carica papaya
Member
- Nov 21, 2014
- 23
- 7
Wahindi na waarabu ni wezi na mafisadi,wanapokuwa ccm hawalipi kodi na wanaingiza vitu vya magendo na hata madawa ya kulevya hawakamatwi,kwani wanajua penye udhia penyeza rupia vitu ambavyo ni jadi ya ccm,wakiingia upinzani hawataiba maana huko hakuna wezi,wezi na mafisadi nchi hii ni ccm,kwahiyo waliona vema kuwa na wezi wenzao waibe vizuri,