Hivi kwanini binadamu tuko hivi.?

Tenda wema uende zako!Hongera Uporoto kwa kua na moyo wa ukarimu na huruma hivyo!!OFF TOPIC:Itabidi nikupaishe aisee..kwa hili unastahili!So we niambie lini tu ntatimiza!
Nimeazimia kuanzia sasa ni kupeleka msaada kwenye vituo vya yatima tu mitaani basi tena. OFF TOPIC: ukianza leo nitafurahi saaana Lizzy.
 
msaada ulioutoa ni mzuri sana, ila uliyemsaidia hakutaka msaada wa elimu bali alitaka pesa tu za kujikimu kwa wakati huo wala haangalii kesho( future) itakuwaje, natumaini kama angekuwa na uwezo angekuambia hiyo pesa ya shule usimlipie bali umpe mkononi..we acha tu
Siku ile ya pili niliona cheti chake ni kweli alimaliza form 4 mwaka jana na aliniahidi kunipeleka kwa shangazi yake anaeishinaye nikipata nafasi nikaona inawezekana kumuwahi.
 
Mkuu nawewe una kosa hapo,kwanza ungemchapa nalo kisha Ndio umuulize anahitaji msaada upi ili aache uchangu.mngeelewana
 
Daima Binadamu hana wema na kama ungeweza kumjua anachowaza basi tusingekuwa tunalaumiana kamwe. Ni wazi kuwa Hata ufanyaje Binadamu hutomuweza.
 
Mkuu nawewe una kosa hapo,kwanza ungemchapa nalo kisha Ndio umuulize anahitaji msaada upi ili aache uchangu.mngeelewana
Hapana mkuu mara zingine inabidi utumie huruma sio kupiga mihuri ovyo,binti mdogo anazungumza kiingereza kizuri nikaona anaweza fika mbali uraiani badala ya kuwa chakula cha kina Uporoto na Babukijana.
 
Au ulitoa msaada wa masharti ndio maana ameamua kupotea maana Binadamu
Hapana mkuu mara zingine inabidi utumie huruma sio kupiga mihuri ovyo,binti mdogo anazungumza kiingereza kizuri nikaona anaweza fika mbali uraiani badala ya kuwa chakula cha kina Uporoto na Babukijana.
 
Au ulitoa msaada wa masharti ndio maana ameamua kupotea maana Binadamu
Sijampa masharti yoyote kama ningekuwa na nia hiyo si ningemchakachua usiku ule tulipoonana club ? kwanini nijisumbue kwa yote hayo kama si kumsaidia ?
 
Katika pitapita zangu club kuna usiku moja nikipata moja moto moja baridi kaunta akaja binti mmoja 'kaka naomba na mimi uninunulie moja' nikamnunulia na tukawa tunaongea,ana miaka 19 na ni yatima.Kamaliza form 4 mwaka jana hana wa kumuendeleza na rafiki yake akamshauri wajiuze.Nikasema hivi Uporoto si utakuwa umefanya jambo jema ukimsaidia huyu mtoto mmoja na kumbadili maisha kwa kumuendeleza na kumuepusha na uchangu ? Nikampa elfu 30 na kumwambia aende nyumbani kesho aje mjini,kesho yake tukakutana nikampeleka sehemu na kumwandikisha asome secretarial course na kumlipia na kumwambia kila wiki nitamtumia hela ya nauli na matumizi madogo kwa Mpesa.Ijumaa nimepita chuo na kuambiwa hajaonekana siku 10 na kwenye simu hapatikani.

First that was very human of you.:humble:and Mungu atakulipa.Just wait for some time uone maybe anaeza kushow up,and asipotokea,chukulia kama sadaka umetoa..NDO UBINADAMU.BE BLESSED.
 
mwache dunia imfundishe mkataa pema pabaya panamuita utalipwa kwa fadhila uliyotenda wala usilalamike wala hujapungukiwa chochote,huwa tunapoingia huruma na kusaidia wengine sio kila mmoja huelewa umuhimu wa yale unayomtendea lakini muda hutoa majibu ya mambo yote.

usikate tamaa kuendelea kusaidia wengine Mungu akubariki.
 
Aisee pole sna ila niliwahi sikia machangu siku hizi wanatumia mbinu hiyo kuchuna watu!!
 
Katika pitapita zangu club kuna usiku moja nikipata moja moto moja baridi kaunta akaja binti mmoja 'kaka naomba na mimi uninunulie moja' nikamnunulia na tukawa tunaongea,ana miaka 19 na ni yatima.Kamaliza form 4 mwaka jana hana wa kumuendeleza na rafiki yake akamshauri wajiuze.Nikasema hivi Uporoto si utakuwa umefanya jambo jema ukimsaidia huyu mtoto mmoja na kumbadili maisha kwa kumuendeleza na kumuepusha na uchangu ? Nikampa elfu 30 na kumwambia aende nyumbani kesho aje mjini,kesho yake tukakutana nikampeleka sehemu na kumwandikisha asome secretarial course na kumlipia na kumwambia kila wiki nitamtumia hela ya nauli na matumizi madogo kwa Mpesa.Ijumaa nimepita chuo na kuambiwa hajaonekana siku 10 na kwenye simu hapatikani.

Mtoto wa kikopo atakuwa ni mtoto wa kikopo siku zote tu hata ukijitahidi kiasi gani. Hongera kwa roho yako nzuri katika kujaribu kumsaidia huyo binti.

 
First that was very human of you.:humble:and Mungu atakulipa.Just wait for some time uone maybe anaeza kushow up,and asipotokea,chukulia kama sadaka umetoa..NDO UBINADAMU.BE BLESSED.

mwache dunia imfundishe mkataa pema pabaya panamuita utalipwa kwa fadhila uliyotenda wala usilalamike wala hujapungukiwa chochote,huwa tunapoingia huruma na kusaidia wengine sio kila mmoja huelewa umuhimu wa yale unayomtendea lakini muda hutoa majibu ya mambo yote.

usikate tamaa kuendelea kusaidia wengine Mungu akubariki.

Aisee pole sna ila niliwahi sikia machangu siku hizi wanatumia mbinu hiyo kuchuna watu!!

Mtoto wa kikopo atakuwa ni mtoto wa kikopo siku zote tu hata ukijitahidi kiasi gani. Hongera kwa roho yako nzuri katika kujaribu kumsaidia huyo binti.

Nitasubiri kwa muda akionekana na kutoa sababu za kueleweka na kuendelea chuo nitamsaidia lakini bila hivyo nami sitoi chochote tena,cha kujifariji ni kuwa hajaonekana tena club ile barman kaniambia,bado sijakata tamaa ya kumbadili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom