mikedean
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 3,255
- 4,599
Hilo ni tangazo tu la burudani.Sio official kiivyo ndo maana hata wenye timu hawalalamiki.Hilo Tangazo liko kiburudani zaidi.Kwa hiyo rangi zisikusumbue wala kukuchanganya sana.
Sema huenda wao Yanga waliwasiliana na wenye timu kuwauliza kama wafanye hivyo ndo maana wakakubaliwa. Lakini kama kungekuwa na shida ungeona Wenye timu zao wakilalamika au hata wachambuzi wa mpira wanaojua mpira kuliko sisi wangeshaonyesha wasiwasi.Lakin kama wako kimya ujue everything is on right track.Japo sio vizuri kubadili logo hata rangi kama hujamtaarifu mwenyw logo lakin kwa burudani aaah!hiyo kawaida tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema huenda wao Yanga waliwasiliana na wenye timu kuwauliza kama wafanye hivyo ndo maana wakakubaliwa. Lakini kama kungekuwa na shida ungeona Wenye timu zao wakilalamika au hata wachambuzi wa mpira wanaojua mpira kuliko sisi wangeshaonyesha wasiwasi.Lakin kama wako kimya ujue everything is on right track.Japo sio vizuri kubadili logo hata rangi kama hujamtaarifu mwenyw logo lakin kwa burudani aaah!hiyo kawaida tu.
Sawa, hata kama ni utaratibu ambao umekuwapo kwa miaka na miaka (kwa mujibu wa madai yako) ila ni utaratibu mbovu.
Nimekuambatanishia hapa chini logo sahihi za timu ya Simba, Alliance na Iringa United na zilipostiwa kwenye official instagram page ya hiyo hiyo Yanga. Sijui ni kipi kiliharibika.
View attachment 1358066View attachment 1358065View attachment 1358067
Sent using Jamii Forums mobile app