toroka uje mjini
JF-Expert Member
- Mar 29, 2017
- 1,584
- 2,107
Hilo swala la kuungana hakuna alieliweza ktk marais wote wa afrika kasoro MUAMAR GADDAFI
Aliweza kwa asilimia 60 kuhamasisha marais wa Africa kuungana pamoja
Hapo hapo ndio wazungu wakajua huyu anataka kuwa KING OF AFRICA
Wakaanzisha fitna kwa wananchi wa LIBYA ili wampidue tu GADAFI hadi walifanikisha
Leo LIBYA wanalia machozi ya damu kwa majuto ya kumuua Gaddafi Kutokana na mateso,njaa na shida zinazowakabili wananchi wa LIBYA
Aliweza kwa asilimia 60 kuhamasisha marais wa Africa kuungana pamoja
Hapo hapo ndio wazungu wakajua huyu anataka kuwa KING OF AFRICA
Wakaanzisha fitna kwa wananchi wa LIBYA ili wampidue tu GADAFI hadi walifanikisha
Leo LIBYA wanalia machozi ya damu kwa majuto ya kumuua Gaddafi Kutokana na mateso,njaa na shida zinazowakabili wananchi wa LIBYA