Hivi kwanini Mwl. Nyerere hakupewa PhD?

KOMBAJR

JF-Expert Member
Nov 15, 2011
5,827
1,271
Wanabaodi Heshima kwenu, Kuna jambo limekuwa likinitatizo, katika kipindi cha karibuni tumeona tumesikia karibu zaidi ya vyuo vyetu ambapa nchini kutoa Phd za Heshima kwa viongozi ambali mbali ambayo imepeleka mpaka Kiongozi wa Nchi yaani Rahisi kutunukiwa Phd za Heshima zaidi ya Nne kama sikosei mwenye data sahahii atarekebisha! Maswali ambayo nimekuwa nikijiuliza kitu ambacho nahisi kunawengi pia ambao wanamaswali kama yangu ni haya yafuatayo:
  1. Hivi Sifa na Sababu hasa kupewa Phd ni nini au ni zipi?
  2. Hivi Kwa kazi aliyolifanyia Mwl.Nyerere kwa hili Taifa hakustahili Kupewa Phd au alipewa akakaata?
  3. Je Hizo PHD zina tija kwa taifa?
Ni hayo tu

Nawatakia Bajeti Njema.

====
Nyerere alitunukiwa Shahada nyingi za Heshima tena kuzidi hata hizi anazopewa Kikwete lakini hakupenda kujikweza nazo kwani yeye aliheshimu sana kile alichokisomea kuliko hivyo bandia

Hapa chini nakuwekea Orodha ya nini Nyerere (R.I.P) alipata

Mwalimu Julius K. Nyerere alitunukiwa shada zaidi ya 20 lakini hakujiita Dr Julius Nyerere,

Unaweza kujionea mtiririko Shahada za PHd alizotunukiwa Mwalimu Julius Nyerere hapa chini:

MWALIMU JULIUS NYERERE He received honorary degrees from the following:

1. University of Edinburgh (United Kingdom)

2. University of Dugueshe (United States of America)

3. Cairo University (Egypt)

4. University of Nsukka (Nigeria)

5. University of Ibadan (Nigeria)

6. University of Monrovia (Liberia)

7. Toronto University (Canada)

8. Havard University (United States of America)

9. Howard University (United States of America)

10. Ljubliana (Yugoslavia) - Honorary Doctoral of Law (26 March 1985)

11. Pyongyang University (Korea) -Honorary Doctorate of Philosophy (28th March 1985)

12. National University of Lesotho (Lesotho)

13. The State House Dar es Salaam (Tanzania) - Honorary Degree for Diplomacy (20th Sept, 1985)

14. Havana University of Cuba (Cuba) - Honorary Degree of Doctor Of Philosophy (30th Sept 1985)

15. University of Dar es Salaam (Tanzania) - Honorary Degree of Literature Honoris Causa (13th Sept 1986)

16. Universities of Philippines (Philippines) - Honorary Doctorate of Humanities (12th July 1991)

17. Manila (Philippines) - Honorary Doctor Degree (12th October 1992)

18. Makerere University Kampala (Uganda) - Honorary Doctor of Laws (29th January 1993)

19. Open University of Tanzania (Tanzania) - Doctor of Letters Honoris Causa (15th March 1997)

20. Claremont University Centre (United States of America) - Doctor of Laws for Claremont graduate School California (17th May 1997)

