Hivi kwanini wanawake wanataka uanaume

Very very stupid topic ever. Poor thinking capacity. Hapo ndo naona upungufu wa wanaume.
 
That is precisely my point! Hizo organizations zote zimeundwa sababu wanawake walikuwa na wanaendelea kukandamizwa na wanaume wenye mentality kama yako. Wanaume hawahitaji siku ya wanaume sababu kila siku ni siku ya mwanamme. Hawahitaji benki ya wanaume sababu benki ni za wanaume. For example, Marekani kuna Black History Month (mwezi wa 2), lakini hakuna White History Month sababu historia wanayofundisha ni basically white history. Wangeweka White History Month wangeonaka ma racist. The oppressor cannot be oppressed by people that are not in positions of power.


Miaka ya zamani mwanamke alikuwa haruhusiwi kumiliki mali. Unaweza ukacheka ukasema hii ilikuwa sawa, lakini fikiria wewe na mkeo mmejitahidi kujijengea maisha, halafu wewe ufariki ukamuacha mkeo mjane hana elimu, haruhusiwi kumiliki chochote, ndugu zako wanakuja kumrithi na kurithi mali mlizochuma pamoja; je hii ni sawa? Kwa kifupi the system we had before was more beneficial to males ( anafanya kazi, mama abaki nyumbani kulea watoto), lakini kwa siku hizi kila mtu inabidi achakarike.

You should be thankful wanawake wanataka wawe wasaidizi, si kuchukua nafasi zenu.





Nitishike na kitu gani. Ha ha ha ha ha!! Ushawahi kusikia umoja wa wanaume? Benki ya wanaume? siku ya mwanaume duniani? Baraza la wanaume duniani? Mkutano wa kuzungumzia maswala ya wanaume afrika? Wanaume walio-oa marais/mabalozi/viongozi wana umoja wao? Kwa jinsi tunavyotofautiana katika maumbile, vivyo hivyo tunatofautiana katika "thinking", kufanya kazi, etc. Usione akina mama wapo jeshini ukavimba kichwa ukadhani meja jeneral mwanaume=meja jeneral mwanamke! Hutaki shauri yako. Habari ndo hiyo.

 
Wanatafuta kakitu kanaitwa haki sawa kitu ambacho hakipo na wakumbuke walitoka ubavuni mwa mwanaume.Mwanaume ndo kichwa cha nyumba

Siyo haki sawa tu, kuna leo na kesho. Una mkataba na Mungu wewe? Lazima tujifunze kila kitu incase hupo naweza kufanya. Wafundisheni wake zentu kufanya kile kinachowezekana na halali acheni kulalama.
 
Eiyer, nafikiri umenichanganya na mtu mwingine! Kina Vampire ni nani? hehe

Ni sawa, najaribu ku argue point yangu bila kuleta mambo ya dini sababu dunia ni kubwa, dini ni nyingi, kabla ya ukristo kuletwa na wakoloni tulikuwa tunatumia sheria gani? Kuna fundamental rules ambazp dini zote zinakubaliana nazo, zinafanana na amri 10. Kwa mfano kutokuiba, kutokuua n.k.

Ninachosema ni biblia ichukuliwe kama guideline, sio kila neno linfuatwa no matter the situation. Hii ni karne ya 21! Biblia inasema mwanamke akibakwa apelekwe kwa mbakaji wake awe mkewe, ina maana bado tuendelee kufuata mambo kama haya sababu "BIBLIA INASEMA!" ?

Feminists recognize and respect differences and are for equal rights as women, as human beings. Bible or no bible.



HoneyBee ,ukimuona Vampire msalimie sana,lakini ukimuona Swordfish mwambie namsalimia pia.. . .
"
BACK TO TOPIC!!!!
"Kiukweli dada kama hauamini kwenye biblia jambo hili linakua jepesi sana kwako.
"
Lakini kama unaamini litakufunga kwa kuwa limetolewa muongozo huko.
"
Hivyo wale wanao-quote biblia wanakua na lengo la kuwakumbusha wanawake walio Wakristo!
 
Siyo haki sawa tu, kuna leo na kesho. Una mkataba na Mungu wewe? Lazima tujifunze kila kitu incase hupo naweza kufanya. Wafundisheni wake zentu kufanya kile kinachowezekana na halali acheni kulalama.

