Hivi kwanini madume rijali tunapagawishwa na mademu wenye MIDUDE nyuma?

Bujibuji you always making my days.
Hivi huwa unawaza makorokocho gani?
 
Wabongo wengi wanamind tigo/kuruka ukuta hivyo wakiona wowowo ndiyo ngoro inafurahi.
 
Bujibuji! Bado ni morning,acha mambo ya *********Utafiki hauna mipango kabisa. Blalifuuuuu!!
 
Duh uncle chelulute bana una mambo ww!thawa serengeti serengeti
 
mahips, mawowowo, mashepu yanatudatisha kinyama wakati tukiingia kwenye sita kwa sita konsetresheni yetu yote ni kwenye kitumbua.

Unadatishwa na hivyo vitu kwa sababu wewe ni mzinzi hakuna cha urijali hapo last time i checked maana ya Rijali ni mwanamume (aghalabu akiwa shujaa) sasa ushujaa wa mwanaume si kutamani kila mwanamke anyemuona ana hizo sifa ulizo taja wewe ... Achana na mawazo ya kizinzi ni mawazo ya kimaskini na watu wenye low IQ .... Toa fikra za maendeleo BTW kwanini ukaitupa Thread yako katika JF Doctors ... ???


P.S - ukimwi bado hauna dawa
 


Unadatishwa na hivyo vitu kwa sababu wewe ni mzinzi hakuna cha urijali hapo last time i checked maana ya Rijali ni mwanamume (aghalabu akiwa shujaa) sasa ushujaa wa mwanaume si kutamani kila mwanamke anyemuona ana hizo sifa ulizo taja wewe ... Achana na mawazo ya kizinzi ni mawazo ya kimaskini na watu wenye low IQ .... Toa fikra za maendeleo BTW kwanini ukaitupa Thread yako katika JF Doctors ... ???


P.S - ukimwi bado hauna dawa

Bujibuji huenda ana matatizo yake ya kisaikolojia ndio maana kaibwaga kwenye jukwaa hili, lakini wewe unamuonaje huyu mwenzetu profesa bujibuji?
 


Unadatishwa na hivyo vitu kwa sababu wewe ni mzinzi hakuna cha urijali hapo last time i checked maana ya Rijali ni mwanamume (aghalabu akiwa shujaa) sasa ushujaa wa mwanaume si kutamani kila mwanamke anyemuona ana hizo sifa ulizo taja wewe ... Achana na mawazo ya kizinzi ni mawazo ya kimaskini na watu wenye low IQ .... Toa fikra za maendeleo BTW kwanini ukaitupa Thread yako katika JF Doctors ... ???


P.S - ukimwi bado hauna dawa

wewe unadatishwa na nini mpwa? Boops, ngongongo, lips au hips? Au mgongo, kiuno na miguu ndio ugonjwa wako?
Wasalimie sana USA, waambie bongo mademu wanawaka kama taa, karibuni sana.
 
mahips, mawowowo, mashepu yanatudatisha kinyama wakati tukiingia kwenye sita kwa sita konsetresheni yetu yote ni kwenye kitumbua.

Mara nyingi sana tunahusianisha radha ya kitumbua na shepu yao!! Shepu ikiwa mbovu mkuu unaweza ingia nae ndani jogoo akagoma kuwika!!
 
Back
Top Bottom