Fanya Research kabla ya kuweka Hoja Wajameni Dah; Nyerere alipewa Ph.D na alikuwa anaitwa Dr. Mara nyingi tu Most of the time alipokuwa South South Commission
Jamani mbona mnamwonea hivi mzee wa watu? Mwenyewe katulia tulii..., nyie wenyewe ndio mnaemwita doctor...!ALIKUWA NAZO 26... hakuona sababu ya kujiita Dr. Kwa sababu kama alikuwa na nia ya kuipata kwa kukaa Darasani angeipata. Tatizo linakuja kwa hawa hata first degree aliipata kwa mazabwe. anatamani kuwa Dr ila kwa kukaa darasani haiwezakani. Akipatiwa hiyo ya heshima Lazima anganganie kuitwa Dr
Hakupenda Sifa Za KijingaWanabaodi Heshima kwenu, Kuna jambo limekuwa likinitatizo, katika kipindi cha karibuni tumeona tumesikia karibu zaidi ya vyuo vyetu ambapa nchini kutoa Phd za Heshima kwa viongozi ambali mbali ambayo imepeleka mpaka Kiongozi wa Nchi yaani Rahisi kutunukiwa Phd za Heshima zaidi ya Nne kama sikosei mwenye data sahahii atarekebisha! Maswali ambayo nimekuwa nikijiuliza kitu ambacho nahisi kunawengi pia ambao wanamaswali kama yangu ni haya yafuatayo:
Ni hayo tu
- Hivi Sifa na Sababu hasa kupewa Phd ni nini au ni zipi?
- Hivi Kwa kazi aliyolifanyia Mwl.Nyerere kwa hili Taifa hakustahili Kupewa Phd au alipewa akakaata?
- Je Hizo PHD zina tija kwa taifa?
Nawatakia Bajeti Njema.
Hapo vipi Rtd Lt. Jakaya M. Kikwete
Nyerere was a really president and statesman, Nyerere was a philosopher and teacher. Hakuchachawa na titles kama malimbukeni wa leo, aliacha matendo na imani yake izungumze.
La kushangaza, Nyerere alipata PhD nyingi za heshima kuliko viongozi na watu mashuhuri tulionao nchini, lakini hakujivunina, tofauti na wa leo ambao wanazitafuta kwa nguvu.
Nyerere was a really president and statesman, Nyerere was a philosopher and teacher. Hakuchachawa na titles kama malimbukeni wa leo, aliacha matendo na imani yake izungumze.
La kushangaza, Nyerere alipata PhD nyingi za heshima kuliko viongozi na watu mashuhuri tulionao nchini, lakini hakujivunina, tofauti na wa leo ambao wanazitafuta kwa nguvu.
Hakupenda Sifa Za Kijinga
| [TD="align: right"] [FONT=Verdana,Arial,sans-serif] © FZS [/FONT] |
| [FONT=Verdana,Arial,sans-serif][/FONT][FONT=Verdana,Arial,sans-serif]Dr. Julius Kambarage Nyerere[/FONT][FONT=Verdana,Arial,sans-serif] by Dr. Markus Borner, Regional Representative of the Frankfurt Zoological Society[/FONT] [FONT=Verdana,Arial,sans-serif] "The survival of our wildlife is a matter of grave concern to all of us in Africa. These wild creatures amid the wild places they inhabit are not only important as a source of wonder and inspiration, but are an integral part of our natural resources and our future livelihood and well being. In accepting the trusteeship of our wildlife we solemnly declare that we will do everything in our power to make sure that our children's grand-children will be able to enjoy this rich and precious inheritance. The conservation of wildlife and wild places calls for specialist knowledge, trained manpower and money, and we look to other nations to co-operate with us in this important task - the success or failure of which not only affects the continent of Africa but the rest of the world as well." Julius K. Nyerere, Arusha Manifesto, 1961[/FONT] [FONT=Verdana,Arial,sans-serif]Nyerere's philosophy to protect and cherish Tanzania's spectacular wildlife as a prime national heritage is expressed in the high priority the Tanzanian government has given to conservation of natural resources. At independence Tanzania had only one national Park, the Serengeti. Since then 12 more Parks were created, about 4.5 % of the country are National Parks; nearly a quarter is under some form of protection as Game- and Forest Reserves.[/FONT] |
Zingatia msingi wa Swali Kikongwe!
:violin:
[TD="align: right"] © FZS
[TD="colspan: 3"][/TD]
[/TD]
Dr. Julius Kambarage Nyerere
by Dr. Markus Borner, Regional Representative of the Frankfurt Zoological Society "The survival of our wildlife is a matter of grave concern to all of us in Africa. These wild creatures amid the wild places they inhabit are not only important as a source of wonder and inspiration, but are an integral part of our natural resources and our future livelihood and well being.
