Pengine waweza jiuliz a kwa nini wanaume wengi hata wakutane na wanwake kama malaika wasiojua kutoka nje lakini wanashindwa kujiheshimu??je wewe ni mmja wa haka kagonjwa??
Wenye uzoefu tusaidiane jamani!!
coz matamanio ya mwanaume yapo karibu zaidi!na ndo maana kwa kultambua hlo dini ya kiislamu ikatoa ruhusa ya mwanaume kuoa mke zaidi ya mmoja ili kukidhi haja!
sasa mie nataka mwanaume wangu matamanio yake ayalete kwangu aone kama hajachoka mwenyewe
nikishindwa ndio aniletee habari ya baioloji not now najijua kila akitaka nitamtimizia tu, nia ninayo, uwezo ninao, na hamu pia ninazo
sasa mie nataka mwanaume wangu matamanio yake ayalete kwangu aone kama hajachoka mwenyewe
nikishindwa ndio aniletee habari ya baioloji not now najijua kila akitaka nitamtimizia tu, nia ninayo, uwezo ninao, na hamu pia ninazo
hapo nilipo bold sikubaliani na wewe hizo zilikuwa ni tamaa za jamaa yenu Muhammad tu. hebu fikiria na mwanamke angekuwa anaolewa na mwanamume zaidi ya mmoja ingekuwaje? simple question
Astakaffirurah*3 , manyanza, manyanza my friend.............hapo nilipo bold sikubaliani na wewe hizo zilikuwa ni tamaa za jamaa yenu Muhammad tu. hebu fikiria na mwanamke angekuwa anaolewa na mwanamume zaidi ya mmoja ingekuwaje? simple question
ndio manaake maana baioloji baioloji, na mimi nitamwambia baioloji yake ailete kwa mwenzake kila ikileta mushkeriitategemea kama utakuwa mbunifu na unajua kujipamba na kujitunza kila siku atakuona mpya na matamanio ataya elekeza kwako, na wewe umesema utamwonesha kwa kuwa kazi unaiweza.... haaaa haaa
sasa mie nataka mwanaume wangu matamanio yake ayalete kwangu aone kama hajachoka mwenyewe
nikishindwa ndio aniletee habari ya baioloji not now najijua kila akitaka nitamtimizia tu, nia ninayo, uwezo ninao, na hamu pia ninazo[/QUOTEY
yaani wewe, you are the right women for me. Hivi umeolewa au bado. Mana nahisi ungenisaidia nistoke nje ya ndoa.
sasa mie nataka mwanaume wangu matamanio yake ayalete kwangu aone kama hajachoka mwenyewe
nikishindwa ndio aniletee habari ya baioloji not now najijua kila akitaka nitamtimizia tu, nia ninayo, uwezo ninao, na hamu pia ninazo[/QUOTEY
yaani wewe, you are the right women for me. Hivi umeolewa au bado. Mana nahisi ungenisaidia nistoke nje ya ndoa.
UMEENDA ANGAZA USIJE NIULIA KITINDA MIMBA CHANGU NIKAKOSA MAWAZO YAKE HUMU NDANI
Mkuu pdidy kujitahidi kumuhudumia mpenzi ni kumuua tena, sasa mnataka nn siwaelewiUMEENDA ANGAZA USIJE NIULIA KITINDA MIMBA CHANGU NIKAKOSA MAWAZO YAKE HUMU NDANI