Hivi kwanini mpenzi wangu hanipendi?

Hivi kwanini mpenzi wangu hanipendi?

Nimesoma vizur ila nilipofikia hapa ckutaka kuendelea maana umenichefua
.

"""sikushangaa kunitongoza kwa kuwa mimi nina mwili uliojengeka kimazoezi pia nina sura yenye kuzuzua mademu"""
Mkuu wewe hujamwelewa mleta mada,yuko mauzoni yaani biasharani,jifunze basi na wewe kusoma alama za nyakati
 
Mtu hapendwi eti kwa sababu kwao ni matajiri,pia unaonekana una majisifu kaka,kuwa na pesa,USO mzuri,mwili wa mazoezi sio kigezo kitakachokufanya upendwe na kula msichana,ni moyo wa mtu ndio huamua aende kwa yupi,huoni mtu anamuacha tajiri,na anampenda asiye na kitu,hii yote ni kwasababu ya moyo wake umemchagua huyo asiye na kitu na kumuacha huyo mwenye pesa zake.
 
Duuu!!!Kumbe mademu wanafaidi kwa watoto Wa vibopa,sisi wengine mizinga mwisho buku,ikizidi tunapigana vibuti .Ila hats hivyo bro we boya samahani lkn ,nimejiona nimemind tu ,mademu wapo kwa ajili yetu kwanini akupelekeshe???
 
Wandugu nimekuja hapa mnipe ushauri kidogo

Nilikuwaga na demu wangu she is so cute kwa kweli ila tatizo lake alikuwa ananipiga mizinga sana

Huyu demu nilikutana nae kipindi fulani alikuwa boy wake sema huyo boy wake alikuwa bahili sana yani hata vocha alikuwa hamtumii ,demu alimpenda mshikaji sema mshikaji alikuwa hana time nae kabisa

Baadaye demu akaamua aachie ngazi, mwanzoni tulikuwa washkaji sana na huyo demu sema baada ya kuachana na mtu wake akaamua anitamkie ananipenda mimi na angependa niwe mpenzi wake ,mm nikaona poa tu pia sikushangaa kunitongoza kwa kuwa mimi nina mwili uliojengeka kimazoezi pia nina sura yenye kuzuzua mademu so suala la kunitongoza sikuona la ajabu sana


Sema tatizo lilikuja kuanza pale nillipogundua huyu demu ni mtu wa mizinga sana pia ni muongo muongo sana na mbaya zaidi uongo wake anawashirikisha rafiki zake ili iwe rahisi kunidanganya


Huyu demu ilikuwa nikitoka nae nijipange haswa ,chini ya laki 3 lazima niaibike kabisa kwa kuwa kila kizuri atachokiona lazima atake nimnunulie nisipo fanya hivyo anakasirika na haongei na mimi wiki nzima akipiga simu lazima atake pesa



Pia alikuwa na tabia ya kuwalingishia wenzake kuhusu mimi ,ilikuwa nikimnunulia kitu cha gharama lazima akawatambie wenzake


Sitasahau siku moja nimetoka nae kwenda MCity kwa gari la kwao mfukoni nilikuwa na laki 5 ,unaambiwa siku hiyo laki 5 yote iliishia hapo hapo mcity mbaya zaidi sikuwa na nauli ya kurudia home na akakataa kabisa kunipeleka home nilijuta sana kwa nini sikwenda na gari kwa kweli,sema kwa bahati nzuri bro wangu alikuwa kaenda tegeta nikampigia simu akirudi anipitie turudi wote nyumbani kwa kuwa sina nauli ,aisee alinicheka sana kwa kuwa kipindi natoka aliniona nazo pesa zote



Yote tisa kumi suala la yeye kuninyima penzi aisee linaniuma sana alikuwa ananionjesha mara chache chache sana tena sio bure bure mpaka nimpe hela


Baadaye nikawaza nikaona nimpigie simu nimwambie tuachane ila tubaki kuwa marafiki tu kama zamani cha ajabu alichonijibu kilinishangaza sana alinijibu ndio amekubali tuachane na akasema nifute namba yake kabisa na hataki kabisa hata urafiki na mimi

