Hivi kwanini klabu ya Yanga inashindwa kuheshimu logo za klabu nyingine?

Hilo ni tangazo tu la burudani.Sio official kiivyo ndo maana hata wenye timu hawalalamiki.Hilo Tangazo liko kiburudani zaidi.Kwa hiyo rangi zisikusumbue wala kukuchanganya sana.
Sema huenda wao Yanga waliwasiliana na wenye timu kuwauliza kama wafanye hivyo ndo maana wakakubaliwa. Lakini kama kungekuwa na shida ungeona Wenye timu zao wakilalamika au hata wachambuzi wa mpira wanaojua mpira kuliko sisi wangeshaonyesha wasiwasi.Lakin kama wako kimya ujue everything is on right track.Japo sio vizuri kubadili logo hata rangi kama hujamtaarifu mwenyw logo lakin kwa burudani aaah!hiyo kawaida tu.
Sawa, hata kama ni utaratibu ambao umekuwapo kwa miaka na miaka (kwa mujibu wa madai yako) ila ni utaratibu mbovu.
Nimekuambatanishia hapa chini logo sahihi za timu ya Simba, Alliance na Iringa United na zilipostiwa kwenye official instagram page ya hiyo hiyo Yanga. Sijui ni kipi kiliharibika.
View attachment 1358066View attachment 1358065View attachment 1358067

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mjinga wewe.Kuna rangi halafu kuna logo.Ndo maana nilikuonesha pale juu kuwa logo unaweza kuitia rangi yoyote na isitie shaka.Ndo maana vodacom walibadili logo yao hadi kuwa nyeusi.Logo ni yale mapicha au alama zilizomo ndani ya logo na sio rangi.Unaweza kuondoa marangi yote kwenye logo ya simba hayo marangi mekundu.Ilmradi hatujamwondoa simba na maneno ya kwenye logo hiyo ni logo halali ya timu.Halafu wewe mpumbavu unatakiwa ujue masuala ya official announcement na masuala ya entertainment.Hapo yanga ni matangazo ndo maana tangazo wanaliweka kama wanavyotaka kuvutia watu wao.Lakin wakitaka kutumia nembo official watatumia.Hizo ni nembo za kampuni ya jeshi unadhani Yanga ni wajinga kuweka kwa rangi tofauti?

Mikia mna aleji na rangi nini mbona kwenye voda mlishupalia wenzenu wakakausha hata hili wenye timu hawalalamiki lakin wewe ngwambalu ndo unashikia bango.shame on you.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama jambo ujui uliza kwanza kuliko kuleta ujinga katikati ya waelewa.
Kwenye Logo kila kitu kinatafsiriwa Kwenye katiba sasa wewe unasemaje rangi hazina maana. Kwa nini msingekua mnaweka rangi nyekundu Kwenye Logo ya Yanga ka rangi hazina maana?
Logo ndo identity ya taasisi. Ndo mana hata mchezaji hua anabusu logo sio jezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama jambo ujui uliza kwanza kuliko kuleta ujinga katikati ya waelewa.
Kwenye Logo kila kitu kinatafsiriwa Kwenye katiba sasa wewe unasemaje rangi hazina maana. Kwa nini msingekua mnaweka rangi nyekundu Kwenye Logo ya Yanga ka rangi hazina maana?
Logo ndo identity ya taasisi. Ndo mana hata mchezaji hua anabusu logo sio jezi

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikiliza kaka.Rangi sio logo.Tafuta matangazo mengi kama 10 hivi ya kampuni tofauti tofauti tofauti.Kisha angalia logo zinafanana kwa kila kitu hasahasa rangi.Jibu ni HAPANA. Nakupa mfano mdogo tu.Logo halisi ya azam tv anayeonesha VPL ni maneno azam ni mekundu kisha neno TV ni rangi blue kisha kuna ile naweza kusema alama ya Tik iliyokama paa la maneno Azam tV ni rangi ya blue pia.

