srinavas
JF-Expert Member
- Jun 5, 2011
- 4,023
- 3,583
Pumbaffffff
Yaani nikiwakutaga kwenye ma office mbalimbali huko kariakoo au posta au sehemu yoyote. Huwa nawaza tu kuwa siku yao hawa washenzi siku yao itafika lini. Na sio kwamba nawachukia nikiwa sina sababu. Nina sababu za kutosha , na anayetaka kuzisikia anaweza kuniomba nimwelezee