ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,492
- 8,295
Itifaki izingatiwe,,mabibi na mabwana nawasalimu.
Nimekaa hapa nawaza,hivi kwa nini tunaishi?ni kwa faida ya nani?Tunafanya kazi ili tule,tuvae,tujenge,nk ndiyo kuishi kwenyewe.tunaoa,tunazaa,tunakufa,ndiyo mwisho hapo.Lakini hayo masumbifu yote ni ya nini? Nani anajua.
Nimekaa hapa nawaza,hivi kwa nini tunaishi?ni kwa faida ya nani?Tunafanya kazi ili tule,tuvae,tujenge,nk ndiyo kuishi kwenyewe.tunaoa,tunazaa,tunakufa,ndiyo mwisho hapo.Lakini hayo masumbifu yote ni ya nini? Nani anajua.