Sasa ukija kwenye baadhi ya situation utaona azam wanatumia logo hii(AZAM TV) ikiwa meupe yote)angalia picha hapa chini.Lakin official logo ni ile yenye maandishi nyekundu na blue.lakin baadhi ya situation utaona logo yote nyeupe.si ajabu pia kuona logo hii ya azam Tv ni nyeusi yote.
Lakin ukweli unabaki kuwa logo ya azam haijabadilika inabaki ileile. Sasa kama kuna kitu bado sijaelewa basi nielimishe kaka
Screenshot_2020-02-15-10-14-07.jpeg
Screenshot_2020-02-15-10-07-38.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_2020-02-15-10-14-07.jpeg
    Screenshot_2020-02-15-10-14-07.jpeg
    33.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_2020-02-15-10-07-38.jpeg
    Screenshot_2020-02-15-10-07-38.jpeg
    41.6 KB · Views: 1
  • Screenshot_2020-02-15-10-14-07.jpeg
    Screenshot_2020-02-15-10-14-07.jpeg
    33.8 KB · Views: 1
Hilo ni tangazo tu la burudani.Sio official kiivyo ndo maana hata wenye timu hawalalamiki.Hilo Tangazo liko kiburudani zaidi.Kwa hiyo rangi zisikusumbue wala kukuchanganya sana.
Sema huenda wao Yanga waliwasiliana na wenye timu kuwauliza kama wafanye hivyo ndo maana wakakubaliwa. Lakini kama kungekuwa na shida ungeona Wenye timu zao wakilalamika au hata wachambuzi wa mpira wanaojua mpira kuliko sisi wangeshaonyesha wasiwasi.Lakin kama wako kimya ujue everything is on right track.Japo sio vizuri kubadili logo hata rangi kama hujamtaarifu mwenyw logo lakin kwa burudani aaah!hiyo kawaida tu.


Sent using Jamii Forums mobile app

Jambo baya ni baya tu hata kama kila mtu analifanya au hata kama hakuna wa kulikemea. Huo ukimya wa wachambuzi sio kigezo kabisa cha kwamba kinachofanyika ni sahihi.

Na hoja yako kwamba inafanyika ''kiburudani'' kwahivo hakuna shida ya kuzingatia rangi halisi za klabu zingine binafsi sikubaliani nayo.

Leo hii Coastal Union akicheza na Yanga nayeye aweke logo ya Yanga ikiwa na rangi nyekundu au nyeupe ?
Ndanda aweke blue, Lipuli aweke 'damu ya Mzee' (maroon)
Au hii kiburudani inaishia wapi ?
Nini maana ya logo ya timu kuwa na rangi rasmi kama kila mtu atakua anaweza kuburudika na rangi anazojisikia ?

Kwa muktadha wa uweledi (professionalism) hilo ni kosa kubwa, ila kwa sababu mmeamua kuburudika, ngoja tuwaache.
 
Sikiliza kaka.Rangi sio logo.Tafuta matangazo mengi kama 10 hivi ya kampuni tofauti tofauti tofauti.Kisha angalia logo zinafanana kwa kila kitu hasahasa rangi.Jibu ni HAPANA. Nakupa mfano mdogo tu.Logo halisi ya azam tv anayeonesha VPL ni maneno azam ni mekundu kisha neno TV ni rangi blue kisha kuna ile naweza kusema alama ya Tik iliyokama paa la maneno Azam tV ni rangi ya blue pia.

Sasa ukija kwenye baadhi ya situation utaona azam wanatumia logo hii(AZAM TV) ikiwa meupe yote)angalia picha hapa chini.Lakin official logo ni ile yenye maandishi nyekundu na blue.lakin baadhi ya situation utaona logo yote nyeupe.si ajabu pia kuona logo hii ya azam Tv ni nyeusi yote.
Lakin ukweli unabaki kuwa logo ya azam haijabadilika inabaki ileile. Sasa kama kuna kitu bado sijaelewa basi nielimishe kakaView attachment 1358203View attachment 1358204

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukurani Kiongozi. Umejitahidi kuwaelimisha lakini mbumbumbu hawana tiba. Watabaki kama walivyo.
Mpira wote wa Tanzania unaongozwa na watu wa Simba. Ndiyo kiburi cha Haji kwamba ni zamu yao. Hawajaona hilo au wamejua ni upuuzi tu.
Kwa nini wasilalamike Prisons kwa mfano?
 