In accepting the trusteeship of our wildlife we solemnly declare that we will do everything in our power to make sure that our children's grand-children will be able to enjoy this rich and precious inheritance.
The conservation of wildlife and wild places calls for specialist knowledge, trained manpower and money, and we look to other nations to co-operate with us in this important task - the success or failure of which not only affects the continent of Africa but the rest of the world as well."
Julius K. Nyerere, Arusha Manifesto, 1961
Nyerere's philosophy to protect and cherish Tanzania's spectacular wildlife as a prime national heritage is expressed in the high priority the Tanzanian government has given to conservation of natural resources. At independence Tanzania had only one national Park, the Serengeti. Since then 12 more Parks were created, about 4.5 % of the country are National Parks; nearly a quarter is under some form of protection as Game- and Forest Reserves.
Wanabaodi Heshima kwenu, Kuna jambo limekuwa likinitatizo, katika kipindi cha karibuni tumeona tumesikia karibu zaidi ya vyuo vyetu ambapa nchini kutoa Phd za Heshima kwa viongozi ambali mbali ambayo imepeleka mpaka Kiongozi wa Nchi yaani Rahisi kutunukiwa Phd za Heshima zaidi ya Nne kama sikosei mwenye data sahahii atarekebisha! Maswali ambayo nimekuwa nikijiuliza kitu ambacho nahisi kunawengi pia ambao wanamaswali kama yangu ni haya yafuatayo:
Ni hayo tu
- Hivi Sifa na Sababu hasa kupewa Phd ni nini au ni zipi?
- Hivi Kwa kazi aliyolifanyia Mwl.Nyerere kwa hili Taifa hakustahili Kupewa Phd au alipewa akakaata?
- Je Hizo PHD zina tija kwa taifa?
Nawatakia Bajeti Njema.
Dr Julius Nyerere, Jomo Kenyatta and Dr Milton Obote-- used to converge for their political meetings while in Arusha.
Hili ndilo tatizo la kujichanganya na kila aina ya mtu. Unajua mtaani huwa tunajifanya mimi sijichanganyi na kundi fulani la watu kwa sababu tuna sababu za haki kufanya hivyo.
Ukikuta wanywa kahawa unaweza kusema hilo si genge lako unaenda kwa wanywa wine na whisky na huko mazungumzo yanaendana.
Hata majumbani tukitembeleana hali ni hivyohivyo. Eti mgeni akija tunafukuza watoto waende kucheza kwa kigezo kwamba mazungumzo hayawafai au hawataelewa au wataharibu mazungumzo.
Sasa mitandao imetuletea balaa tulilolikwepa kwa miaka mingi. Yule mtoto tunayemfukuza nyumbani kwamba hataelewa au kuvuruga mazungumzo sasa ndiye yuleyule anyekuja kwenye mitandao bila jina halisi.
Yule mnywa kahawa uliyekwepa genge lake ukakimbilia Yatch Club kwa wenzako sasa mnakutana kwenye mitandao bila yeye kujua na bila wewe kujua.
Kama ulikuwa unakwepa au unawanyanyapaa wasukuma mikokoteni kwamba huwezi kujadili nao eti si saizi yako, sasa wanajua ku-type keyboard na unakutana nao kwenye mitandao bila kujua unajadili na msukma mikokoteni.
Angalia nature ya swali hili. Ni wazi aliyeliuliza ingekuwa ni kwenye seating room au Yatch club sidhani kama kuna mtu angemjibu huyu na sanasana wangeishia kumkemea kwa maswali ambayo hayana kichwa wala miguu.
Mimi ni mzuri sana kukwepa makundi. Lakini kwenye mitandao sina jinsi maana ni ukweli ninayemkwepa mtaani ndiye siajabu ni yuleyule anayekuja kwenye mitandao bila ID.
Hivyo maswali mengine tunatakiwa tu kuyavumilia japo ukweli ni kwamba ni pumba.
Haaaaahaaaaahaaaaaaa! Hapa umemuweza... Nyerere hakuwa mshamba kiasi akubali vititle vya kijingajinga kama hivyo. Sipati picha eti mtangazaji wa rtd ya wakati huo amtaje eti sijui Dr. Nyerere amemstaafisha kwa manufaa ya umma fulani bin fulani! Nakwambia huyo mtangazaji angetolewa baru hadi kijijini kwao akawasimulie na wajomba zake ubaya wa unafiki na kujikombakomba!Ritz hebu wawekee na makala za Mzalendo, Mfanyakazi, Sunday News na Uhuru ambamo Nyerere aliitwa Dk maana vijana wa leo kidhungu taabu (skuli za kata).....
are you trying to justify calling jk dr or what ?
Kila mtanzania leo ukisema dr.nyerere watadhani ni mtu mpya maana hawakuwahi kuzoea ujinga huu .yeye ukisema mwalimu basi hata nani anamjua .