Embe, Chungwa, Papai kwa pamoja ni MatundaWaganga wa Kienyeji/Maustadhi wa visomo na Wachungaji/Manabii wanaaminiwa sana na wanawake.
Makundi hayo uliyotaja kwa pamoja ni matapeli na Wazinzi ndio sababu wanavutiwa na Wanawake
Kuna Muhuni Mmoja pale Tabata Bima alikuwa anajifanya eti sio Mganga bali Tabibu wa Tiba mbadala na moja ya dawa zake eti lazima Atumie kitovu chake kupaka dawa kwenye kitovu cha Mwanamke ili apate uzazi
Mbwa yule aliwapanda Wamama wengi sana wenye heshma zao mjini bila ya ridhaa zao kwa mbinu hizo za kifedhuli
Ukimwi uliamulia Ugomvi hatimae