Waziri Yupo
BMT Wapo
TFF Wapo
Msemaji Wa Wizara Yupo

Natoa Wiki Moja Hatua Zichukuliwe Haraka
Wewe ni nani? Wcha ujuha na umbumbumbu wako! Nendeni makanunue marefa mpate ubingwa achaneni na mambo ya Jirani mapunguani nyie

-
 
Dah hili la logo uongozi wa Yanga imetuabisha kwakweli sijaona matinki ya kushindwa kuwawekea logo halisi ya timu pinzani inayoenda kupambano nazo.

Ni moja ya mambo ya kiswahili sana uongozi unafanya kwenye hili. Inabidi huyo mtaalam wa uendeshaji wa timu kisasa aliyeletwa aanze na kuwabadilisha viongozi kwanza kutoka kwenye fikra za kijinga na kipumbavu kama hizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Je kununua mechi na marefa hakuwaibishi?

-
 
Mjinga wewe.Kuna rangi halafu kuna logo.Ndo maana nilikuonesha pale juu kuwa logo unaweza kuitia rangi yoyote na isitie shaka.Ndo maana vodacom walibadili logo yao hadi kuwa nyeusi.Logo ni yale mapicha au alama zilizomo ndani ya logo na sio rangi.Unaweza kuondoa marangi yote kwenye logo ya simba hayo marangi mekundu.Ilmradi hatujamwondoa simba na maneno ya kwenye logo hiyo ni logo halali ya timu.Halafu wewe mpumbavu unatakiwa ujue masuala ya official announcement na masuala ya entertainment.Hapo yanga ni matangazo ndo maana tangazo wanaliweka kama wanavyotaka kuvutia watu wao.Lakin wakitaka kutumia nembo official watatumia.Hizo ni nembo za kampuni ya jeshi unadhani Yanga ni wajinga kuweka kwa rangi tofauti?

Mikia mna aleji na rangi nini mbona kwenye voda mlishupalia wenzenu wakakausha hata hili wenye timu hawalalamiki lakin wewe ngwambalu ndo unashikia bango.shame on you.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ndo umejibu hapo nilivyokuuliza? Maneno mengi kumbe kichwani mweupe... Punguani Waheed
 
Unadhani kuandika gazetini ndo utaeleweka, angalia leo kwenye page ya Yanga kuelekea game ya leo ndo tunachomaanisha..hiyo taarabu peleka kwenu
Sikiliza kaka.Rangi sio logo.Tafuta matangazo mengi kama 10 hivi ya kampuni tofauti tofauti tofauti.Kisha angalia logo zinafanana kwa kila kitu hasahasa rangi.Jibu ni HAPANA. Nakupa mfano mdogo tu.Logo halisi ya azam tv anayeonesha VPL ni maneno azam ni mekundu kisha neno TV ni rangi blue kisha kuna ile naweza kusema alama ya Tik iliyokama paa la maneno Azam tV ni rangi ya blue pia.

Sasa ukija kwenye baadhi ya situation utaona azam wanatumia logo hii(AZAM TV) ikiwa meupe yote)angalia picha hapa chini.Lakin official logo ni ile yenye maandishi nyekundu na blue.lakin baadhi ya situation utaona logo yote nyeupe.si ajabu pia kuona logo hii ya azam Tv ni nyeusi yote.
Lakin ukweli unabaki kuwa logo ya azam haijabadilika inabaki ileile. Sasa kama kuna kitu bado sijaelewa basi nielimishe kakaView attachment 1358203View attachment 1358204

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama jambo ujui uliza kwanza kuliko kuleta ujinga katikati ya waelewa.
Kwenye Logo kila kitu kinatafsiriwa Kwenye katiba sasa wewe unasemaje rangi hazina maana. Kwa nini msingekua mnaweka rangi nyekundu Kwenye Logo ya Yanga ka rangi hazina maana?
Logo ndo identity ya taasisi. Ndo mana hata mchezaji hua anabusu logo sio jezi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu asikupasue kichwa huyo mjinga, hajui maana ya Brand wala Tredmark...

