- Thread starter
- #21
Nimeazimia kuanzia sasa ni kupeleka msaada kwenye vituo vya yatima tu mitaani basi tena. OFF TOPIC: ukianza leo nitafurahi saaana Lizzy.Tenda wema uende zako!Hongera Uporoto kwa kua na moyo wa ukarimu na huruma hivyo!!OFF TOPIC:Itabidi nikupaishe aisee..kwa hili unastahili!So we niambie lini tu ntatimiza!