Aisee. this is getting very serious. You should be proud to be what you are!!! Hakuna usawa katika dunia hii. Hata mbinguni hakuna usawa. Hata Baharini hakuna usawa; japo wote ni samaki lakini kuna papa na dagaa. Wewe endelea tu kuishi dunia ya kufikirika. Ha ha ha ha ha ha ha!!!!!!
 
wanaume wa humu jf c wakweli jamani, unapotoa thread la kuwahusu wanaenda left hata kama wanaona mataa yanaruhusu right, u cant lie to urself lol........
 
Taken out of context. Partners , not inferior and not superior.

Tupo ukurasa mmoja. Hakuna inferior wala superior. Ni kama baharini. Kuna papa, nyangumi, changu na dagaa. Ndivyo dunia ilivyo. Usipoelewa hilo, utaumiza sana akili yako. Halafu ujue sisi wanaume tunaona, ila tunapotezea. Life goes on. But reality remains.
 
wanaume wa humu jf c wakweli jamani, unapotoa thread la kuwahusu wanaenda left hata kama wanaona mataa yanaruhusu right, u cant lie to urself lol........

Twenty percent aliwahi kuimba. Mbuzi ni mbuzi hawezi kuwa simba. Sasa nyie mkiambiwa ukweli mnadhani mnadanganywa. Lakini unatakiwa kujua thinking ya mwanaume na mwanamke ni tofauti sana. Na hapo ndipo tofauti ya mwanamke na mwanaume inapoanzia katika kila nyanja ya maisha. Kama hutaki shauri yako.
 
Si bora wao wanavaa suruali na kaptura kuliko baadhi ya Wanaume wanaojigeuza wao WANAWAKE (mashoga) tena ukiwakuta mtaani wanavyogombana na WANAWAKE utahic wao ndo wanahaki ya,kuwa wake na kibaya au kizuri zaidi wanapata support kubwa kutoka kwa Wanaume Wenzao kwasababu watejao wao ni hao hao WANAUME. So cdhani kama nidhambi kwa mwanamke kuvaa suruali kuliko ilivyo dhambi kwa mwanaume kujifanya mwanamke tena kinyume na maumbile dhambi ambayo hata Shetan anakana kuhusika.
 
Twenty percent aliwahi kuimba. Mbuzi ni mbuzi hawezi kuwa simba. Sasa nyie mkiambiwa ukweli mnadhani mnadanganywa. Lakini unatakiwa kujua thinking ya mwanaume na mwanamke ni tofauti sana. Na hapo ndipo tofauti ya mwanamke na mwanaume inapoanzia katika kila nyanja ya maisha. Kama hutaki shauri yako.

kua mpinzani haimaanishi kupinga kila hoja ya mwenzio, tubishe kwa hoja jameni, penye ukweli mkiri tu hamuwaoni wenzenu kina A,B,C walivyo na mtazamo chanya kwa wanawake
 
kua mpinzani haimaanishi kupinga kila hoja ya mwenzio, tubishe kwa hoja jameni, penye ukweli mkiri tu hamuwaoni wenzenu kina A,B,C walivyo na mtazamo chanya kwa wanawake

Sasa wewe "suprise", akili yako inakwambia mwanaume=mwanamke? Wewe kama akili yako inakwambia hivyo,mimi inaniambia tofauti. Ukisema mimi na wewe tuko sawa, nakataa!! Shauri yako. Wee endelea kung'ang'ania tu. Lakini habari ndo hiyo.
 
Si bora wao wanavaa suruali na kaptura kuliko baadhi ya Wanaume wanaojigeuza wao WANAWAKE (mashoga) tena ukiwakuta mtaani wanavyogombana na WANAWAKE utahic wao ndo wanahaki ya,kuwa wake na kibaya au kizuri zaidi wanapata support kubwa kutoka kwa Wanaume Wenzao kwasababu watejao wao ni hao hao WANAUME. So cdhani kama nidhambi kwa mwanamke kuvaa suruali kuliko ilivyo dhambi kwa mwanaume kujifanya mwanamke tena kinyume na maumbile dhambi ambayo hata Shetan anakana kuhusika.

Hao wanaopinga wanawake kuvaa suruali wana hoja dhaifu. Wapi imeandikwa kwamba suruali ni vazi la mwanaume?

 
Back
Top Bottom