ISAYA SANGA
Member
- Feb 9, 2013
- 18
- 1
Fikiria mtu anaenda Phamacy anahitaji condom lakini chaajabu huyu mtu utashanga anashindwa kutamka naku sema naomba ile.
Fikiria mtu anaenda Phamacy anahitaji condom lakini chaajabu huyu mtu utashanga anashindwa kutamka naku sema naomba ile.
Hebu tufunze wewe vile wasema...
sema kifudusi
Hahaha...wewe utakuwa wa Iringa, mie najua yaitwa dawa ya penzi
Ndo nini hiyo.Fikiria mtu anaenda Phamacy anahitaji condom lakini chaajabu huyu mtu utashanga anashindwa kutamka naku sema naomba ile.
hicho ni kiswahili sanifu cha neno condom
Hahahah...naona ndio wengi wasema hivyo pia...miaka ya nyuma wengine walikuwa wakiziita soksi
Hahahah aisee kina-sound kama Kihehe vile....ila wangekiita kifanyio tu
ila sidhani kama
ukitamka nipe dume kuna shida
utaonekana unajali!
ah ah ah! nasemaga nipe king size, ila enzi izo, sikuizi show tunapiga live tu na mimisa wangu
jishaue tu eti kavu
ndio maana huna nyama!
ah ah ah! Wewe ndizi unakula na maganda yake? mimisa na mimi tupo safi ndio maana tunacheza live,