Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeanza vizuuuri ukamalizia vibaya. Huyu keshasema toka ameoa hajawahi kuchepuka. Kwa nini unamshauri aanze sasa? Hakuna siku mchepuko umewahi kuwa suluhisho. Kama ni anti-depressant si aende muhimbili akapewe? Unadhani kuna mchepuko unapenda mwanaume mwenye kipato cha kubahatisha? Labda kama huo mchepuko una hela na ukishamtumia jamaa utammwaga bila huruma halafu atarudi kwa mkewe ambaye atakuwa hajabadilika tabia yake ya dharau au akajikuta anaimba "ahera hakuendeki, dunia haikaliki, nimepatwa na mfadhaikooo....".Hio ndoa yako ni kama mkataba wa kazi serikalini,watu full kuzembea tu na hawaguswi...
Ushauri wangu ni hivi,just man up na kuhusu kuvumilia upuuzi wa mwanamke sio jambo rahisi,sometimes kumu ignore huwa inasaidiaga and if i were me ningezungumza nae juu ya itikadi zake za kishamba na kumueleza consequences zinazoweza kutokea kama akiendelea kunipuuza.Mwanaume heshima bhana na isitoshe una watoto nae kabisa,Yeye kama anadhani hilo la kukuheshimu bila shuruti litakuwa mtihani basi naye ajiandae kutoheshimiwa kwa we kupiga pini tu mpaka atapojirekebisha.Mchepuko huwa sio kitu kizuri ila kwa hali ulionayo sasa hakika unauhitaji sana uwe kama anti-depressant yako ili uendele kupambana na life,mind you asiwe yule shemeji yako anaekusaidia maana ukishamgonya utatengeneza deni na uhasama mkubwa nikimaanisha misaada hutaipata tena bila kumgusa mara kwa mara na pia mkeo akijua ndio itakuwa tiketi ya kuvunjia ndoa!
aisee pole sana mkuu tena sana... wengi wameishakushauri mi ntakukumbuka tu kwenye maombi...
pia nawe usisahau kumuombea huyo mke... ni nguvu za shetani tu hizo..
Mungu aniepushe mbali na wanawake wa tabia kama hizi..
umeanza vizuuuri ukamalizia vibaya. Huyu keshasema toka ameoa hajawahi kuchepuka. Kwa nini unamshauri aanze sasa? Hakuna siku mchepuko umewahi kuwa suluhisho. Kama ni anti-depressant si aende muhimbili akapewe? Unadhani kuna mchepuko unapenda mwanaume mwenye kipato cha kubahatisha? Labda kama huo mchepuko una hela na ukishamtumia jamaa utammwaga bila huruma halafu atarudi kwa mkewe ambaye atakuwa hajabadilika tabia yake ya dharau au akajikuta anaimba "ahera hakuendeki, dunia haikaliki, nimepatwa na mfadhaikooo....".
Umenifunza kitu bro, itabidi nioe mhaya sasa.
Wenye matatizo wapo na wema wapo pia. Ingawa siku zote wema hauvumi sana kama ubaya unavyovuma. It's too much kwa jinsi wanawake tunavyochukuliwa, as is hatuna jema hata moja. Mbona wanaume wengi na nyie mkipataga hela kidogo tu akili zinachanganyikiwa hadi kuona wake zenu takataka? Ila akifanya mwanamke basi inakuwa wanawake wote ni wapumbavu. Not Rait kwa kweli, hata Mungu hapendi looh
Mmh!mi nawaoogopa sana wanawake wa kpare
Ni kweli mchepuko hausaidii bali ataongeza stress na pengine kupanua family huku na uchumi nao ni wa kubabaisha.
Ushauri wa FaizaFoxy kuhusu kumridhisha kitandani nao hauna maana kwa sababu tayari mama keshadharau kila afanyalo mume. Dawa ni huyo jamaa kujijenga kiuchumi na kwa sasa ni kum ignore.( NI MATESO MAKUBWA MNO ZAIDI YA JELA)
Kuna vitu umeficha, mwanamke wa hivyo hata unyumba hakupi kwa sababu anaona wewe sio wa level yake, hana hamu na wewe, huna mvuto, anaona unamsumbua etc. Tatizo ni moja, bado huna ground za kumwacha. Kikubwa mambo yako yakiwa safi na wewe mpuuze. Tafuta nyumba ndogo nzuri mahali awe anakutoa stress. Basi