Hivi kwanini mpenzi wangu hanipendi?

Hivi kwanini mpenzi wangu hanipendi?

Mmmh sina cha kusema ila tu jifunze kutembelea hata muhimbili/mwananyamara hospital angalau mara moja kwa mwezi ili uwasaidie chakula wale wagonjwa wasiojiweza UTABARIKIWA KUMPATA MKE MWEMA. Nafikiri niishie hapo kwa leo maana sina cha kusema.
 
Hahaha mnapatikana wilaya gani wa hivi
 
Aisee!!Mimi nakushauri uendelee Naye.Hapo Ipo darasani ukitoka lazima Uwe mwanaume.
 
Mtu hapendwi eti kwa sababu kwao ni matajiri,pia unaonekana una majisifu kaka,kuwa na pesa,USO mzuri,mwili wa mazoezi sio kigezo kitakachokufanya upendwe na kula msichana,ni moyo wa mtu ndio huamua aende kwa yupi,huoni mtu anamuacha tajiri,na anampenda asiye na kitu,hii yote ni kwasababu ya moyo wake umemchagua huyo asiye na kitu na kumuacha huyo mwenye pesa zake.
Kweli tupu
 
Kwenu mna hela ? Endelea kuzitumia mbona unalialia sasa.
Hela mwenzie matumizi na huyo Gold digger hakupepesa macho sema zikiisha mfukoni vuta kwenye acc.Bank au Mpesa
 
Huyo alikuwa akupendi, alishindwa kusema maneno haya
1478506389391.png
 
Duuhw mshukuru Mungu Aseeh!! Maana unge- disco mapema Hizo pesa zako tafuta washikaji wa3 hv jaribu kuishi nao Vizuri wapige jerk hasa ambao hawajapata mkopo Papuchi tu unachunwa mjomba fanya hivyo
 
"Mimi nina mwili uliojengeka kimazoezi pia nina sura yenye kuzuzua mademu so suala la kunitongoza sikuona la ajabu sana!"
 
Hahaha atoi penzi bila pesa
Iv apo utofaut wake na kahaba ni nini..? Mpotezee
 
Ndo matatizo ya watoto mliokulia familia za kitajiri yaani hyo mizinga na hera ulizokuwa unampa ningekuwa ni mm nngekuwa namkalibia MO Maana nngefanya project moja hatarii
 
Umeshajiuliza kwann jamaa alikuwa bahili? Siku nyingine ukipata mwanamke km huyu inabid uwe bahili.
Mkuu hapo hakuna la maana zaid ya kusepa, ushajiuliza mpaka sasa umetumia kias gan cha hela? Km unataka kuwa ATM endelea ila kiukweli hapo hauna mke
Huyo ni ugonjwa wa moyo.
Siku zote mtu anayekupenda lazima akuheshimu, akuruhurumie na kukujali.
 
Mtoto wa mama, shughuli haikuwa pevu...!

Kuna jamaa anatoa shughuli nzito
 
Eti kwetu matajiri!! Domo hilo ndio maana hakupendi. Utaishia kuliwa hela tu. Mapenzi huyajui
 
Back
Top Bottom