Anadhani kila kitu kinawekwa tu bila ya kuwa na sababu maalum, hivi leo Kenya bendera ya Tanzania wanaweza kuitia rangi nyekundu? Halafu Tanzania waseme aaah poa

Sasa baada ya kujibu yeye analeta gazeti ambalo hakuna cha maana alichoandika.
 
Jambo baya ni baya tu hata kama kila mtu analifanya au hata kama hakuna wa kulikemea. Huo ukimya wa wachambuzi sio kigezo kabisa cha kwamba kinachofanyika ni sahihi.

Na hoja yako kwamba inafanyika ''kiburudani'' kwahivo hakuna shida ya kuzingatia rangi halisi za klabu zingine binafsi sikubaliani nayo.

Leo hii Coastal Union akicheza na Yanga nayeye aweke logo ya Yanga ikiwa na rangi nyekundu au nyeupe ?
Ndanda aweke blue, Lipuli aweke 'damu ya Mzee' (maroon)
Au hii kiburudani inaishia wapi ?
Nini maana ya logo ya timu kuwa na rangi rasmi kama kila mtu atakua anaweza kuburudika na rangi anazojisikia ?

Kwa muktadha wa uweledi (professionalism) hilo ni kosa kubwa, ila kwa sababu mmeamua kuburudika, ngoja tuwaache.
Mkuu unajua hapa kuna ambao wanaongea wasichokijua, nimetaka klabu yeyote duniani kwenye page Official ambayo wanafanya hivyo wameshindwa kuleta

Halafu anatokea Nyumbu mmoja anajifanya hili halina neno, ila wale waliochagua logo ya rangi yao ni Wajinga

Hiki ndo sahihi kwa wenye akili..
IMG_20200214_112745_678.jpeg
 
Shukurani Kiongozi. Umejitahidi kuwaelimisha lakini mbumbumbu hawana tiba. Watabaki kama walivyo.
Mpira wote wa Tanzania unaongozwa na watu wa Simba. Ndiyo kiburi cha Haji kwamba ni zamu yao. Hawajaona hilo au wamejua ni upuuzi tu.
Kwa nini wasilalamike Prisons kwa mfano?
Hivi mambo ya viongozi wa mpira Tanzania kuwa ni watu wa Simba mbona umeshikilia bango hivi? Kama ingekuwa hivyo ungekuwa hapo ulipo kwenye msimamo wa VPL?

Acha kujitoa fahamu mkuu, wewe tunajadili mambo ya soka toka kitambo hapa, huyo anakushika sikio bado hajaelewa mada yetu hapo ubaoni, ana akili finyu

Narudia tena, kwa mfano bendera ya China, nchi ya Tanzania wanaweza kuinakishi kwa rangi ya Kijani, na China wakaridhia? naomba unijibu, tufunge mjadala.
 
Mkuu unajua hapa kuna ambao wanaongea wasichokijua, nimetaka klabu yeyote duniani kwenye page Official ambayo wanafanya hivyo wameshindwa kuleta

Halafu anatokea Nyumbu mmoja anajifanya hili halina neno, ila wale waliochagua logo ya rangi yao ni Wajinga

Hiki ndo sahihi kwa wenye akili..View attachment 1358334
Soka letu lina safari ndefu sana kuelekea waliko wenzetu kwa hizi mentality. Haya ni mambo ya kienyeji mno.
 
Sasa ninyi mlipigwa kamoja na Polisi mkataka kufukuza kocha.Sisi tulipigwa tatu bila na bado hatukuwaza yote hayo.Nani anapresha kati yenu na sisi?
Nishakuona wewe ni mweupe kichwani , sitapoteza muda kujibishana na wewe
Ukweli wa mambo unaujua ila hapa unataka kuleta ushabiki maandazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga inafuata katiba yake iliyokuwepo toka enzi za mkoloni? unajua kwa nini yanga ilipiga marufuku g rangi nyekundu? sababu ni kwamba enzi za mkoloni wakati yanga inashiriki kwenye harakati za kupigania uhuru, klabu ya simba ikiitwa sunderland walikuwa mstar wa mbele kushirikiana na mkoloni kuwapinga waafrika waliokuwa wanapigania uhuru, simba walikuwa wasaliti na ndio sabab ya rangi nyekundu kupigwa marufuku.
Wabadilike,

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom