpaka Nairobi

Wahindi kidogo na Saba General wamerahisisha maisha at least
 
Wewe ndiyo mshamba kwenda kununua gari ambazo siyo majority huku kwetu,uliponunua si ulijua ukitaka spare utaifuata kokote?yaani mtu aweke dukani kitu ambacho gari yenyewe ni moja tu ya shemeji yako,halafu alipe kodi za serikali na pango,umeme na wafanyakazi wakati takataka lako haliuziki,stupid.
 
Wewe ndiyo mshamba kwenda kununua gari ambazo siyo majority huku kwetu,jliponunua si ulijua ukitaka spare utaifuata kokote?yaani mtu aweke dykani kitu ambacho gari yenyewe ni moja tu ya shemeji yako,halafu alipe kodi za serikali na pango,umeme na wafanyakazi wakati takayaka lako haliuziki,stupid.
Tena sio mshamba tu ni limbukeni tu,
 
Moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha uzi kinavyojieleza,, sijui ndio ushamba au ndio kukosa maarifa ya kibiashara (business strategies"), au ni ulimbukeni!!???

Kusema ukweli nashindwa kuwaelewa kabisa. Yani haiwezekani jiji la Arusha na Dar es salaam nzima nimezunguka kila kona ya kutafuta spare parts ya Honda crod road eti hamna. Wanasema eti mpaka Nairobi au uagize kutoka Japan.

Kwa kifupi gari zote za Honda Spare zake wanadai ni ngumu kupatikana.

Sasa najiuliza fursa zote hizo wanazowaachia wenzao wa Kenya na nje za nje wakibiashara hawaoni kama wanapoteza!??

WAFANYA BIASHARA WA Watanzania MBADILIKE KWA KWELI.

MUACHE TABIA YA KUFANYA BIASHARA KWA MAZOEA.
Mkuu fursa ipi sasa unaizungumzia, kama tangu mwezi uanze wewe ndio mteja wa kwanza kuulizia spare ya honda kwanini ajisumbue kuziweka dukani kwake? Yeye fursa kwake ni spare za toyota kwasababu zinauliziwa kila siku.
 
Moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha uzi kinavyojieleza,, sijui ndio ushamba au ndio kukosa maarifa ya kibiashara (business strategies"), au ni ulimbukeni!!???

Kusema ukweli nashindwa kuwaelewa kabisa. Yani haiwezekani jiji la Arusha na Dar es salaam nzima nimezunguka kila kona ya kutafuta spare parts ya Honda crod road eti hamna. Wanasema eti mpaka Nairobi au uagize kutoka Japan.

Kwa kifupi gari zote za Honda Spare zake wanadai ni ngumu kupatikana.

Sasa najiuliza fursa zote hizo wanazowaachia wenzao wa Kenya na nje za nje wakibiashara hawaoni kama wanapoteza!??

WAFANYA BIASHARA WA Watanzania MBADILIKE KWA KWELI.

MUACHE TABIA YA KUFANYA BIASHARA KWA MAZOEA.

Honda ni NDOA YA KIKRISTO , Mpaka kifo kiwatenganishe.
 
Moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha uzi kinavyojieleza,, sijui ndio ushamba au ndio kukosa maarifa ya kibiashara (business strategies"), au ni ulimbukeni!!???

Kusema ukweli nashindwa kuwaelewa kabisa. Yani haiwezekani jiji la Arusha na Dar es salaam nzima nimezunguka kila kona ya kutafuta spare parts ya Honda crod road eti hamna. Wanasema eti mpaka Nairobi au uagize kutoka Japan.

Kwa kifupi gari zote za Honda Spare zake wanadai ni ngumu kupatikana.

Sasa najiuliza fursa zote hizo wanazowaachia wenzao wa Kenya na nje za nje wakibiashara hawaoni kama wanapoteza!??

WAFANYA BIASHARA WA Watanzania MBADILIKE KWA KWELI.

MUACHE TABIA YA KUFANYA BIASHARA KWA MAZOEA.

Kama kweli ulienda kuulizia spare za ‘honda croad road’ lazima uzikose tu maana gari hio haijawahi kutengenezwa duniani.
 
Ni kweli. Shida kubwa nyingine ni hata wabongo wengi wananunua magari kwa kuigana ,ndio maana Toyota zimejaa.
Kwa kweli kuna magari spare zinasumbua mpaka unaichukia gari hata kama ulilipenda mwanzo. Magari eg Land rover (Freelander), Honda hizo nk.

Gari ambazo hupati shida ni Toyota zote, Mitsubish na Nissan . Mengine kama Ranger over mpaka kwa dealer. Na mikoa mingine hakuna dealer Dahh
 
Hapa napingana na wewe mkuu.. kununua spare adimu haimaanishi kuwa hautakuwa na spare ambazo ni fast moving kama Toyota au Nissan.
Ukileta spare za magari kama Volvo Honda Benzi Ford chovelarate hapa Tz utaua mtaji watanzania 90% nimasikini wanaendesha magari ya kimasikini toyota, kutoka Japan tena sio Toyota zote ni selective kama ist, specio hiace wish corona corolla nk. Kama wewe ni strategic business man leta hizo spare,
 
Back
Top Bottom