21. Sokoine University of Agriculture (Tanzania) - Doctor of Philosophy Honoris Causa (28th November 1997)

22. University of Fort Hare (South Africa) - Doctor of Laws Honoris Causa (23rd April 1998)

23. Lincoln University (United States of America) - Honorary Degree of Laws (5th May 1998)

Awards / Prices

1. Yogoslavia - Memorial Plaque of the City of Belgrade (15th October 1969)

2. Guyana - Freedom of the City of Georgetown (11th September 1974)

3. Havana, Cuba - Order of Jose Marti (21st September 1974)

4. Mexico - The Great Collar of the Aztec Eagle (24th April 1975)

5. India - Nehru Award for International Understanding (17th January 1976)

6. Guinea Bissau - Medal of Amilcar Cabral (19th September 1976)

7. Brussels - The Dag Hammarskjold Price for Universal Merit

8. New Delhi, India - Third World Prize (22nd February 1982)

9. Maputo, Mozambique - Eduardo Mondlane Medal (7th September 1983)

10. Geneva - Nansen Medal for Services to the Cause of Refugees (3rd October 1983).

11. Luanda, Angola - Order of Augstino Neto Award (3rd October 1985)

12. Luanda Angola - SADCC Sir Seretse Khama Medal (21 August 1986)

13. Dodoma, Tanzania - Lenin Peace Prize (7th September 1987)

14. Dodoma, Tanzania - Juliot Curie Gold Medal (February 1988)

15. Paris, France - UNESCO Simon Boliver Prize (21st October 1992)

16. Arusha, Tanzania - TANAPA /Gold Medal of Outstanding on Wildlife and Environmental Conservation (21st February 1994)

17. New, Delhi, India - Gandhi Peace Prize (27th January 1995)

18. Abujua, Nigeria - Nnandi Azikiwe Award (10th March 1996)

19. Harvard University - World Map Globe (28th December 1999)

20. CCM, Tanzania - The Century Statesman (2000)

Vatican - Mwenye heri na mtakatifu
 
Mwalimu J.K. Nyerere alipewa PhD za heshima (Honoris Causa) na vyuo vikuu vingi tu kutoka Africa, Marekani na hapa Tanzania. Inawezekana wewe tu ndo huna hizo kumbukumbu. Lakini kwa taarifa yako, Chuo Kikuu cha Dar es salaam, kilimtunuku uprofesa wa historia, kwa hiyo alikuwa ni title ya Professor katika chuo kikuu cha DSM.
 
Kwa kumbukumbu zangu ni kwamba mpaka anafariki alikuwa na PhD za heshima 14 kutoka katika vyuo mbali mbali barani Afrika, Ulaya na U.S vikiwemo chuo kikuu cha Oxford na Cambridge vya Uingereza, ila yeye kwa kutokujikweza kwake aliamua kuitwa Mwalimu, na hiyo ndo inamtofautisha na hao wengine
 
Kwa kumbukumbu zangu ni kwamba mpaka anafariki alikuwa na PhD za heshima 14 kutoka katika vyuo mbali mbali barani Afrika, Ulaya na U.S vikiwemo chuo kikuu cha Oxford na Cambridge vya Uingereza, ila yeye kwa kutokujikweza kwake aliamua kuitwa Mwalimu, na hiyo ndo inamtofautisha na hao wengine
Inamaana hakupena sifa kama huju JK WA ukware.
 
Kwa kumbukumbu zangu ni kwamba mpaka anafariki alikuwa na PhD za heshima 14 kutoka katika vyuo mbali mbali barani Afrika, Ulaya na U.S vikiwemo chuo kikuu cha Oxford na Cambridge vya Uingereza, ila yeye kwa kutokujikweza kwake aliamua kuitwa Mwalimu, na hiyo ndo inamtofautisha na hao wengine

ALIKUWA NAZO 26... hakuona sababu ya kujiita Dr. Kwa sababu kama alikuwa na nia ya kuipata kwa kukaa Darasani angeipata. Tatizo linakuja kwa hawa hata first degree aliipata kwa mazabwe. anatamani kuwa Dr ila kwa kukaa darasani haiwezakani. Akipatiwa hiyo ya heshima Lazima anganganie kuitwa Dr
 
Inamaana hakupena sifa kama huju JK WA ukware.

watu wengi hawajui matumizi ya degree za heshima. huruhusiwi kuandika jina lako likianzia mfano: DR.J.Nyerere, inapaswa itamkwe tu na si vinginevyo.
 
KOMBAJR.

Inawezekana umri wako mdogo wakati wa Nyerere ulikuwa mdogo, University of Kankan Guinea walipa PhD.

Tafuta makala ya muandishi wa zamani wa BBC James Robbis, alikuwa akimuandika Dr Julius Nyerere.
 
Last edited by a moderator:
KOMBAJR.

Inawezekana umri wako mdogo wakati wa Nyerere ulikuwa mdogo, University of Kankan Guinea walipa PhD.

Tafuta makala ya muandishi wa zamani wa BBC James Robbis, alikuwa akimuandika Dr Julius Nyerere.

Are you trying to justify calling JK DR or what ?
Kila mtanzania leo ukisema Dr.Nyerere watadhani ni mtu mpya maana hawakuwahi kuzoea ujinga huu .Yeye ukisema Mwalimu basi hata nani anamjua .
 
