........bado hujajibu swali ! kwanini wametajwa "Samaritan" ? .........ipo sababu ?....kama hujui sema upigwe shule !Nawajua,aliwakataza wanafunzi wasiende huko kwa sababu hakuagizwa aende huko na waende kwa mataifa ya Israel tu, na hapo ilikuwa kabla ya hajakamatwa na kuteswa . Baada ya hapo aliwaamuru wanafunzi wake waende kuhubiria mataifa yote including Samaria kwa sababu sasa alikuwa amepewa maagizo ya kufikisha ujumbe dunia nzima.
Rejea kusoma tena hapo chini. Sikutarajia wewe kuuliza hili swali ikiwa ulisoma hapo chini.
Maneno ya mwisho ya Jesus: Mathew chapter 28: The Great Commission 16 Then the eleven disciples went to Galilee, to the mountain where Jesus had told them to go. 17 When they saw him, they worshiped him; but some doubted. 18 Then Jesus came to them and said, "All authority in heaven and on earth has been given to me. 19 Therefore go and make disciples of all nations, baptizing them in the name of the Father and of the Son and of the Holy Spirit, 20 and teaching them to obey everything I have commanded you. And surely I am with you always, to the very end of the age."
Mkuu BujiBuji nimekuwa nikikuheshimu sana kwa makala zako na mchango wako kwenye mada nyingi humu jamvini. Sikujua kama unaweza kutamka upuuzi wa hali ya juu kama hili.
hembu tuambie ni Mungu gani wa waarabu aliyeruhusu huu mchezo na ni kitabu gani ili nasi tufanye refference
Labda tumetofautiana uwezo wa kuelewa kama umeshindwa kupata jibu kuhusu swali lako kwenye hizo scripture nilizokupa then I wonder hata shule umeiwezaje, kama ulikwenda.........bado hujajibu swali ! kwanini wametajwa "Samaritan" ? .........ipo sababu ?....kama hujui sema upigwe shule !
Hiyo aya yako inatenguliwa na ule utabiri wa Yesu, ........atazaliwa mwokozi atakae chunga nyumba yangu Israel !
Hivi kwa nini Wayahudi wana Dininyao ya Kiyahudi na hawamfuati Yesu ? .......jibu kwanza la 'samaritan' !!
kwa sababu siyo watu wa majibizano........wagalatia watakimbia humu ! :becky:
Labda tumetofautiana uwezo wa kuelewa kama umeshindwa kupata jibu kuhusu swali lako kwenye hizo scripture nilizokupa then I wonder hata shule umeiwezaje, kama ulikwenda.
Kwenye red nipe scripture ambazo zinaonyesha huo utabiri wa Yesu.
kwa sababu siyo watu wa majibizano.
Dini yao inaruhusu hako kamchezo!
teh teh teh..nipo kwene huu uzi kutanua mbavu zangu si unajua tena kuzipa mazoezi.. don't mind me/Mkuu Abdulhalim, I am still puzzled,can you please clarify more to make it clear!