Mwanzoni nilijua anatania maana lugha aliyokuwa anatumia ilikuwa laini sana baadaye siku zilivyozidi kukatika ndo nikaamini alichokuwa anamaanisha


Yaani mpaka sasa sielewi kwa nini huyu msichana alikuwa hanipendi maana kwetu ni matajiri kama kwao na vitu vingi nilikuwa namnunulia kwa kifupi alinifanya kama baba yake ingawa mimi ni mwanafunzi wa chuo tena mwaka wa kwanza kama yeye


Sielewi kwa kweli yani ,naombeni ushauri wenu pia nataka madada wa humu waseme vitu gani wanampendea mwanaume maana sielewi kwa kweli yani


Inabidi nicheke kwanza
Maana thread yako
Imenifurahisha mno.

Pole kwa yaliyo kukuta
Huyo jamaa wa kwanza wa huyo demu
Alikuwa sahihi ila sio sana.

Pesa mpe mwanamke ila isizidi kiwango

Na nimechukizwa na wewe kushindwa
Kuonesha msimamo dhabiti kwa
Huyo demu, atakuendeshaje
Huyo mwanamke,

You have to be a gangsta
You have to act like a gangsta...

Watoto wakishua mnalia lia kila siku
Kuhusu kuumizwa na mademu...

Huyo demu kwa kuwa alikuwa rafiki
Yako ndio maana amejua udhaifu wako

Ndio maana anakufanyia vituko

Your a man
Be strong like a man
Act like real men....
Be a gangsta.....
 
Tanzania kuna watu wanajua kutunga khaaa. Nenda mwananchi upewe kitengo cha utunzi. Chukua na Pepsi bariiidi kwa mangi nakuja kulipa
 
Hata kama una hela kiasi gani
Usipende kujisifu na kujionesha
Halafu kiwango cha pesa unapo mpa mwanamke isizidi
Hata uwe na hela Nyingi

Usiwe bahili bali mpe kwa sababu na misingi ipi

Bahati yako huyo demu
Nae wakishua
Ungekutana na watoto wa mbwa
Ungeuza gari na ya bro wako.

Kuwa na misimamo
Mtoto wa kiume

Sasa hapo tukupe ushauri upi wakati mmeachana
Au ushauri jinsi ya kumrudia
Tena.......

Be a gangsta .........
 
Hata kama una hela kiasi gani
Usipende kujisifu na kujionesha
Halafu kiwango cha pesa unapo mpa mwanamke isizidi
Hata uwe na hela Nyingi

Usiwe bahili bali mpe kwa sababu na misingi ipi

Bahati yako huyo demu
Nae wakishua
Ungekutana na watoto wa mbwa
Ungeuza gari na ya bro wako.

Kuwa na misimamo
Mtoto wa kiume

Sasa hapo tukupe ushauri upi wakati mmeachana
Au ushauri jinsi ya kumrudia
Tena.......

Be a gangsta .........
mm sina gari natumiaga magari ya home tu
 
Wandugu nimekuja hapa mnipe ushauri kidogo

Nilikuwaga na demu wangu she is so cute kwa kweli ila tatizo lake alikuwa ananipiga mizinga sana

Huyu demu nilikutana nae kipindi fulani alikuwa boy wake sema huyo boy wake alikuwa bahili sana yani hata vocha alikuwa hamtumii ,demu alimpenda mshikaji sema mshikaji alikuwa hana time nae kabisa

Baadaye demu akaamua aachie ngazi, mwanzoni tulikuwa washkaji sana na huyo demu sema baada ya kuachana na mtu wake akaamua anitamkie ananipenda mimi na angependa niwe mpenzi wake ,mm nikaona poa tu pia sikushangaa kunitongoza kwa kuwa mimi nina mwili uliojengeka kimazoezi pia nina sura yenye kuzuzua mademu so suala la kunitongoza sikuona la ajabu sana