Are you trying to justify calling JK DR or what ?
Kila mtanzania leo ukisema Dr.Nyerere watadhani ni mtu mpya maana hawakuwahi kuzoea ujinga huu .Yeye ukisema Mwalimu basi hata nani anamjua .

Hapo vipi Rtd Lt. Jakaya M. Kikwete
 
KOMBAJR.

Inawezekana umri wako mdogo wakati wa Nyerere ulikuwa mdogo, University of Kankan Guinea walipa PhD.

Tafuta makala ya muandishi wa zamani wa BBC James Robbis, alikuwa akimuandika Dr Julius Nyerere.

Zingatia msingi wa Swali Kikongwe!
 
Hizi Degree za Heshima hutokana na mchango fulani ukatambuliwa na watu fulani then wakakutunuku hio heshima,
 
Wanabaodi Heshima kwenu, Kuna jambo limekuwa likinitatizo, katika kipindi cha karibuni tumeona tumesikia karibu zaidi ya vyuo vyetu ambapa nchini kutoa Phd za Heshima kwa viongozi ambali mbali ambayo imepeleka mpaka Kiongozi wa Nchi yaani Rahisi kutunukiwa Phd za Heshima zaidi ya Nne kama sikosei mwenye data sahahii atarekebisha! Maswali ambayo nimekuwa nikijiuliza kitu ambacho nahisi kunawengi pia ambao wanamaswali kama yangu ni haya yafuatayo:
  1. Hivi Sifa na Sababu hasa kupewa Phd ni nini au ni zipi?
  2. Hivi Kwa kazi aliyolifanyia Mwl.Nyerere kwa hili Taifa hakustahili Kupewa Phd au alipewa akakaata?
  3. Je Hizo PHD zina tija kwa taifa?
Ni hayo tu

Nawatakia Bajeti Njema.

Mwalimu Nyerere alikuwa mtu wa kujishusha na alipenda kuitwa mwalimu na si vinginevyo,though alikuwa na Phd za heshima zaidi ya kumi.Hii na iwe fundisho kwa viongozi wetu,ambao wengine wanapewa phd za heshma zenye utata ili wajiite dr fulani.
 
Are you trying to justify calling JK DR or what ?
Kila mtanzania leo ukisema Dr.Nyerere watadhani ni mtu mpya maana hawakuwahi kuzoea ujinga huu .Yeye ukisema Mwalimu basi hata nani anamjua .

Wewe wakati wa Nyerere haukuwepo wewe kipindi chako cha siasa ni wakati wa JK, ndio maana wakongwe wamekaa kimya takuwekea makala ambazo Nyerere alikuwa anaitwa Dr wakati wewe bado ujazaliwa.
 
yeye si amepewa Dk yaani Dictator

Wanabaodi Heshima kwenu, Kuna jambo limekuwa likinitatizo, katika kipindi cha karibuni tumeona tumesikia karibu zaidi ya vyuo vyetu ambapa nchini kutoa Phd za Heshima kwa viongozi ambali mbali ambayo imepeleka mpaka Kiongozi wa Nchi yaani Rahisi kutunukiwa Phd za Heshima zaidi ya Nne kama sikosei mwenye data sahahii atarekebisha! Maswali ambayo nimekuwa nikijiuliza kitu ambacho nahisi kunawengi pia ambao wanamaswali kama yangu ni haya yafuatayo:
  1. Hivi Sifa na Sababu hasa kupewa Phd ni nini au ni zipi?
  2. Hivi Kwa kazi aliyolifanyia Mwl.Nyerere kwa hili Taifa hakustahili Kupewa Phd au alipewa akakaata?
  3. Je Hizo PHD zina tija kwa taifa?
Ni hayo tu

Nawatakia Bajeti Njema.
 
Wanabaodi Heshima kwenu, Kuna jambo limekuwa likinitatizo, katika kipindi cha karibuni tumeona tumesikia karibu zaidi ya vyuo vyetu ambapa nchini kutoa Phd za Heshima kwa viongozi ambali mbali ambayo imepeleka mpaka Kiongozi wa Nchi yaani Rahisi kutunukiwa Phd za Heshima zaidi ya Nne kama sikosei mwenye data sahahii atarekebisha! Maswali ambayo nimekuwa nikijiuliza kitu ambacho nahisi kunawengi pia ambao wanamaswali kama yangu ni haya yafuatayo:
  1. Hivi Sifa na Sababu hasa kupewa Phd ni nini au ni zipi?
  2. Hivi Kwa kazi aliyolifanyia Mwl.Nyerere kwa hili Taifa hakustahili Kupewa Phd au alipewa akakaata?
  3. Je Hizo PHD zina tija kwa taifa?
Ni hayo tu

Nawatakia Bajeti Njema.

