Unapokua umesimama kwenye hadhira (Audience) ukisoma risala mbele ya mgeni rasmi , whereby mimacho ya kadamnasi lookin on you ! Sehemu kadhaa finyu au za pachipachi huwasha! Mf. Korodani , mferejini n.k
Swahiba Judgment hiyo ni balaa na mshedede unaweza shaangaa umesimama
Au umeitwa ghafla na boss wako wa kike Kumbe wakati huo huo ulikuwa unawaza zako starehe zako huko kitu kiko hewani huku umevaa mchomeko kuweka mikono mfukoni sio issue unajikuta umebeba file lisilohusika
Ni kweli Swahiba! Ama file liko mbali, wawezajipiga jacket ilhali weather hairuhusu.
Halafu kama umesahau kuvaa pichu Siku hiyo sasa....!