Sema tatizo lilikuja kuanza pale nillipogundua huyu demu ni mtu wa mizinga sana pia ni muongo muongo sana na mbaya zaidi uongo wake anawashirikisha rafiki zake ili iwe rahisi kunidanganya


Huyu demu ilikuwa nikitoka nae nijipange haswa ,chini ya laki 3 lazima niaibike kabisa kwa kuwa kila kizuri atachokiona lazima atake nimnunulie nisipo fanya hivyo anakasirika na haongei na mimi wiki nzima akipiga simu lazima atake pesa



Pia alikuwa na tabia ya kuwalingishia wenzake kuhusu mimi ,ilikuwa nikimnunulia kitu cha gharama lazima akawatambie wenzake


Sitasahau siku moja nimetoka nae kwenda MCity kwa gari la kwao mfukoni nilikuwa na laki 5 ,unaambiwa siku hiyo laki 5 yote iliishia hapo hapo mcity mbaya zaidi sikuwa na nauli ya kurudia home na akakataa kabisa kunipeleka home nilijuta sana kwa nini sikwenda na gari kwa kweli,sema kwa bahati nzuri bro wangu alikuwa kaenda tegeta nikampigia simu akirudi anipitie turudi wote nyumbani kwa kuwa sina nauli ,aisee alinicheka sana kwa kuwa kipindi natoka aliniona nazo pesa zote



Yote tisa kumi suala la yeye kuninyima penzi aisee linaniuma sana alikuwa ananionjesha mara chache chache sana tena sio bure bure mpaka nimpe hela


Baadaye nikawaza nikaona nimpigie simu nimwambie tuachane ila tubaki kuwa marafiki tu kama zamani cha ajabu alichonijibu kilinishangaza sana alinijibu ndio amekubali tuachane na akasema nifute namba yake kabisa na hataki kabisa hata urafiki na mimi

Mwanzoni nilijua anatania maana lugha aliyokuwa anatumia ilikuwa laini sana baadaye siku zilivyozidi kukatika ndo nikaamini alichokuwa anamaanisha


Yaani mpaka sasa sielewi kwa nini huyu msichana alikuwa hanipendi maana kwetu ni matajiri kama kwao na vitu vingi nilikuwa namnunulia kwa kifupi alinifanya kama baba yake ingawa mimi ni mwanafunzi wa chuo tena mwaka wa kwanza kama yeye


Sielewi kwa kweli yani ,naombeni ushauri wenu pia nataka madada wa humu waseme vitu gani wanampendea mwanaume maana sielewi kwa kweli yani
Dogo unajisifia sana. Unaongelea stori za kumuhonga demu laki tano ili tukuone wa kishua ama
 
sasa kama ungekuwa wewe unge weza kumnyima?
We bado mtoto. You spend you last dime kumu impress mwanamke? Unatakiwa uwe na misimamo ya kiasi gani utaspenda kwao. Yaani unampa mpaka nauli yako ya kurudi nyumbani wewe utakuwa bado una mambo ya kitoto na unaishi na wazazi ndo maana upo very irresponsible. Hivi mmefunga shule au bado?😀😀 Ukiwa na akili za namna hiyo utakufa maskini. Inaonekana hata hao wazazi wako ni middle class tu sasa mbona unataka kuishi kitajiri wakati wewe si tajiri?
 
We bado mtoto. You spend you last dime kumu impress mwanamke? Unatakiwa uwe na misimamo ya kiasi gani utaspenda kwao. Yaani unampa mpaka nauli yako ya kurudi nyumbani wewe utakuwa bado una mambo ya kitoto na unaishi na wazazi ndo maana upo very irresponsible. Hivi mmefunga shule au bado?😀😀 Ukiwa na akili za namna hiyo utakufa maskini. Inaonekana hata hao wazazi wako ni middle class tu sasa mbona unataka kuishi kitajiri wakati wewe si tajiri?
Mm mwanafunzi wa chuo mwaka wa kwanza
 
Back
Top Bottom