Hili ndilo tatizo la kujichanganya na kila aina ya mtu. Unajua mtaani huwa tunajifanya mimi sijichanganyi na kundi fulani la watu kwa sababu tuna sababu za haki kufanya hivyo.

Ukikuta wanywa kahawa unaweza kusema hilo si genge lako unaenda kwa wanywa wine na whisky na huko mazungumzo yanaendana.

Hata majumbani tukitembeleana hali ni hivyohivyo. Eti mgeni akija tunafukuza watoto waende kucheza kwa kigezo kwamba mazungumzo hayawafai au hawataelewa au wataharibu mazungumzo.

Sasa mitandao imetuletea balaa tulilolikwepa kwa miaka mingi. Yule mtoto tunayemfukuza nyumbani kwamba hataelewa au kuvuruga mazungumzo sasa ndiye yuleyule anyekuja kwenye mitandao bila jina halisi.

Yule mnywa kahawa uliyekwepa genge lake ukakimbilia Yatch Club kwa wenzako sasa mnakutana kwenye mitandao bila yeye kujua na bila wewe kujua.

Kama ulikuwa unakwepa au unawanyanyapaa wasukuma mikokoteni kwamba huwezi kujadili nao eti si saizi yako, sasa wanajua ku-type keyboard na unakutana nao kwenye mitandao bila kujua unajadili na msukma mikokoteni.

Angalia nature ya swali hili. Ni wazi aliyeliuliza ingekuwa ni kwenye seating room au Yatch club sidhani kama kuna mtu angemjibu huyu na sanasana wangeishia kumkemea kwa maswali ambayo hayana kichwa wala miguu.

Mimi ni mzuri sana kukwepa makundi. Lakini kwenye mitandao sina jinsi maana ni ukweli ninayemkwepa mtaani ndiye siajabu ni yuleyule anayekuja kwenye mitandao bila ID.

Hivyo maswali mengine tunatakiwa tu kuyavumilia japo ukweli ni kwamba ni pumba.
 
Swali hili sio pumba kama unavyodhani. Ni swali la msingi sana. Linatoa uelewa wa mtu binafsi, hulka yake na jamii imwelewe. Mtu kiongozi wa watu lazima watu wake wamwelewe kwa undani, vitu anavyopenda, anavyochukia na umakini wake ili waweze kuishi naye vizuri. Mfano kwa maelezo ya hapo juu utajua nani kati ya viongozi hawa anapenda vya bure (simple popularity) nani anajikweza na kwa nini anajikweza. Hivyo huwezi kutegemea kupata makuu kwa mtu mvivu. Kwa mchapa kazi kupewa kitu asichokitolea jasho ni aibu kwa mvivu ni neema inayopaswa kukumbatiwa tena pasipo hata shukrani. Utasema ni pumba?
 
Wanabaodi Heshima kwenu, Kuna jambo limekuwa likinitatizo, katika kipindi cha karibuni tumeona tumesikia karibu zaidi ya vyuo vyetu ambapa nchini kutoa Phd za Heshima kwa viongozi ambali mbali ambayo imepeleka mpaka Kiongozi wa Nchi yaani Rahisi kutunukiwa Phd za Heshima zaidi ya Nne kama sikosei mwenye data sahahii atarekebisha! Maswali ambayo nimekuwa nikijiuliza kitu ambacho nahisi kunawengi pia ambao wanamaswali kama yangu ni haya yafuatayo:
  1. Hivi Sifa na Sababu hasa kupewa Phd ni nini au ni zipi?
  2. Hivi Kwa kazi aliyolifanyia Mwl.Nyerere kwa hili Taifa hakustahili Kupewa Phd au alipewa akakaata?
  3. Je Hizo PHD zina tija kwa taifa?
Ni hayo tu

Nawatakia Bajeti Njema.


Fanya Research kabla ya kuweka Hoja Wajameni Dah; Nyerere alipewa Ph.D na alikuwa anaitwa Dr. Mara nyingi tu Most of the time alipokuwa South South Commission
 
Back
Top Bottom